Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Nipo kwenye Group moja linaitwa Group la Afya likiwa limeanzishwa na Bwana Mmoja anaitwa Mwanyika. Kwa maelezo yake ni Daktari.
Anaweza kuwa na nia nzuri ya kusaidia watu kwa ushauri na wakati fulani kuwasaidia wasiingie gharama ya kwenda hospital kutokana na ushauri anaoutoa lakini wasiwasi wangu ni kuwa huko mbeleni kunawezekana kuwa na athari flani.
Mimi nipo kwenye group hilo muda mrefu sana nikiwa na namba 3 tofauti tofauti. Kuna wakati jamaa alishawahi hata kuniomba kwa ushauri alionipa nimpoze kidogo nikamtumia tsh 20,000.
Nliona ni sawa amenisadia kwa kweli lakini nmekuja shtuka kuwa sometimes kuna watu hatuendi hosp tunategemea Uaguzi kama huu. Yeye huwa anasema mwambie dalili zako then anasema una malaria, una typhoid au unaweza kuwa na covid 19.
Nashauri magroup kama haya yaandikishwe ili kuwepo mfumo mzuri wa kuhudumia watu distance medicating/treatment. Sisi kwenye group tunashukuru sababu sasa madaktari wanafanya kazi kwa kutumia mtandao ndo mambo ya kisasa.
Inapunguza gharama za kwenda hospitali na foleni pia.
Anaweza kuwa na nia nzuri ya kusaidia watu kwa ushauri na wakati fulani kuwasaidia wasiingie gharama ya kwenda hospital kutokana na ushauri anaoutoa lakini wasiwasi wangu ni kuwa huko mbeleni kunawezekana kuwa na athari flani.
Mimi nipo kwenye group hilo muda mrefu sana nikiwa na namba 3 tofauti tofauti. Kuna wakati jamaa alishawahi hata kuniomba kwa ushauri alionipa nimpoze kidogo nikamtumia tsh 20,000.
Nliona ni sawa amenisadia kwa kweli lakini nmekuja shtuka kuwa sometimes kuna watu hatuendi hosp tunategemea Uaguzi kama huu. Yeye huwa anasema mwambie dalili zako then anasema una malaria, una typhoid au unaweza kuwa na covid 19.
Nashauri magroup kama haya yaandikishwe ili kuwepo mfumo mzuri wa kuhudumia watu distance medicating/treatment. Sisi kwenye group tunashukuru sababu sasa madaktari wanafanya kazi kwa kutumia mtandao ndo mambo ya kisasa.
Inapunguza gharama za kwenda hospitali na foleni pia.