pesa

  1. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Njia nyingine ya ku earn pesa online kwa freelancers

    Remotasks I love being online na hilo limenifanya niwe natafuta njia kadhaa za kumake money while I am online, na leo ninawaletea hii tovuti Remotasks. Hii tovuti inahusika na mambo ya kusoma na kuenhance data ili kufanya AI bora Zaidi. Mfano machine za kusoma receipt, menu, magari...
  2. safuher

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anaweza kukupenda kweli kwa pesa zako, sio dhambi, pesa kweli inanunua mapenzi

    Mwanamke anaweza kukupenda kwa PESA zako na akakupenda kweli kweli hili linawezekana. Sio dhambi, sio vibaya, sio jinai na hili linawezekana kwa asilimia miamoja 100% Kwanini? 😁😁😁 Kwa sababu ukiona unapendwa au mwanamke akikupenda lazima kuna kitu kakupendea tu sio bure kwamba akupende bila...
  3. IBRA wa PILI

    JamiiForums Tanzania Nimerudishiwa pesa na Ali Express halafu siku chache mbele mzigo umefika

    Wakuu habari ni ivi niliagiza mzigo kutoka Ali Express ilikua tarehe 15 ya mwez wa 5 mwaka huu. Sasa ki kawaida mizigo ya standard shipping inakaa mwezi mmoja kisha una upokea posta ya mkoa wako. Kutokana na ishu ya corona mizigo hua inachelewa mno mpaka sometimes unaisi ushapotea niliagiza...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mume amuua mkewe baada ya meseji ya muamala wa pesa kuingia kwenye simu ya mke na kudhani meseji imetoka kwa mwanaume mwingine

    Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabita Mwanyanje (29), anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na maeneo mengine ya mwili na mumewe Frank Galimoshi (30) kwa wivu wa mapenzi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
  5. Ntaghacha

    JamiiForums Tanzania Jinsi simu za China zinavyowaibia wateja Afrika

    Programu (Malware) ambazo zinawasajili watumiaji bila ruhusa yao zimepatikana kwenye maelfu ya simu zinazouzwa Afrika. Simu 53,000 za Tecno zenye virusi zimeuzwa Ethiopia, Cameroon, Misri, Ghana na South Afrika. Transsion ambae ni mzalishaji wa simu aina ya Tecno inayoongoza kwa mauzo barani...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini jamii inapenda kumhukumu mwanamke negatively kwenye Sekta ya Mahusiano? Utasikia yule mdada amefuata pesa tu kwa yule mwanaume

    Hii kitu sijai-notice Mara moja ,nime-notice mara nyingi sana, utakuta unapiga story na baba mkubwa, anakwambia yule mke wa mdogo wangu anachosubiria ni pensheni tu ya mdogo wangu wa kiume. Au mkaka in his early 30's akioa, utaskia mama MTU mzima akisema, huyo mdada ameolewa kwasababu anataka...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Flyovers, SGR na uboreshaji wa miundombinu awamu ya 5 Tz ni matokeo ya kubadilisha matumizi ya pesa sio kukua kwa uchumi

    Kufanya uchaguzi kwa pesa ya ndani, kujenga flyovers, SGR na uboreshaji wa miundombinu unaofanywa na awamu ya 5 ni matokeo ya kubadili matumizi pesa/kipato tu sio kukua kwa uchumi. Mfano, pesa zilizokuwa zinatumika kulipa mishahara kwa watumishi wa umma. Sasa wanastaafu, wengine wanakufa hakuna...
  8. Webabu

    JamiiForums Tanzania Cheti cha corona ni pesa tu kila kona

    Inasikitisha sana katika kipindi hiki kigumu cha uchumi duniani kila mmoja amepanga kumminya mwenzake bila uhakika wala faida ya kinachofanyika. Mwanzoni niliona tangazo la wizara ya afya lililohimiza wasafiri kuhakikisha kuwa wanapata cheti cha usafi wa corona kabla kuondoka nchini na...
  9. IAfrika

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Sudan Kusini yasema Akiba ya Fedha za Kigeni imekwisha

    Sudan Kusini imeishiwa na akiba ya fedha za kigeni na haiwezi tena kumaliza kushuka kwa thamani ya Pauni ya Sudan Kusini, afisa mkuu wa benki kuu alisema Jumatano. Daniel Kech Pouch, gavana wa pili wa benki hiyo, aliambia mkutano wa habari kwamba mapato ya mafuta ya nchi yamepungua, ikigonga...
  10. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Jaji Kaijage: Baada ya uhakiki, sasa tuna jumla ya wapiga kura 29,188,347. Vyombo vya Habari vitende haki kwa vyama vyote

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ( NEC) mh Jaji Kaijage amesema baada ya kuhakiki daftari na kuondoa majina yanayojirudia sasa wamebakia wapiga kura 29,188,347 Source East africa radio My take; Kumbe nyomi ya Tundu Lisu si chochote si lolote. Maendeleo hayana vyama! ====== Daftari la wapiga...
  11. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi vyuoni: Msikae kusuburi boom/pocket money, fanya hizi biashara

    STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL Nguvu ya hii biashara 1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani kuna huduma. hata usiku. 2. Stationery zinaweza kuwa mbali na sehemu ambayo unaishi na wanafunzi...
  12. D

    JamiiForums Tanzania MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

    Lekaga gete, nahene milimo. Mlimpola bhagosha bhane! Shalom! Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha...
  13. and 998 others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Pesa ya COVID inatafunwa bila huruma

    Watani zetu Hawa wamepata 223 Billion Ksh. Toka taasisi za kimataifa eg, IMF, EU n.k kupambana na COVID19 ndo maana kutwa kutoa data za kubumba. Sasa pesa wanafyonza wachache huku wanyonge wakiendelea na changamoto pendwa. *Washaanza kukamatana uchawi huko ====== Push for State to explain...
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuomba pesa siku ya kwanza ya kukutana kwenu jua hakupendi

    Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina shida ya sh fulani na mwanaume na akili timamu unatuma unajua anajuchukuliaje JIBU : ANAKUONA BOYA...
  15. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mdada anavyonichunia baada ya kumwambia hivi, kosa langu ni nini?

    Huyu mdada nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nikatambulishwa kuwa alikuwa ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu. Alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena siku ingine anaanza yeye kunitext ...
  16. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Pesa kikwazo cha Demokrasia

    Nilileta huu uzi wiki jana kuhusu kazi tulokuwa nimedhamiria kuifanya ya kukusanya maoni ya wakazi wa Kigamboni abayo imekamilika leo. Uzi wenyewe ni huu: Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni Baada ya kufanya stadi yangu kwa siku tatu tangu jumapili ya tarehe 9 August mpaka...
  17. Infantry Soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti mkikuta pesa kwenye suruali za waume zenu wakati wa kufua huwa mnawapa? Na kama hamuwapi ni kwanini?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums, Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya cold war, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo...
  18. Gulio Blog

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kubadili pesa za zamani

    Nina pesa hizi mbili za zamani nahitaji kubadili Kwa picha hizi chini
Back
Top Bottom