msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Msaada wa Vocational Skills new syllabus class V

    Naomba msaada wa Vocational Skills new syllabus class VI au scheme of work class VI. Please mwenye nayo naomba msaada wa kuipata kupitia hapa mtandaoni au WhatsApp number 0752109702.
  2. K

    Msaada wa civic syllabus claa VI au scheme for class Vi new syllabus

    Naombeni msaada wa new syllabus ya civic class VI au scheme of work class VI pliz mweny nayo naomb msaada wako kupitia hapa mtandaoni au wasap 0752109702 pia nitatoa sh 1000/= kwaajl ya mb's Ahsante.
  3. E

    Msaada wenu tafadhali

    Habari zenu ndugu zangu naomba kuwauliza.. Je ninapo download habari au taarifa au ninapoiandika kwenye excel, word, au power point na kui download iwe kwenye PDF nawezaje kuiprint ikawa katika uhalisia iwe kwenye karatasi..?
  4. T

    Msaada wa kueleweshwa usawa kati ya postgraduate na degree

    Naomba kufahamu usawa uliopo Kati ya postgraduate na degree yaani Kama kunakazi unahitaji kigezo Cha degree alafu Mimi nina postgraduate je naweza kuomba?
  5. Risk manager

    Airtel wana tatizo gani? Msaada wa kisheria

    Habari wanajukwaaa. Poleni kwa majukumu ya kuijenga Tanzania yetu mana ni Mali yetu site na sio kuwa ni ya MTU Fulani ama kikundi Fulani cha watu. Nilenge shida kamili ni hivi: Kuna mshkaji kwangu Wa karibu amelalamika juu ya hii kampuni na utoaji wao Wa huduma zao. Ishu Iko ivi kuna Yale...
  6. M

    Anayeifahamu vizuri Toyota Starlet anisaidie

    Mwenye uelewa zaidi wa Starlet (Carat model 1999, 4E-FE engine) naomba anijuze uimara na upatikanaji wa spares nisije kupoteza pesa zangu.
  7. A

    Msaada: Anayejuwa zilipo ofisi za UMATI kwa Dar

    Habari zenu, Naombeni msaada anayejuwa zilipo ofisi za Chama Cha Uzazi na Malezi Bora (UMATI) ofisi kuu anipe maelekezo nafikaje hapo mie nipo Gongo la mboto,, Naombeni msaada nahitaji kufika kesho Asanteni
  8. P

    Wakuu naombeni msaada wenu, kwa wale wanaofahamu

    Habari zenu wakuu. Mimi ni muajiriwa wa Serikali, siku za hivi karibuni nimebahatika kupata kazi shirika la umoja wa mataifa UN kwa hapa nchini na mshahara na marupurupu yake ni zaidi ya mara 5 wa ule wangu wa serikalini, pamoja na kulipiwa nyumba ya kukaaa. Lakini kitengo nilichoajiriwa...
  9. uttoh2002

    Naomba ushauri nifanye nini baada ya kupoteza vyeti

    Habari za asubuhi wadau! Nimepoteza cheti changu cha form four, form Six na cha chuo pamoja na transcript. Nimejaribu tafuta contact za Wizara ila naona namba hazipo active, najua hapa wote mpo, nisaidieni tu kujua official means za kutafuta vyeti vyangu! Natanguliza shukrani, naomba tu...
  10. BumbleBeeBot

    Msaada: Nikiwa na mpenzi wa pembeni sisimamishi

    Habari zenu, Mambo yako hivi, kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kama zaidi ya mwaka hivi. Ndio main chick kwa sasa, kitandani nipo nae vizuri saana, yaani sina tatizo kitandani. Hapo juzi kati kuna mwanamke mwingine nikaanzisha mahusiano nae. Yule mwanamke wangu wa kwanza akajua, akalia...
  11. balimar

    Msaada tafadhari nataka kujua utaratibu wa kuingiza mnyama toka nchi jirani

    Tafadhali wadau za jioni? Nataka kuingiza dume la ng'ombe nije kuzalisha kwenye shamba langu. Naombeni msaada wa taratibu za kisheria na kanuni za kuingiza mnyama huyo humu nchini. Tafadhari naombeni mnisaidie maelekezo na namna bora ya kuliwezesha hili wazo langu. Asante.
  12. K

    Msaada: Nimfanyeje huyu tapeli?

    Jamani hodi! Wanajamvi sote tunafahamu hali ya uchumi ilivyo. Nisaidieni mawazo nimetapeliwa, ilikuwa hivi: Kuna dogo tuliongea biashara ya dagaa, akaniambia dagaa wanalipa ila mtaji tu ndio hana. Basi mimi nikamtathmini nikamuona ni dogo fighter, nikaona nishirikiane nae kwa masharti nafuu...
  13. M

    Msaada Injini ya GX 100 Inaweza kutumika kwenye gari gani nyingine Hasa ya Mizigo (CARGO)

    Habari ndugu zangu nina gari yangu Cresta ina Injini ya GX 100 ambayo bado mpya ila bodi limechoka,nataka kubadili matumizi iwe ya mizigo je ni bodi la gari gani inaweza kuingiliana na injini hiyo? Gari ni automatic.
  14. Babu Kijiwe

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Baadhi ya mahitaji ya wadau: Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani. Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
  15. D

    Msaada kuhusu Arthritis

    Je ni kweli huu ugonjwa hauna tiba? Nakama unao naomba kujua tiba zake. Wataalamu wa dawa za kienyeji pia jitokezeni tafazalini
  16. W

    Msaada: Naomba kujua shule ya secondary nzuri kwa o-level (boarding)

    Habarini wanajanvi, Mwanangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya secondary Morogoro. Natamani nimuhamishe kumpeleka shule ya secondary ya boarding ya serikali yenye ufaulu mzuri ambayo wanaweza kumconsider kulingana na ufaulu wake wa Std 7. Kuhusu Ufaulu wake ni kama...
  17. Heater

    Msaada aliyepata mafao baada ya miaka 7 ya kazi 2019

    Nimefanya kazi kwa miaka 7, hatimaye kibarua kimefika tamati. Mwezi uliopita nikaenda ofisi za Mafao - Ubungo Plaza nikaambiwa niwasilishe madai lakini hawajapewa muongozo toka juu kuhusu kulipa watu ambao ni Expert. Hivyo madai yangu yatapokelewa na kuwekwa pending mpaka pale muongozo...
  18. Mkaruka

    Check my site. Category zimepinda

    Habari jamani Hapa kuna nini naona trending category zimekaa tenge badala ya kukaa kama ilivyo kwenye popular posts (Headings) pekee. SITE : AjiraAlerts | The Home of Smarter Job Seekers. A Trusted Gateway to Your Dream Career!
  19. GENTAMYCINE

    Wanasaikolojia wa mapenzi (ngono), msaada kwenye tuta tafadhalini

    Ni kwanini mwanaume yoyote yule akiwa ameshamtongoza mwanamke na wameshakubaliana kwenda iwe ni ghetoni kwa mwanaume au Gesti kama siyo Loji basi lazima tu mwanaume ndiyo atakuwa anaongoza msafara (anatangulia mbele) muda wote. Lakini, baadaye wakishamaliza 'Uzinifu' wao hilo jambo hubadilika...
Back
Top Bottom