Heri ya Mwaka Mpya wana- Mmu. Imenibidi nitafute ID mpya ili nijielezee vizuri mana original ni verified. Stori inaanza hivi:
Baada ya mizunguko ya hapa na pale kwenye mahusiano nikaja na wazo kwamba kama mtu sio mkeo it’s better to have backup plan, yaani plan B. Namaanisha nakuwa na mpenzi...
Habari za muda huu wadau!!!
Aisee kuna denti mmoja baada ya kumaliza kidato cha nne kaja kukaa hapa home kwa ndugu yake ambaye ni mpangaji katika nyumba tunayoishi.
Sasa katika kuzoeana siku nikakapiga sound kakakubali lakini kakaniambia kuwa ni bikra na hajawahi kukutana na mwanaume...
Salaam wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu, natafuta boda boda ya mkataba au kwa siku, maongezi zaidi nipo hapa kujibu, nipo Dar es Salaam. Tufanye biashara.
Wakuu habari zenu poleni na majukumu.
Nina tatizo kidogo nahitaji msaada wenu, mimi nina tatizo la mafua la mara kwa mara lakini hii ya kipindi hii imenishika kweli na kama siku ya tatu hivi mafua yamenibana 2 usiku silali. Ni kwamba napumulia mdomoni puani siwezi kupumua kabisa napata shida...
Hello JF team,
Kama una mzigo wowote unaitaji usafirishwe kwa gari aina ya Canter kutoka Dar, Moro, Dodoma, Singida, Shinyanga hadi Mwanza.
Au kama unahitaji mzigo utoke kati ya mikoa hiyo na kwenda kati ya mikoa hiyo ndani ya wiki ya tarehe 30 hadi tarehe 5 January nitakusaidia.
Nipigie simu...
Wadau natafuta mchanga mlaini kwa ajili ya kupiga plasta kwenye nyumba.
Kwa anayefahamu dereva au mahali unapopatikana anifahamishe tafadhali.
Nipo jijini Dar es Salaam.
Habarini!
Mbuzi wangu wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa kuzunguka. Yaani huu ugonjwa mbuzi akiugua anashindwa hata kutembea (anabaki kuzunguka tu hapo hapo) na unaonekana huwa unaathiri upande fulani wa mbuzi.
Kwa mfano, akiathirika sana kiasi cha kushindwa kusimama, yaani akishalalia tu...
Nina receiver mediacom imeandikwa DiSEqC 1.2 MPEG2 DVB digital satellite receiver na ungo mdogo wa startimes. Ninaweza kupata channel zozote hapo hasa za nyumbani Tanzania?
Mimi ni mhamiaji hapa Mbeya! Nimepapenda na ningependa kujenga japo kajumba kakuishi ila tatizo ni viwanja vya kupimwa bado ni tatizo! Ninafikiria kununua shamba halafu baada ya kukamilisha ununuzi niwafuate ardhi ili waje wanipimie!
Ninaomba ushauri wa kisheria kuhusu jambo hili. Je...
Wakuu nina safari ya kwenda Geita hii weekend, naomba msaada wa kibinadamu nikiwa huko kwa wiki 2.
Wale wenyeji wa Geita, naomba kuelekezwa maeneo naweza kupata huduma takatifu au maeneo ambayo watoa huduma wanapatikana kwa wingi maana sina hakika kama tinder au tagged zinafanya kazi huko...
Nduguzanguni
Me nimetokea kumpenda demu mmoja ambaye ana rafiki yake wa kike anaitwa nasra.wote wawili ni shombe shombe tatizo linakuja moja nasra ana nipenda Sana me simpendi ila ninampenda rafiki yake na ili kupata number yake au kujua anapokaa Sina other way zaidi ya kupitia nasra nimejaribu...
Kuna mtu niliingia naye mkataba wa kunikodisha chumba cha kufanyia biashara, chumba kilikua hakijakamilika kimatengezo kwahiyo akaniomba fedha kwa ajili ya kukamilisha matengenezo tukakubaliana na mimi nikaandikishiana naye kwamba anipe chumba kikiwa kimekamilika kimatengenezo.
Mimi nikaanza...
Naomba msaada wa Vocational Skills new syllabus class VI au scheme of work class VI.
Please mwenye nayo naomba msaada wa kuipata kupitia hapa mtandaoni au WhatsApp number 0752109702.
Naombeni msaada wa new syllabus ya civic class VI au scheme of work class VI pliz mweny nayo naomb msaada wako kupitia hapa mtandaoni au wasap 0752109702 pia nitatoa sh 1000/= kwaajl ya mb's Ahsante.
Habari zenu ndugu zangu naomba kuwauliza.. Je ninapo download habari au taarifa au ninapoiandika kwenye excel, word, au power point na kui download iwe kwenye PDF nawezaje kuiprint ikawa katika uhalisia iwe kwenye karatasi..?
Naomba kufahamu usawa uliopo Kati ya postgraduate na degree yaani Kama kunakazi unahitaji kigezo Cha degree alafu Mimi nina postgraduate je naweza kuomba?
Habari wanajukwaaa.
Poleni kwa majukumu ya kuijenga Tanzania yetu mana ni Mali yetu site na sio kuwa ni ya MTU Fulani ama kikundi Fulani cha watu.
Nilenge shida kamili ni hivi:
Kuna mshkaji kwangu Wa karibu amelalamika juu ya hii kampuni na utoaji wao Wa huduma zao.
Ishu Iko ivi kuna Yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.