Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 226
- 281
Wapendwa samahani habari za asubuhi, habari za muda huu?
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada.
Mdogo wangu alifanya mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2016 lakini kwa bahati mbaya alipata credit moja na D moja na mwaka jana ikabid arudie yale masomo alopata F kwa bahat nzur kapata credit nyingine moja na D tatu, sasa ulizo langu ni kwamba jee inawezekana kutuma maombi baraza la mitihani ili wamtengenezee cheti kimoja?
Tafadhal mwenye kufahamu kuhusu hilo naomba anisaidie kutambua.
Natanguliza shukrani
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada.
Mdogo wangu alifanya mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2016 lakini kwa bahati mbaya alipata credit moja na D moja na mwaka jana ikabid arudie yale masomo alopata F kwa bahat nzur kapata credit nyingine moja na D tatu, sasa ulizo langu ni kwamba jee inawezekana kutuma maombi baraza la mitihani ili wamtengenezee cheti kimoja?
Tafadhal mwenye kufahamu kuhusu hilo naomba anisaidie kutambua.
Natanguliza shukrani