Ma-chemist
Member
- May 11, 2020
- 36
- 14
Habari za muda Wana jukwaa,
Mimi ni mwanafuzii nilie hitimu kidato Cha sita mwaka Jana lkn wakati wa udahili nikipata chuo kikuu Cha Ardhii University lakini mm ndoto zangu n kwenda kusoma nje ya nchi yaan scholarship lakin sikufanikiwa kwa mwaka jana kwa vile sikuwa najua utaratibu wake lakin mwaka huu ni matumain yangu baada ya covid19 scholarship kwa bancherol degree zitakuwepo naombeni msaada mwenye links hizo harama za maisha nje ya nchi hasa kwa course ya Artcheture engineer au microbiology
Asanteni.
Mimi ni mwanafuzii nilie hitimu kidato Cha sita mwaka Jana lkn wakati wa udahili nikipata chuo kikuu Cha Ardhii University lakini mm ndoto zangu n kwenda kusoma nje ya nchi yaan scholarship lakin sikufanikiwa kwa mwaka jana kwa vile sikuwa najua utaratibu wake lakin mwaka huu ni matumain yangu baada ya covid19 scholarship kwa bancherol degree zitakuwepo naombeni msaada mwenye links hizo harama za maisha nje ya nchi hasa kwa course ya Artcheture engineer au microbiology
Asanteni.