Ma-chemist
Member
- May 11, 2020
- 36
- 14
Salamii Wana jukwaa kama kichwa kinavo jieleza apoo juu msaada tafadhali Kuna mdogo wangu kahitimu masomo yake ya kidato Cha sita mwaka Jana 2019/2020 kwa mchepuo wa CBG nakupata matokeo haya Chemistry: D Biology: D Geography: D Basic Applied Mathematics: D General study na Ali post pone mwaka Jana kwa sababu mbalimbali lakini mwaka huu baada ya dirisha kufunguliwa anataman kusoma Chuo Kikuu Cha Ardhii University course ya Artcheture engineer. Au Biotechnology kwa vyuo Kama SUA au UDSM
Je, kwa matokeo hayo kuna uwezekano wa kupata Kama hakuna ushaur wa course nzurii katika Vyuo vya Ardhii, University DSM, SUA?
Kwenu Wana jamvi
Je, kwa matokeo hayo kuna uwezekano wa kupata Kama hakuna ushaur wa course nzurii katika Vyuo vya Ardhii, University DSM, SUA?
Kwenu Wana jamvi