Pole. Kunywa maji mengi au juise. Hamna madhara makubwa labda kichwa kuuma . Nadhani jioni usinywe endelea kesho na mzunguko wa dawa. Kuwa makini mkuu ingekuwa dawa ya pressure ungepata big side effectsHabari jf doctor nimekunywa dawa siku ya pili leo dawa ni za malaria mseto zile za kunywa kimoja asubuh kimoja jioni sasa leo muda huu nimejisahau nimekunywa viwili badala ya kimoja naombeni ushauri nifanyeje kuepuka madhara yatayotokeaView attachment 1460559
assante mkuu na kichwa kinauma kweli kwahiyo haina haja ya kunywa maziwa kwa hii hari?Pole. Kunywa maji mengi au juise. Hamna madhara makubwa labda kichwa kuuma . Nadhani jioni usinywe endelea kesho na mzunguko wa dawa. Kuwa makini mkuu ingekuwa dawa ya pressure ungepata big side effects
Meza kimoja kama kawaida jioni, maana duration ni 12 hrs ukipitisha itasababisha plasmodium kuzaliana tena..Sawa mkuu jioni niendelee na dawa au nisubiri kesho nimalize dozi
Haina haja ya maziwa . Hydrate mwili na maji na vimiminika kama juisi ya machungwa fresh au ukwaju chochote kilicho rahisi kutengeneza kwako.assante mkuu na kichwa kinauma kweli kwahiyo haina haja ya kunywa maziwa kwa hii hari?