msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KamyZee

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada jinsi ya kupata uhamisho kidato cha tano

    Habari zenu wanajamii forum, I hope all is well with you. Nimechaguliwa shule ya Loleza iliyopo Mbeya kwenye tahasusi/combination ya PCB (yaani Physics, Chemistry and Biology) lakini kwa bahati mbaya au nzuri, nimeshindwa kwenda. Ningependa kusoma katika shule ya sekondari Dodoma kwenye...
  2. GuDume

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wenu ninakaribia kupoteza files ambazo nimeyatunza miaka mingi sana

    Wadau wa JamiiForums habari yenu, Kuna files ambazo ni nyeti sana nilizi-ZIP na ku-Encrypt kwa password mwaka 2008-2009. Bahati mbaya sana nimesahau Password yake tayari nimehangaika sana pasipo mafanikio kila "Password" nimejaribu. Je, kuna mtu anaweza niambia nifanye nini? Maana nimejaribu...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mambo ya Bima

    Wadau habari blue Monday. Naenda kwenye hoja. Nilikuwa na IST ya 11,500,000. Nilipigwa na Ice tarehe 10/10/2019. bima nilikata ya tarehe 08/07/2020-07/07/2020. Claim amount imesoma 15,800,000 na payable ni 9,000,000. Katika michakato hii, je, hii gari nimali ya bima au inabakai kuwa yangu?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Daktari Bingwa wa Sikio Ent Mwanza

    Samahani wakuu ninashida ya sikio nilikua nina fungus nimejaribu kutumia antibiotic sujaona nafuu samahani ambae ana fahamu dactari bingwa wa ENT. Naomba msaada tafadhali
  5. Kaluluma

    JamiiForums Tanzania Msaada wa maelekezo kwa wakazi wa Dodoma

    Wasalaam wakuu, Naomba mwenye kufahamu jinsi ya kufika Kizota ukitokea Sabasaba Stendi au Nyerere Square, natanguliza shukrani🙏
  6. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kuinstall APK lakini inaniandikia hivi?

    Shida ni nini wajuzi maana nimejaribu kudownload hiyo APK kupitia Opera Mini imeandika hivyo. Nikaona ngoja nijaribu kudownload kupitia Google bado pia imeniandikia hivyo
  7. Palestine Will be free

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada ndugu zangu

    Mwenye link (livestream) ya mpira atupie hapa
  8. Rolandi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kuhamisha nyimbo toka PC kwenda iPhone 7

    Nashindwa kufanya hivyo, sio kwa cable wala bluetooth. Any suggestion?
  9. Richest richman qudu

    JamiiForums Tanzania Msaada maswala ya Mikopo Elimu ya Juu

    Mimi mwaka 2018 nilimaliza Kidato cha Sita na kuchaguliwa Mwenge University lakini sikuipenda kozi hivyo nilihairisha masomo na mkopo pia nilisitisha. Nliambiwa mwaka 2019 ningepewa mkopo kwa sababu niliuifadhi lakini haikua hivyo, nilipo riport loan board walinizngusha. Je, nikiapply tena...
  10. vee15

    JamiiForums Tanzania Msaada wa maswali ya written interview TRA nafasi ya ya Customs Officer

    Hello wana JF, Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA. Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia? Asanteni
  11. venchwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanapatikana wa ku-translate nyaraka zilizoandikwa kwa lugha za Ukrainian au Russian?

    Msaada please, Wanaojua nisaidie wapi wanapatikana wa ku-translate document kwenye Ukrainian au Russian Language. Nataka kumsomesha mdogo wangu Ukraine. Naomba msaada wanapo translate ili document zipelekwe ubalozini Nairobi.
  12. Feberia

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa jinsi ya kudownload Coreldrawx3

    Habari wanaJF, Nimekuja kwenu kuomba msaada kwa yoyote mwenye kuweza kunifahamisha zaidi jinsi nitakavyoweza kudownload CORELDRAWX3 Au nyingine yeyote yenye kufanya kazi sawa na hii Asanteni
  13. G

    JamiiForums Tanzania Msaada kati ya TV Hasence na TV Boss

    Tafadhali msaada kujua ubora wa TVs tajwa hapo juu ipi ina ubora mzuri. Ubora wa picha, uimara, bei, n.k nimeitoa LG na Samsung kulingana na bajeti yangu. Nataka kuchukua nchi 43. NB: Don't mind about uandishi plz
  14. G

    JamiiForums Tanzania Bati za Waja General ni nzuri?

    Binafsi nimepaua kibanda changu kwa bati nyeupe, ila kuna jamaa yangu yeye anashinda ya macho na ana project yake ya ujenzi ngazi ya kupau na anatamani msouth. Tumekwenda halafu bei imemshinda wanauza 28,000/ 27,000 kwa pc za rangi. Yeye ana uwezo wa 24,000/- katika kuzunguka tukakutana na watu...
  15. hypothalamus

    JamiiForums Tanzania Mada maalumu: Fani za afya kwa level ya diploma

    Kwa wale wahitimu wa kidato cha nne wanaotamani kujiunga na fani mbalimbali za afya hii inaweza ikawa msaada kwao Disclaimer:Nimezisort fani hizi kwa "utashi wangu" wa jinsi ninavyoona demand ya fani husika kwa taifa kwa sasa na sio official sorting kutoka mamlaka yoyote ile 1.Diagnostic...
  16. covid 19

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ushauri kuhusu hii mirathi

    Wakuu ipo hivi, kwetu tulizaliwa wawili tu mimi mkubwa na mdogo wangu wa kike, nipo naishi dodoma pamoja na familia yangu yaani naishi na mke wangu mama na mdogo wangu. Mzee wangu alifariki miaka 3 iliyopita hivyo aliacha baadhi ya mali km nyumba 3 na mashamba, nyumba mbili zipo dodoma hizi...
  17. masai dada

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

    Mawazo ushauri sababu nahisi nakufa soon. Aliyewahi pitia hili suala naomba ushauri
  18. Hackboy

    JamiiForums Tanzania Pata namba zako zote za simu za zamani na ulizopoteza kupitia Facebook

    Habari wa JamiiFirums, Leo nimejisikia ku-share njia hii rahisi yakupata namba zako zote za simu za zamani zilizopotea au zile ulizofuta kwa bahati mbaya. Hii ni kwa watumiaji wa facebook tu. Tafdhali tembelea kiunganishi hiki: https://m.facebook.com/mobile/facebook/contacts
  19. Kijana Jr

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari kuhusu kutotumiwa namba ya usajili

    Habari wakuu msaada una hitajika. Tafadharini Kwa mwandiko mbaya. Niliomba kazi Kwa kutumia njia ya mtandao utumishi Secretariate ya Ajira nikabahatika kuona jina langu nimeitwa kwenye interview Ila katika akanti yangu sijatumiwa namba ya interview. Tatizo nini? Je, naweza pata namba...
  20. Albedo

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Jamani, girlfriend wangu anasumbuliwa sana na tatizo la maumivu kipindi cha bleeding, kwa wanaojua kama kuna tiba yoyote ambayo inaweza kumsaidia huyu binti, naombeni mawazo. Maana huwa anapata maumivu makali sana. Nawakilisha. Naombeni ushauri wenu wa kitabibu Asanteni WADAU WENGINE...
Back
Top Bottom