msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Thamani ya US Dollar kwenye hela ya Kitanzania Tsh ni ipi kwa sasa?

    Habari za mida hii Wakuu hope mko vema na jumapili inaenda vizuri, Okey twende kwenye Mada kidogo Kuna kitu wengine hatujui kama mimi ukiniambia maswala ya Dollars najua ni hela ya kimarekani ila sasa shida inakuja hapa. Mfano mtu anakwambia Dollar $2 hapo sijui kwa hela yetu ya Tanzanian...
  2. Saoka

    JamiiForums Tanzania Wadau msaada wenu ninaimani humu nitapata mtanipatia ufumbuzi

    Habari za humu wadau, Poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kwa sasa nipo Dar ombi langu kubwa kwenu ni kunipa msaada wa mawazo kwakuwa naomba kazi au kwa mwenye connection ya kazi yeyote ya halali niweze kujikimu kimaisha maana hapa nilipo nipo kwa ndugu tu sina hili wala...
  3. Son of a Pagan

    JamiiForums Tanzania Msaada, natafuta soko la Rosela

    Habarini wana jamvi, Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji. Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia. Nitasoma replies pia. Naombeni...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Msaada taa ya Overdrive ina blink

    Wataalam naombeni msaada (ufafanuzi), Nina Noah sr40 nimegundua Mara ninapo-switch overdrive on taa haizimi Kama ilivyo kawaida ya gari ikiwa katika overdrive mode (gear) badala yake taa inawaka na kuzima (flash/blink) tatizo ni nini wajameni na wale wakazi wa Arusha naomba tuelekezane gereji...
  5. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Wajuzi wa Window 7 msaada

    Hii window 7 kwenye PC hapa inagoma ku-start yaani ikifika pale kwenye logo inazima. Shida nini hapo? Nimejarbu njia nyingi imegoma.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Boss wangu hataki kunipa mkataba wa kazi, ananiahidi na kunizungusha

    Habari, Naomba msaada wa kimawazo, Boss wangu hataki kunipa mkataba wa Ajira ijapokua nafanya kazi kwa sasa nina mwaka na miezi mitatu, la kila siku nikimkumbusha anaahidi uongo. Ni company private. Nataka kuchukua maamuzi ya kuacha kuja kazini hadi pale atakapo nipatia mkataba huo. Ni...
  7. Private investigator

    JamiiForums Tanzania Msaada sites ambazo naweza kudownload material ya kufundishia darasa la 1 mpaka la nne

    Naomba website za kibongo kwa material ya shule za msingi ambazo ni free na hazina complicated log in
  8. mahadhialy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninataka kuanzisha kikundi cha wanaume

    Habari zenu ndugu zangu Mimi nimepata idea ya kuanzisha kikundi cha wanaume. Kikundi hicho kitamhusu mwanaume pamoja na jamii. Kikundi hiki kitaanzisha miradi mbalimbali kwa mfano viwanda, mashamba n.k. ilimradi tupunguze ukosefu wa ajira katika jamii lakini mambo yakienda sawa kikundi...
  9. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

    Nimeyumba kidogo kiuchumi toka mwezi wa 1. Kutokana na Corona na sehemu nyingi duniani kuyumba kiuchumi pia. Binafsi huwa nanunua kila kitu mwisho wa mwezi na kuweka nyumbani, kila kitu kwa maana ya kwamba hata ikitokea mwezi mzima tukaamua kukaa ndani bila kutoka tutaishi vizuri tu. Pia...
  10. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wajuzi wa computer: Bitlocker password kwenye external HDD

    Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tumbo lina nguruma kama kusikia vitu vinatembea vidonge umemeza hakuna msaada

    Wengi wetu huwa tunakaa au umelala unasikia tumbo lina nguruma au kuna kama minyoo inasikika ikibishana huko ndani, huwa unaweza ukakaa na mwenzio ukasikia na yeye tumbo lina nguruma, mara nyingi huwa tunahisi labda huenda ni chakula hakijaiva na huenda ni dalili za kuharisha au maziwa...
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapambano ya Corona: Kenya yapata msaada wa $78M kutoka Umoja wa Ulaya (EU)

    Katika kupambana na madhara ya corona Kenya imeendelea kupokea misaada kutoka nchi mbali mbali Duniani ili kusaidia sekta ambazo zitaathirika zaidi. Hadi sasa Kenya imeshapokea msaada wa Dollar Millions 350 kutoka umoja wa ulaya na nchi moja moja za ulaya zimeichangia Kenya Dollar Million 33...
  13. Jacobus

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutopata jumbe za kampuni za simu

    Wakuu, nimekuwa natatizwa mno kwa kupokea jumbe toka kampuni za cm za Airtel na Vodacom mpaka wakati mwengine zinajaa. Ili kuepukana na hii adha naomba njia ya kufanya. Aksanteni.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ni namna gani Muhitimu wa Kidato Cha sita au Shahada yeyote anaweza kuji unga na kada za kijeshi kama Polisi na Migration

    Wana jamvi habari I za wakati huu na amini wote wazima munazidi kupambana vyema na janga la COVID19 inayo sababibishwa na kundi la VIRUS'S aina ya CORONA. Kama kichwa kinavo jieleza apoo juu msaada tafadhali ivii Ni namna gani mtu hasa kwa muhitimu wa kidato Cha sita au shahada yeyote anaweza...
  15. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kitabibu na kunijuza mtaalamu anaeshugulika na magonjwa ya akili 'Best Psychiatrist'

    Habari Zenu wandugu! Nina kijana wangu ni rafiki yangu sana! Amekumbwa na dalili zifuatazo. 1. Anaumwa na kichwa sana. 2. Anapoteza kumbukumbu. 3. Highly attract negative thoughts. 4. Anasikia ngumu kufanya maamuzi madogo tu. 5. Anashindwa kuongea kwa kunyoosha sentensi. 6. Anakosa...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Msaada tunaomba Mhe. Paul Makonda atusaidie, Kampuni ya Jog imechukua fedha za wawekezaji

    Ndugu zangu, Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi. Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa...
  17. ze future

    JamiiForums Tanzania Msaada: Laptop yangu inakataa kuconnect na internet

    Habari yako, PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows 8. Nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa jinsi ya kulitatua tatizo hili.
  18. S

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Mirija ya Uzazi kuziba: Changamoto na tiba yake

    Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
  19. P

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kujuzwa ofisi za NACTE zinapopatikana kwa mkoa wa Mbeya

    Natumaini mpo vizuri wakuu, Naomba kuuliza ofisi za NACTE ziko sehemu gani hapa mkoani Mbeya? Msaada please mimi ni mgeni mkoani hapa
  20. Afrika Yote

    JamiiForums Tanzania FAMM (AMTL) Co. walivyopeleka msaada wa kujikinga na Corona kwa Watoto wa Huruma

    Habari za mida huu, mapambano ha Corona yanaendeleaje huko? Narudi kwenye point ya msingi hapa, nimekuja kugundua kuwa watu wengi wenye uwezo kidogo wa kujipatia mahitaji ya kila siku basi kwa namna moja au nyingine ni rahisi sana kusahau kwamba kuna watu wenye uhitaji wapo sehemu hivyo huwa na...
Back
Top Bottom