Naombeni ushauri, je ni nchi gani itanifaa kwenda kusoma journalism kati ya North Korea, South Korea, Holland, Canada, France, New Zealand?
I want where it is possible to study while working during off class time?
Habari za muda Wana jukwaa,
Mimi ni mwanafuzii nilie hitimu kidato Cha sita mwaka Jana lkn wakati wa udahili nikipata chuo kikuu Cha Ardhii University lakini mm ndoto zangu n kwenda kusoma nje ya nchi yaan scholarship lakin sikufanikiwa kwa mwaka jana kwa vile sikuwa najua utaratibu wake lakin...
Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki.
Sasa nimekuja kwenu wana jf mnipe taarifa wapi zinakopatikana
Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
Habarini ,wakuu
Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya, wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuanzisha ujenzi huu, mazingira yanayofaaa kujenga..
Nimeamua nianze ujenzi huu...
Naomba kufahamu kwa mtu aliyewahi kuaguza kitu china na akatumia njia ya "Aliexpress Standard Shipping" au njia yoyote isiyokuwa na tracking.
Atajuaje kama mzigo wake umefika?
Mwanafunzi wa Sekondary Kuanzia Form 1-Form 4 weka swali linalokutatiza then usaidiwe na walimu waliopo humu na wenye uelewa na mada husika.
**karibuni Msiogope**
Wakuu habariniii,
Kama mada inavyojielezaa nahitaji Mbuzi wa maziwa kwa wale wauzaji na wakazi wa mkoa wa Mara ,Naomba tujulishane. Kama upo sehemu yoyote au mikoa jirani.
Msaada tafadhali nahitaji wa kununua ...
Asantenii wakuu
Usisite kujaaa PM 🙏📞
Kiufupi tu.
Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba?
Hapa najua nimemkosea sana mke...
Habari Wana Jf
Leo katika pitapita zangu nimekutana na chombo cha usafiri aina ya piki piki hii wauaji wanasema ni made in korea Nataka kujua upatikanaji wa Spare, ulaji mafuta ukoje na Je vinadumu? Havisumbui?
Habari wandugu!
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age).
Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa...
Mwenzenu huwa namshikia kidedea kijana wangu awe anajisomea kipindi hiki wako nyumbani.
Sasa nimemuona leo kashika kitabu cha Kiingereza. Nilishakitazama hiki kitabu kina swali ambalo najua lazima atakuja kuniuliza, nami hakika sitoweza kulijibu.
Swali liko hivi "John went to school without...
Wana jamvi,
Naomba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar ule unao kuwa mlaini maana mimi nilijaribu lakini unatoka mgumu hauwi mlaini na wenye unga, nifanye nini?.
=========
Jinsi ya kupika Ubuyu
Mahitaji.
1. Sukari vikombe 2
2. Maji vikombe 2
3. Nusu kikombe unga wa...
Kama heading inavojieleza
Nimejaribu kuutafuta humu bila mafanikio kwa yeyote atakaeweza kunisaidia link ya microsoft word ntamshukuru sana, nilipakua google word ya 2013 nashindwa kuitumia inataka key, natumia window 10 Ram 4 gb na sytem 64bit ikiwa vinasaidiwa kuelewa mtanisaidia vipi...
Habari za Musa huu wadau,
Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
Habari ya asubuhi ndugu,
Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari.
Msaada kwa mwenye idea.
Wakuu leo mchana nimeitumia fresh tu.. Nikaizima ila wakati nachomoa waya wa power ukagusa ile port ya vga kukatokea kama kishot kwa nje..
Sasa hivi nawasha haiwaki..
CHIEF MKWAWA na wengineo Msaada.
PC ni dell core i2
Mrejesho...
wakuu ile PC Jana tu nimeitoa kwa fundi 70000..nmelipa...
Wadau habari,
Nataka kununua simu duka la tigo, sasa naomba ushauri kati ya tecno spark3 pro na samsung A10s maana zote naona sifa zinafanana.
Nichukue ipi?
Habarini za siku, mimi ni kijana wa miaka 38 nadhani uko nyuma nilileta uzi wangu mnishauri maana baba alinifukuza kwake nilipokuwa nakaa kisa tu nilimshawishi awe na kadi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho mimi ni mwananchama wake mtiifu aligoma na kunifukuza kwake.
Nilichoshangaa baba baada ya...
Kuna Movie nzuri ya kivita alicheza John Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982.
Movie hii inaanza Rambo akitembea akitokea mbali na kufika kijiji fulani na kuanza mazungumzo na Mama fulani aliyemwambia kuwa rafiki yake kipenzi alikufa kwa Cancer.
Rambo anatoka hapo kunyongwa sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.