Habari za mida hii Wakuu hope mko vema na jumapili inaenda vizuri,
Okey twende kwenye Mada kidogo
Kuna kitu wengine hatujui kama mimi ukiniambia maswala ya Dollars najua ni hela ya kimarekani ila sasa shida inakuja hapa.
Mfano mtu anakwambia Dollar $2 hapo sijui kwa hela yetu ya Tanzanian...
Habari za humu wadau,
Poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kwa sasa nipo Dar ombi langu kubwa kwenu ni kunipa msaada wa mawazo kwakuwa naomba kazi au kwa mwenye connection ya kazi yeyote ya halali niweze kujikimu kimaisha maana hapa nilipo nipo kwa ndugu tu sina hili wala...
Habarini wana jamvi,
Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji.
Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia.
Nitasoma replies pia. Naombeni...
Wataalam naombeni msaada (ufafanuzi),
Nina Noah sr40 nimegundua Mara ninapo-switch overdrive on taa haizimi Kama ilivyo kawaida ya gari ikiwa katika overdrive mode (gear) badala yake taa inawaka na kuzima (flash/blink) tatizo ni nini wajameni na wale wakazi wa Arusha naomba tuelekezane gereji...
Habari,
Naomba msaada wa kimawazo, Boss wangu hataki kunipa mkataba wa Ajira ijapokua nafanya kazi kwa sasa nina mwaka na miezi mitatu, la kila siku nikimkumbusha anaahidi uongo.
Ni company private. Nataka kuchukua maamuzi ya kuacha kuja kazini hadi pale atakapo nipatia mkataba huo.
Ni...
Habari zenu ndugu zangu
Mimi nimepata idea ya kuanzisha kikundi cha wanaume. Kikundi hicho kitamhusu mwanaume pamoja na jamii. Kikundi hiki kitaanzisha miradi mbalimbali kwa mfano viwanda, mashamba n.k. ilimradi tupunguze ukosefu wa ajira katika jamii lakini mambo yakienda sawa kikundi...
Nimeyumba kidogo kiuchumi toka mwezi wa 1. Kutokana na Corona na sehemu nyingi duniani kuyumba kiuchumi pia.
Binafsi huwa nanunua kila kitu mwisho wa mwezi na kuweka nyumbani, kila kitu kwa maana ya kwamba hata ikitokea mwezi mzima tukaamua kukaa ndani bila kutoka tutaishi vizuri tu. Pia...
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
Wengi wetu huwa tunakaa au umelala unasikia tumbo lina nguruma au kuna kama minyoo inasikika ikibishana huko ndani, huwa unaweza ukakaa na mwenzio ukasikia na yeye tumbo lina nguruma, mara nyingi huwa tunahisi labda huenda ni chakula hakijaiva na huenda ni dalili za kuharisha au maziwa...
Katika kupambana na madhara ya corona Kenya imeendelea kupokea misaada kutoka nchi mbali mbali Duniani ili kusaidia sekta ambazo zitaathirika zaidi.
Hadi sasa Kenya imeshapokea msaada wa Dollar Millions 350 kutoka umoja wa ulaya na nchi moja moja za ulaya zimeichangia Kenya Dollar Million 33...
Wakuu, nimekuwa natatizwa mno kwa kupokea jumbe toka kampuni za cm za Airtel na Vodacom mpaka wakati mwengine zinajaa.
Ili kuepukana na hii adha naomba njia ya kufanya.
Aksanteni.
Wana jamvi habari I za wakati huu na amini wote wazima munazidi kupambana vyema na janga la COVID19 inayo sababibishwa na kundi la VIRUS'S aina ya CORONA.
Kama kichwa kinavo jieleza apoo juu msaada tafadhali ivii Ni namna gani mtu hasa kwa muhitimu wa kidato Cha sita au shahada yeyote anaweza...
Ndugu zangu,
Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi.
Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa...
Habari yako,
PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows 8.
Nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa jinsi ya kulitatua tatizo hili.
Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
Habari za mida huu, mapambano ha Corona yanaendeleaje huko?
Narudi kwenye point ya msingi hapa, nimekuja kugundua kuwa watu wengi wenye uwezo kidogo wa kujipatia mahitaji ya kila siku basi kwa namna moja au nyingine ni rahisi sana kusahau kwamba kuna watu wenye uhitaji wapo sehemu hivyo huwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.