Nimejenga kijijini kwangu, kuna vichaka vimenizunguka ambako ni makazi ya ndege na baadhi ya wanyama,wakiwemo popo.
Tatizo ni kwamba popo wengi wanaishi juu ya dari ya nyumba. Usiku ni makelele,wanachafua dari kwa vinyesi na mikojo.
Nilijaribu kumpandisha kijana darini mchana akiwa amefunga tochi kichwani,walimpiga balaa.
Naomba msaada wa namna ya kuwaondoa hawa wanyama.
Tatizo ni kwamba popo wengi wanaishi juu ya dari ya nyumba. Usiku ni makelele,wanachafua dari kwa vinyesi na mikojo.
Nilijaribu kumpandisha kijana darini mchana akiwa amefunga tochi kichwani,walimpiga balaa.
Naomba msaada wa namna ya kuwaondoa hawa wanyama.