K keshaulo Member Jan 7, 2020 86 69 Aug 25, 2020 #1 Natumai wazima humu ndani, Naomba ushauri, mama ana maumivu makali hasa usiku ya mkono mmoja wa kulia mpaka begani. Tulienda hospitali kupiga xray hakuna tatizo, tulipewa dawa za kuchuwa tu, ila naona hali haibadiliki, tumuone mtaalam wa nini?
Natumai wazima humu ndani, Naomba ushauri, mama ana maumivu makali hasa usiku ya mkono mmoja wa kulia mpaka begani. Tulienda hospitali kupiga xray hakuna tatizo, tulipewa dawa za kuchuwa tu, ila naona hali haibadiliki, tumuone mtaalam wa nini?
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,565 52,202 Aug 25, 2020 #2 Mpeleke kwenye maombi. Ukiweza mtafute mwalimu Grace Elirehema, ni mwalimu wa neno la Mungu amwombee.
Mpeleke kwenye maombi. Ukiweza mtafute mwalimu Grace Elirehema, ni mwalimu wa neno la Mungu amwombee.
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,717 2,622 Mar 26, 2021 #3 Mkuu keshaulo ulipata ufumbuzi tatizo la mama yako.