Bwana Yesu asifiwe,, Assaalam alykum wapendwa,,natumai hamjambo nyote kama kuna wenye udhaifu Mungu Baba atawarehemu.
Maada :
Hatimae nimejitegemea kigeto kama nilivyo waambia kwenye uzi niliouleta kipindi cha nyuma @Nimekukuwa, nataka kujitegemea.
Nimeishi kwa mjomba kwa mwaka na miezi...