Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 208
Wakuu poleni na matanga ikiwa bado tunaendelea kuomboleza msiba mzito wa taifa, kwa kuondokewa na Rais wetu mpendwa Mh. John Pombe Magufuli ambaye Mungu kamwita.
Naomba sasa nigusie jambo kuhusiana na Mei Mosi ijayo. Ama hakika watumishi wa umma tumekuwa wavumilivu kwa kipindi kirefu bila ya mabadiliko yoyote ya maslahi, tuliendelea kuchapa kazi ili kuunga juhudi za kujiletea maendeleo katika taifa. Tena kwenye hili viongozi wakubwa wa nchi tunategemea mtoke na mtusifu sisi watumishi wa umma.
Kwako mama yetu kipenzi, Mh Rais Samia ,mapema hii tunaomba mwaka huu basi neema iwepo kwa kundi hili. Its been a while mama yetu toka tumefurahishwa na Serikali yetu pendwa.
Maisha yetu sio mazuri sana yana ma-gape sana. Mikopo inatutesa hasa hii ya elimu ya juu ndio balaa, mzee wetu alisema bado yupo ko tusubir sasa hayupo uliyepo ni wewe, hope mwaka huu mzee alipanga jambo juu yetu watumishi basi Mama yetu pindi uingiapo offisini kale ka file ketu anzanako.
Sote tunajua jinsi mungu alivo wajalia huruma mama zetu, watumishi wa umma wataifa hili tunakupenda mama etu, tunamwomba mungu akupe hekima, busara, upendo kwa watumishi wa umma na wananchi wote wa tz kwa ujumla.
Umetuona wa Tanzania kwenye msiba wa mpendwa wetu tulivo wamoja na nikuhakikishie sisi tunaipenda nchi yetu pamoja na viongozi wake.
Tatizo ni hii hali ya kusahaulika tena kwenye jambo la msingi (maslahi) inavunja moyo kiukweli.
Nimalize tuu kwakusema tunakupenda mama yetu na daima tutachapa kazi ila tukumbuke mama.
Naomba sasa nigusie jambo kuhusiana na Mei Mosi ijayo. Ama hakika watumishi wa umma tumekuwa wavumilivu kwa kipindi kirefu bila ya mabadiliko yoyote ya maslahi, tuliendelea kuchapa kazi ili kuunga juhudi za kujiletea maendeleo katika taifa. Tena kwenye hili viongozi wakubwa wa nchi tunategemea mtoke na mtusifu sisi watumishi wa umma.
Kwako mama yetu kipenzi, Mh Rais Samia ,mapema hii tunaomba mwaka huu basi neema iwepo kwa kundi hili. Its been a while mama yetu toka tumefurahishwa na Serikali yetu pendwa.
Maisha yetu sio mazuri sana yana ma-gape sana. Mikopo inatutesa hasa hii ya elimu ya juu ndio balaa, mzee wetu alisema bado yupo ko tusubir sasa hayupo uliyepo ni wewe, hope mwaka huu mzee alipanga jambo juu yetu watumishi basi Mama yetu pindi uingiapo offisini kale ka file ketu anzanako.
Sote tunajua jinsi mungu alivo wajalia huruma mama zetu, watumishi wa umma wataifa hili tunakupenda mama etu, tunamwomba mungu akupe hekima, busara, upendo kwa watumishi wa umma na wananchi wote wa tz kwa ujumla.
Umetuona wa Tanzania kwenye msiba wa mpendwa wetu tulivo wamoja na nikuhakikishie sisi tunaipenda nchi yetu pamoja na viongozi wake.
Tatizo ni hii hali ya kusahaulika tena kwenye jambo la msingi (maslahi) inavunja moyo kiukweli.
Nimalize tuu kwakusema tunakupenda mama yetu na daima tutachapa kazi ila tukumbuke mama.