maisha

  1. mitale na midimu

    Mlo mzuri utakaobadilisha maisha yako ni kujua ule nini asubuhi dakika 20 baada ya kufumbua macho

    Tunapokula huwa hatulishi tumbo bali tunalisha selihai. Unapoamka asubuhi Cell hai nazo huwa zinanjaa. So njaa ya ugali nyama bali virutubisho muhimu. Habari mbaya ni kuwa hata usipolisha selihai hizo vitu sahihi muda huo , zenyewe zitatafuta popote mwilini mibadala kupata hicho kinachotakiwa...
  2. lendila

    Mwl. Julius Kambarage Nyerere: Maendeleo hayana budi yawe ni "maendeleo ya watu"

    Viongozi wengi walioko madarakani wanajifanya kumuenzi Nyerere lakini ni uongo mtupu, kila siku wanajidai kuwa magorofa yameongezeka posta na ni maendeleo lkn wanasahau kuwa maendeleo ni watu na sio vitu, naomba.ujumbe huu umfikie mwingulu Maendeleo ni watu, siyo vitu NUKUU YA MOJA KWA MOJA...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Winda maisha yako

    WINDA MAISHA YAKO; MBINU KABAMBE. Na, Robert Heriel Maandishi ya Robert Heriel, Kwa Lugha ya Kiswahili. Haki zote zimehifadhiwa. Moja ya mambo niliyokuwa nikiyafanya kwa ufanisi mkubwa enzi nikiwa mdogo, na hapa ni chini ya miaka 13 ni pamoja na uwindaji wa ndege. Nilikuwa moja ya watoto wenye...
  4. matunduizi

    wakuu upendo wa wengi umepoa au ugumu wa maisha ya tz ya ulimwengu wa pili

    zamani mida kama hii ningekuwa nimeshapokea mahotipoti kama matatu ya pilau na vitoweo mbalimbali vya iddi kutoka kwa ndugu na majirani wanaosherekea sikukuu hii. leo hadi sasa bila bila sijajua tatizo ni nini?
  5. Suley2019

    Askofu Nyaisonga: Kukiri kwa Mkapa kwa aliyokosea ni ishara ya unyenyekevu

    Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Askofu Gervas Nyaisonga, amesema kitendo Hayati Benjamin Mkapa kukiri mambo aliyowahi kukosea wakati wa uongozi wake akiwa Mkuu wa nchi katika kitabu chake cha ‘My life My Purpose’ ni ishara ya unyenyekevu na kumpenda Mungu. Askofu...
  6. S

    GE2020 Tundu Lissu kaongea jambo moja ambalo kila mtu anapaswa kulitafakari na kujiuliza kama ambavyo yeye anajiuliza

    Lissi kafanyiwa mahojiano(kwa lugha ya kingereza) huko Ubelgiji(probably leo) kuhusu swala zima la kama tutarajie uchaguzi huru na wa haki, ila alivyojibu,ni wazi mwenzetu huyu sUala la kutegemea uchaguzi huru na wa haki, kwake halipo kabisa kwani ameonyesha wazi hatarajii hilo kutokea, ila...
  7. B

    Ushauri na hatua nilizowapa wasichana singles na ghafla wakawapata waume na maisha yakasimama

    Nina maswali mengi najiuliza bado sijapata jibu sawa sawa, nilikutana na wasichana 3 tofauti kwa muda, miezi na siku tofauti, wasichana hao umri umeenda, walikuwa wakilalama kuhusu yanayo wasibu na kupoteza matumaini, maisha magumu hawana kazi na wanaume wamekuwa kama wamewapa kisogo pamoja na...
  8. A

    Wanawake wengi wanapenda kuji-mwambafy kuwa wana hela nyingi, kumbe wanafeki maisha

    Hii ishanitokea kwa wadada watatu tofauti, mdada anakutafta yeye mwenyewe, anakuja yeye mwenyewe, sio kwamba umemfata, na bando lake la simu anatumia kukupigia, tena mtu hauko sehem ya biashara, uko zako gheto, anakuomba muongee dili halafu anakupa ofa ya tsh laki 3, laki 5 au laki 2 kwenye dili...
  9. GENTAMYCINE

    Kwanini Watu ' Maarufu ' wakiandika na ' Kuzindua ' tu Vitabu vyao vya Maisha yao, muda mfupi tu huwa Wanakufa?

    Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi '...
  10. K

    Virusi vya Corona: Watu 572 wapoteza maisha Afrika Kusini kwa saa 24 zilizopita

    It goes without saying that the reason Africa will face the worst of Covid-19 last is because we are very poorly connected to the rest of the world. We do very little business with the rest of the world, which spared us the initial hit. Probably more people move from China to the US in a week...
  11. Infantry Soldier

    Somo la maisha: Mambo kumi (10) muhimu yatakayokufanya uonekane kuwa ni mtu aliyestaarabika sana mbele za watu

    SOMO LA MAISHA: Mambo kumi (10) muhimu yatakayokufanya uonekane kuwa ni mtu aliyestaarabika sana mbele za watu. Ten Rules of Common Courtesy. (1) Show respect for others. When appropriate, say please, thank you and excuse me. After you receive a gift, make sure you write a thank you note or...
  12. jmushi1

    Bado maisha anayoishi Rais wa Tanzania na viongozi wa juu, ni ya kifahari sana! Hayaakisi maisha ya masikini walio wengi Tanzania

    Wakuu, sina hata haja ya kuelezea sana! Wote tunafahamu maisha ya viongozi wakuu wa nchi akiongozwa na rais wa nchi! Sijatumia neno “wanyonge”, kwasababu huo unyonge ndo umetumika kuwafanya wananchi wazidi kuwa masikini wa kutupwa! Nimetumia neno masikini, kwasababu wako wengi pamoja na...
  13. Kinyonyoke

    Almanusura Nanga mmoja anipige risasi mafunzoni JKT...

    Majina ya vijana wanaotakiwa kujiunga na mafunzo ya JKT yametangazwa. Kutangazwa kwa majina haya kumezirudisha nyuma kumbu kumbu zangu yapata miaka miwili sasa. Tulikuwa Range(Mazoezi ya ulengaji shabaha).Taratibu zote zilizingatiwa kwa umakini wa hali ya juu sana lakin ilipofika zamu yetu...
  14. J

    Maisha baada ya kutia nia Ubunge

    Hakika maisha baada ya kutia nia ubunge, yatakuwa magumu sana kwa watia nia wengi ehee Mungu wasaidie watia nia wote maana wengine maisha yao yatabadilika kutoka uchumi wa kati hadi umaskini totoro
  15. G

    Haya maisha haya! Acheni tu

    Mwaka juzi nilichaguliwa Chuo cha Mwenge kule Moshi lkn sikufanikiwa kwenda kutokana na hali ngumu ya kiuchumi. Sikuwa na hela hata kidogo na wakati huo ndo nilikua nimetoka form six. Home wazazi ni hohehahe wa kutupwa hawana mbele Wala nyuma. Sikupata mkopo hata ASILIMIA sifuri hivyo nikaamua...
  16. Mkogoti

    Ukipewa nafasi ya kuyaanza upya Maisha yako jambo gani ungelibadilisha?

    Mimi kwakweli ningetaka kwanza nirudi shuleni kuanza chekechea mpaka darasa la saba, nategea ikifika 2009 nakuwa Msanii najiita Diamond Platnumz 😜😜🤣🤦natunga kamwambie ndio naanza nao maana si ndio uliomtoa🤣 sianzi na ile sijui jisachi, maana sitatoka ntapigika kitaa. Ewe Mwenzangu na mimi...
  17. Erythrocyte

    GE2020 Askofu Josephat Gwajima achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

    Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM. Adskofu Gwajima pia amewahi kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (Doctor of philosopy in Theology...PhD), ambayo ameisomea katika Chuo cha Omega Global University...
  18. Petro E. Mselewa

    Tuwe wakweli: Ubunge umekuwa rahisi na usiotisha tena. Kuna wa kulaumiwa au kupongezwa?

    Mimi si mtu mzima sana ingawa nami najongea miaka ya kuweza kugombea Urais wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa(miaka 40). Hatahivyo, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na mambo ya kinchi tangu nikiwa mdogo. Leo, nitalizungumzia Bunge kama Mhimili mmojawapo wa dola. Mingine, wengi...
  19. Infantry Soldier

    Uislam sio ugaidi na waislam sio magaidi: Sheikh Najih Shaker Al-Baldawi ni shujaa wa Iraq aliyemkumbatia "Suicide Bomber" kisha kuokoa maisha ya watu

    UISLAM SIO UGAIDI NA WAISLAM SIO MAGAIDI: Sheikh Najih Shaker Al-Baldawi ni shujaa wa Iraq aliyemkumbatia "Suicide Bomber" kisha kuokoa maisha ya wenzake. UTANGULIZI: Kwa msio nifahamu mimi Infantry Soldier ni mkristo ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na wala waislamu si magaidi...
Back
Top Bottom