sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Sote tunajua Mzanzibari ni mtu mwenye nafasi kubwa sana nchi nzima ya kupata ahueni ya maisha.
Tukianza kazi Wazanzibari walioelimika hata kidogo tu wakija kuomba kazi bara huwa wanapewa kipaumbele kikubwa kwasababu ya kuwa Wazanzibar.
Ukija hata jeshini huku wazanzibar huwa wanapewa upendeleo wa hali ya juu sana, ila kwa kule kwao jeshi lao naskia hata kujiunga tu ukiwa wa bara ni ishu.
Nafasi za uongozi Serikalini nazo ni tele huko kwao, kuna wilaya 11 na mikoa mitano licha ya kwamba eneo lote hilo ni kama wilaya moja tu ya Dar, Ukija huku nako bara mzanzibari anapewa kipaumbele baadhi a nafasi za uongozi wamo.
Yani kiufupi uwezekano wa kuyapata maisha na mkubwa, watu wachache ila nafasi ni nyingi tena nzito tu.
Nakumbuka hata nilipokuwa nasoma chuoni walikuwepo wazanzibari, Leo hii kati ya wale wazanzibar ambao nawajua wengine ni wakurugenzi tayari.
Sasa nimeona ya nini wanangu wahangaike wakai oppurtunity ipo, Hata wakiwa wakubwa wakaja kujiunga jeshini au kuomba kazi au kuingia kwenye siasa itakuwa ni rahisi maana watapewa kipaumbele.
Je, nifanye nini wanangu wawe raia wa Zanzibar.
Tukianza kazi Wazanzibari walioelimika hata kidogo tu wakija kuomba kazi bara huwa wanapewa kipaumbele kikubwa kwasababu ya kuwa Wazanzibar.
Ukija hata jeshini huku wazanzibar huwa wanapewa upendeleo wa hali ya juu sana, ila kwa kule kwao jeshi lao naskia hata kujiunga tu ukiwa wa bara ni ishu.
Nafasi za uongozi Serikalini nazo ni tele huko kwao, kuna wilaya 11 na mikoa mitano licha ya kwamba eneo lote hilo ni kama wilaya moja tu ya Dar, Ukija huku nako bara mzanzibari anapewa kipaumbele baadhi a nafasi za uongozi wamo.
Yani kiufupi uwezekano wa kuyapata maisha na mkubwa, watu wachache ila nafasi ni nyingi tena nzito tu.
Nakumbuka hata nilipokuwa nasoma chuoni walikuwepo wazanzibari, Leo hii kati ya wale wazanzibar ambao nawajua wengine ni wakurugenzi tayari.
Sasa nimeona ya nini wanangu wahangaike wakai oppurtunity ipo, Hata wakiwa wakubwa wakaja kujiunga jeshini au kuomba kazi au kuingia kwenye siasa itakuwa ni rahisi maana watapewa kipaumbele.
Je, nifanye nini wanangu wawe raia wa Zanzibar.