kupendana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Tuombee upinzani Tanzania umoja, maelewano, kupendana, kuheshimiana kuaminiana na kusikilizana

    Afya, ustawi na kushamiri kwa Demokrasia, Haki, Usawa na Maendeleo yoyote duniani mathalani kiuchumi, kijamii au kisiasa, huchochewa sana kwa namna moja ama nyingine, na uwepo na msukumo wa upinzani imara wenye, sauti moja , nia moja, mipango madhubuti, lengo na uelekeo mmoja. Tumuombe Mungu wa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Asije akakudanganya MTU; Wanawake Hawapendani na hawatakuja kupendana

    ASIJE AKAKUDANGANYA MTU; WANAWAKE HAWAPENDANI NA HAWATAKUJA KUPENDANA. Anaandika, Robert Heriel Mwanasaikolojia. Wanawake wenyewe hili wanalijua fika, wala hawahitaji mtu wa kuwaambia au kuwakumbusha. Kwa sababu kiasili tangu wanazaliwa wanajua Jambo hili fika. Wanawake kiasili hawaaminiani...
  3. Maleven

    Kwanini mizani ya mapenzi hai-balance?

    Kuna wapenzi mliokutana mizani ya mapenzi iko sawa na mnashidana kupendana zaidi? Imagine kuna mdada unampenda sana lakini yeye kama haelewi how deep you're au anaelewa ila anachukulia for granted. Wakati huo huo, kuna mdada/wadada wanatamani sana kua na wewe, wanaonesha jitihada lakini we...
  4. K

    Tukipunguza wivu na kupendana taifa letu litaenda mbele zaidi

    Leo naomba niseme tu ya moyoni bila kuweka siasa. Jamii zetu sisi kama Watanzania kwa kuishi kwangu nje ya nchi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Lakini nimekaa na jamii tofauti, nimetembea nchi tofauti na kuona jamii zao lakini vilevile nimeishi na watu wa jamii karibia za aina zote hapa Duniani...
  5. G

    Kakibunda ka wapendanao day

    Tuepane mishe wadau wapi niweke ka pesa chap nipate kakibunda ka kumtutumua mtoto wa ma mkwee?
  6. Komeo Lachuma

    Mkitaka kufurahia, kuepuka kuuana na kupendana kwa dhati msiwape hela

    Nlianza na huu utaratibu baada ya kugundua kumbe tunapofanya mapenzi na mademu nao wanasikia utamu sana tu. Miaka ya nyuma nlidhani ni sisi tu wanaume...nlipoanza kugegedana na nikapata uzoefu nligundua wote tunapata utamu. Nliona wakati mwingine baby anadai kabisa kuwa ana wazungu...
  7. C

    Atakuwa ananipenda au ananitamani tu?

    Kuishi kwingi unapitia mengi bandugu... Nime experience aina ya mahusiano ambayo sijawahi ona. Mwaka 2015 nilikutana na mdada mmoja nikiwa likizo fupi home. Hatukutongozana wala kuwa pamoja kivile but ilitokea siku moja niko tiz akataka nayeye ashiriki nikamkaribisha baada ya hapo nikajilia...
  8. Bata batani

    Ni maneno gani matamu unaweza kumwambia mpenzi wako yakamfanya asisimuke na kukupenda?

    Kwa wale wataalamu wa maneno Hebu tusaidiane ni maneno Gani ukimwambia mtoto wa kike au kiume akiwa kama mpenzi yakamfanya moyo wake usisimke na kukupenda zaidi. Kama unayo hebu tupia maneno matamu ya kumsisimuaa mpenzi wako kiasi kwamba akasisimka na kukupenda hatari.
Back
Top Bottom