day

A day is approximately the period during which the Earth completes one rotation around its axis, which takes around 24 hours. A solar day is the length of time which elapses between the Sun reaching its highest point in the sky two consecutive times. Days on other planets are defined similarly and vary in length due to differing rotation periods, that of Mars being slightly longer and sometimes called a sol.
The unit of measurement "day" (symbol d) is defined as 86,400 SI seconds.
The second is designated the SI base unit of time. Previously, it was defined in terms of the orbital motion of the Earth in the year 1900, but since 1967 the second and so the day are defined by atomic electron transition.
A civil day is usually 24 hours, plus or minus a possible leap second in Coordinated Universal Time (UTC), and occasionally plus or minus an hour in those locations that change from or to daylight saving time.
Day can be defined as each of the twenty-four-hour periods, reckoned from one midnight to the next, into which a week, month, or year is divided, and corresponding to a rotation of the earth on its axis. However, its use depends on its context; for example, when people say 'day and night', 'day' will have a different meaning: the interval of light between two successive nights, the time between sunrise and sunset; the time of light between one night and the next. For clarity when meaning 'day' in that sense, the word "daytime" may be used instead, though context and phrasing often makes the meaning clear. The word day may also refer to a day of the week or to a calendar date, as in answer to the question, "On which day?" The life patterns (circadian rhythms) of humans and many other species are related to Earth's solar day and the day-night cycle.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025

    Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni. Kaa karibu kwa Live updates Asubuhi...
  2. Mohamed Said

    Salim Kikeke na Mohamed Said Karume Day

    https://youtu.be/EYP1e2tToZc?si=ANvPuvwWhSjtQO_h
  3. Mohamed Said

    Nyerere Day: Historia ya Karume

    https://youtu.be/XIa2ltkf0u4?si=HWHNYLJcPJFEI439
  4. Mohamed Said

    KARUME Day: Historia ya Karume na Mapinduzi

    https://www.youtube.com/live/tgpm1rOJpeM?si=voIwGe_Sw_H7wvmh
  5. F

    AIRTEL: Hatuadhimishi Karume Day bali Twakumbukia " Kumbukizi".

    Mtandao wa simu wa Airtel wamenitakia maadhimisho mema ya siku ya Karume. Sio kuadhimisha bali ni kukumbukia. Tunaadhimisha jambo Zuri lililotokea bali jambo baya kama kifo ni kumbukizi maana alitutoka huku tukimuhitaji. Wazungu husema Commomerate na sio celebrate. Asanteni.
  6. Keynez

    Wakati umefika tuwe na Sikukuu ya Tanzania President's Day

    Kutokana na kwamba sasa hivi tunaendelea kuwa na wingi wa Marais waliotumikia nchi yetu na wengine kufariki wakiwa madarakani, nadhani imefika wakati sasa tuwe na siku maalumu ya President's Day. Siku hiyo tutaitumia kuwaenzi na kuyatafakari yale mazuri na yale tuliyojifunza kutoka kwa kila...
  7. Kisesetusese

    Tuungane tuipinge siku hii April Prank fool day

    Nashukuru hadi muda huu sijakutana na prank yoyote ile. Asili halisi ya Siku ya Wajinga (April Fools' Day) haijulikani kwa hakika, ingawa nadharia kadhaa zimependekezwa. Kuna mjadala kuhusu uhusiano kati ya tarehe 1 Aprili na ujinga katika kazi ya Geoffrey Chaucer, The Canterbury Tales (1392)...
  8. Expensive life

    Mama amshika pabaya mchungaji, Mungu kasema unipe laki sita

    Wakuu Mungu kasema na Mama ajabu mchungaji anajianya hasikii.😁😁
  9. Deejay eXii

    Tambara: The day of the Jackal (2024)

    ______________________ ▪️ Genre: Crime, Thriller, Action ▪️ Date: Nov 7th 2024 (Peacock Original Series) ▪️ Rate: 8.2/10 IMDb & 85% Rotten tomatoes ▪️ Parental Guidance: R (Restricted – Inafaa kwa watu wazima) ▪️ Origin: Uingereza, Marekani ▪️ Time: 40-65 mins/Season 1(Episodi kadhaa)...
  10. R

    Wachawi Wana Roho mbaya, jamaa alirogwa mguu mmoja unapiga mateke wenyewe unlimited, day and night!

    Hellow! Kama una ndugu Yako anaenda Kwa Waganga usicheke naye, aweza kukutegea mtego na kukumaliza, Imeandikwa ,adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwake, yule aliye karibu, mke, mume,shangaji nk nk, Ndugu ZANGU ni akina nani? Aliuliza swali hili Yesu, na akajibu, ndugu ZANGU ni Hawa wasikiao na...
  11. Stephano Mgendanyi

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, Ashiriki Sherehe ya Police Simiyu Family Day

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, Ashiriki Sherehe ya Police Simiyu Family Day 📅 Tarehe: 22 Februari 2025 📍 Eneo: Viwanja vya Kituo cha Polisi, Itilima Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, ameshiriki katika sherehe ya Police Simiyu...
  12. Jack Daniel

    Happy valentine Day

    Ndivyo navyoweza kusema Watu wamesherehekea vyema na wapenzi wao ,kila sikukuu ina maana yake. Wapo wanaotaka out kila weekend,. Lakini outing ya Leo ni ya kipekee Kwa wengi. Wapo wanakula vizuri kila siku,lakini mlo wa leo ni zaidi ya kula. Watu wanapeana zawadi kila siku lakini Gifts za...
  13. musicarlito

    Tusiipotoshe Sikukuu ya Mtakatifu Valentino (Valentine's day)

    MTAKATIFU VALENTINO, PADRI NA ASILI YA SIKU YA WAPENDANAO ( VALENTINE DAY ) Siku ya Valentine Day asili yake ni kutoka Dola ya Warumi. Ni siku ya kumkumbuka Padre Valentino aliyeuawa na utawala wa Kirumi. Mt. Valentini alizaliwa mwaka 226 AD huko Terni, Nchini Italia na aliuawa Februari 14...
  14. jannelle

    Happy Valentine's day dear Lovers & Friends

    Happy Valentine's Your all Deserve this. Enjoy your Day. Kisses 😘
  15. Liverpool VPN

    Happy Mariage Day:- Njooni tuwape pole waliojitafutia majanga makuu kwenye hii dunia ya utandawazi..!!!

    Siku ya Kimataifa ya Wenzi wa Ndoa:kuheshimu mume na mke kama msingi wa familia Siku ya kimataifa ya Wenzi wa Ndoa ni sheherehe ambayo inahimiza kuheshimu mume na mke kama jiwe kuu la pembeni la familia,umoja msingi wa jamii ya kila tamaduni,kabila,koo na taifa.Adhimisho hili linahamasisha uzuri...
  16. Heci

    Nauchukia mwezi February, mwezi wa birthday ya mke wangu, mwezi wa birthday ya CCM, mwezi wa Valentine's Day

    Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January. Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb. Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake...
  17. uhurumoja

    Makarasha day

    Jamaa Kenneth atakuwa na hela sio poa maana kwa kikosi hiki na Kila mwezi alipe mishahara asafirishe wachezaji agharamie chakula na malazi mara matibabu 🙌🙌🙌Nadhani hata hao kina gsm hawafati kwa huyu jamaa
  18. H

    Tips of the Day CAFCL na CAFCC, kaeni humu tumfilisi muhindi leo

    1.Bravo vs Simba Bravo double chance✅✅ 2.Al hilal vs Yanga Yanga double chance✅✅ Mpe double chance Bravo na Yanga upate hela za bure
  19. G

    Sioni haja ya kusomesha watoto boarding kama kuna shule nzuri za Day maeneo tunayoishi na mzazi / mlezi una muda wa kumfuatilia mtoto

    Kwanza kabisa kama ulisoma boarding, ni kipi ulichomzidi mwenzako aliesoma day na mkafaulu wote mpaka mkahitimu chuo ? Kwa hali ya sasa kuna maeneo yana shule kibao za day na zinafaulisha, Je tuendelee na ule utaratibu wa kupeleka watoto boarding kama zamani ? Binafsi nakumbuka nilisoma...
  20. P

    leo ni happy barth day ya mungu wa wakiristo

    kamatunavyo jua wakiristo wanadai yesu ni mungu naleo inasemekana ndio siku aliozaliwa yesu naleo wakiristo wanasherehekea barth day ya yesu mimi sinamengi yakusema zaidi yakuwatakia herí ya siku yakuzaliwa kwa mungu wao yesu kiristo mwana wa mama Maria (bikra) sikukuu njema wadau😁😁
Back
Top Bottom