A day is approximately the period during which the Earth completes one rotation around its axis, which takes around 24 hours. A solar day is the length of time which elapses between the Sun reaching its highest point in the sky two consecutive times. Days on other planets are defined similarly and vary in length due to differing rotation periods, that of Mars being slightly longer and sometimes called a sol.
The unit of measurement "day" (symbol d) is defined as 86,400 SI seconds.
The second is designated the SI base unit of time. Previously, it was defined in terms of the orbital motion of the Earth in the year 1900, but since 1967 the second and so the day are defined by atomic electron transition.
A civil day is usually 24 hours, plus or minus a possible leap second in Coordinated Universal Time (UTC), and occasionally plus or minus an hour in those locations that change from or to daylight saving time.
Day can be defined as each of the twenty-four-hour periods, reckoned from one midnight to the next, into which a week, month, or year is divided, and corresponding to a rotation of the earth on its axis. However, its use depends on its context; for example, when people say 'day and night', 'day' will have a different meaning: the interval of light between two successive nights, the time between sunrise and sunset; the time of light between one night and the next. For clarity when meaning 'day' in that sense, the word "daytime" may be used instead, though context and phrasing often makes the meaning clear. The word day may also refer to a day of the week or to a calendar date, as in answer to the question, "On which day?" The life patterns (circadian rhythms) of humans and many other species are related to Earth's solar day and the day-night cycle.
Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar.
Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni.
Kaa karibu kwa Live updates
Asubuhi...
Mtandao wa simu wa Airtel wamenitakia maadhimisho mema ya siku ya Karume. Sio kuadhimisha bali ni kukumbukia. Tunaadhimisha jambo Zuri lililotokea bali jambo baya kama kifo ni kumbukizi maana alitutoka huku tukimuhitaji.
Wazungu husema Commomerate na sio celebrate.
Asanteni.
Kutokana na kwamba sasa hivi tunaendelea kuwa na wingi wa Marais waliotumikia nchi yetu na wengine kufariki wakiwa madarakani, nadhani imefika wakati sasa tuwe na siku maalumu ya President's Day.
Siku hiyo tutaitumia kuwaenzi na kuyatafakari yale mazuri na yale tuliyojifunza kutoka kwa kila...
Nashukuru hadi muda huu sijakutana na prank yoyote ile.
Asili halisi ya Siku ya Wajinga (April Fools' Day) haijulikani kwa hakika, ingawa nadharia kadhaa zimependekezwa.
Kuna mjadala kuhusu uhusiano kati ya tarehe 1 Aprili na ujinga katika kazi ya Geoffrey Chaucer, The Canterbury Tales (1392)...
Hellow!
Kama una ndugu Yako anaenda Kwa Waganga usicheke naye, aweza kukutegea mtego na kukumaliza,
Imeandikwa ,adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwake, yule aliye karibu, mke, mume,shangaji nk nk,
Ndugu ZANGU ni akina nani? Aliuliza swali hili Yesu, na akajibu, ndugu ZANGU ni Hawa wasikiao na...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, Ashiriki Sherehe ya Police Simiyu Family Day
📅 Tarehe: 22 Februari 2025
📍 Eneo: Viwanja vya Kituo cha Polisi, Itilima
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndg. Shemsa Mohamed, ameshiriki katika sherehe ya Police Simiyu...
Ndivyo navyoweza kusema
Watu wamesherehekea vyema na wapenzi wao ,kila sikukuu ina maana yake.
Wapo wanaotaka out kila weekend,.
Lakini outing ya Leo ni ya kipekee Kwa wengi.
Wapo wanakula vizuri kila siku,lakini mlo wa leo ni zaidi ya kula.
Watu wanapeana zawadi kila siku lakini Gifts za...
MTAKATIFU VALENTINO, PADRI NA ASILI YA SIKU YA WAPENDANAO ( VALENTINE DAY )
Siku ya Valentine Day asili yake ni kutoka Dola ya Warumi.
Ni siku ya kumkumbuka Padre Valentino aliyeuawa na utawala wa Kirumi.
Mt. Valentini alizaliwa mwaka 226 AD huko Terni, Nchini Italia na aliuawa Februari 14...
Siku ya Kimataifa ya Wenzi wa Ndoa:kuheshimu mume na mke kama msingi wa familia
Siku ya kimataifa ya Wenzi wa Ndoa ni sheherehe ambayo inahimiza kuheshimu mume na mke kama jiwe kuu la pembeni la familia,umoja msingi wa jamii ya kila tamaduni,kabila,koo na taifa.Adhimisho hili linahamasisha uzuri...
Huu mwezi sipendi kabisa. Nimetoka kulipa ada ya watoto watatu,mwezi uliopita January.
Inaingia February inaanza na siku ya CCM, mkosi namba Moja tarehe 05/ Feb.
Inafuata birthday ya mama watoto, she is very much demanding, yaani kwake birthday yake ni kama kamungu kake kadogo, utake usitake...
Jamaa Kenneth atakuwa na hela sio poa maana kwa kikosi hiki na Kila mwezi alipe mishahara asafirishe wachezaji agharamie chakula na malazi mara matibabu
🙌🙌🙌Nadhani hata hao kina gsm hawafati kwa huyu jamaa
Kwanza kabisa kama ulisoma boarding, ni kipi ulichomzidi mwenzako aliesoma day na mkafaulu wote mpaka mkahitimu chuo ?
Kwa hali ya sasa kuna maeneo yana shule kibao za day na zinafaulisha, Je tuendelee na ule utaratibu wa kupeleka watoto boarding kama zamani ?
Binafsi nakumbuka nilisoma...
kamatunavyo jua wakiristo wanadai yesu ni mungu naleo inasemekana ndio siku aliozaliwa yesu
naleo wakiristo wanasherehekea barth day ya yesu
mimi sinamengi yakusema zaidi yakuwatakia herí ya siku yakuzaliwa kwa mungu wao yesu kiristo mwana wa mama Maria (bikra)
sikukuu njema wadau😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.