covax

COVID-19 Vaccines Global Access, abbreviated as COVAX, is a worldwide initiative aimed at equitable access to COVID-19 vaccines directed by Gavi, the Vaccine Alliance (formerly the Global Alliance for Vaccines and Immunization, or GAVI), the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations (CEPI), and the World Health Organization (WHO). It is one of the three pillars of the Access to COVID-19 Tools Accelerator, an initiative begun in April 2020 by the WHO, the European Commission, and the government of France as a response to the COVID-19 pandemic. COVAX coordinates international resources to enable low-to-middle-income countries equitable access to COVID-19 tests, therapies, and vaccines. By 15 July 2020, 165 countries – representing 60% of the human population – had joined COVAX. However, as of 11 April 2021, COVAX is falling short of its goal, having delivered 38.5 million doses despite a goal of 100 million by the end of March.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Siasa za Chanjo za Uviko (Politics of Covax)

    Kwakuwa chanjo ni vijidudu vilivyofubazwa nguvu vinapandikizwa mwilini ili viishi na wewe milele, sasa je, nisipochanja Corona alafu mtu aliyechanja akaniongezea damu wakati nilipohitaji damu je, vijidudu vile (chanjo yake) haviwezi kuhamia kwangu kwenye damu yake ile aliyoniongezea na kwamba...
  2. beth

    Tanzania na Marekani kuimarisha ushirikiano

    Marekani imesema itaendeleza kushirikiana na Tanzania katika maeneo mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Siasa, Balozi Victoria Nuland leo Agosti 04, 2021 Akizungumza na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Nuland pia amesema...
  3. jingalao

    Chinese companies to supply millions of COVID-19 vaccines to COVAX

    Hatimaye China imeingia mkataba wa kusupply chanjo ya corona kwa mpango wa covax. Kampuni za utengenezaji chanjo za china hatimaye zimeula! KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! ====== Chinese pharmaceutical companies including Sinopharm and Sinovac signed agreements to supply millions of doses of...
  4. Sam Gidori

    #COVID19 Takwimu: Mwenendo wa Chanjo ya COVID-19 barani Afrika - Julai 2021

    Baada ya kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona duniani mwanzoni mwa mwaka jana, dunia ilianza kutafuta chanjo, na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka, kampuni kubwa tano za Pfizer-BioNTech, Moderna, AstraZeneca na Johnson & Johnson zilikuwa zimetengeneza chanjo za kukabiliana na ugonjwa huo...
  5. Sam Gidori

    Kenya kupokea chanjo ya Corona iliyorudishwa na Sudan Kusini

    Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX. Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
  6. Venus Star

    COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

    Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao. Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam. Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!? Wamerukia...
  7. Richard

    #COVID19 Je, Tanzania imejiandaa kupokea dawa za Astra Zeneca zilizokataliwa huko kwingine? Pia tutakubali dawa za COVAX kama mkopo au tutagharamia wenyewe?

    Hadi sasa dawa ya chanjo ya Astra Zeneca imezuiwa kutumia katika nchi mbalimbali duniani. Dawa hii ambayo yatengenezwa nchini Uingereza imedaiwa kusababisha mgando wa damu na hatimae muathirika kufariki kwa moyo kukosa hewa kutoka mwenye mishipa ya damu. Uingereza iliiweka Tanzania kwenye ya...
Back
Top Bottom