COVID-19 Vaccines Global Access, abbreviated as COVAX, is a worldwide initiative aimed at equitable access to COVID-19 vaccines directed by Gavi, the Vaccine Alliance (formerly the Global Alliance for Vaccines and Immunization, or GAVI), the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations (CEPI), and the World Health Organization (WHO). It is one of the three pillars of the Access to COVID-19 Tools Accelerator, an initiative begun in April 2020 by the WHO, the European Commission, and the government of France as a response to the COVID-19 pandemic. COVAX coordinates international resources to enable low-to-middle-income countries equitable access to COVID-19 tests, therapies, and vaccines. By 15 July 2020, 165 countries – representing 60% of the human population – had joined COVAX. However, as of 11 April 2021, COVAX is falling short of its goal, having delivered 38.5 million doses despite a goal of 100 million by the end of March.
Kwakuwa chanjo ni vijidudu vilivyofubazwa nguvu vinapandikizwa mwilini ili viishi na wewe milele, sasa je, nisipochanja Corona alafu mtu aliyechanja akaniongezea damu wakati nilipohitaji damu je, vijidudu vile (chanjo yake) haviwezi kuhamia kwangu kwenye damu yake ile aliyoniongezea na kwamba...
Marekani imesema itaendeleza kushirikiana na Tanzania katika maeneo mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Siasa, Balozi Victoria Nuland leo Agosti 04, 2021
Akizungumza na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Nuland pia amesema...
Hatimaye China imeingia mkataba wa kusupply chanjo ya corona kwa mpango wa covax.
Kampuni za utengenezaji chanjo za china hatimaye zimeula!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
======
Chinese pharmaceutical companies including Sinopharm and Sinovac signed agreements to supply millions of doses of...
Baada ya kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona duniani mwanzoni mwa mwaka jana, dunia ilianza kutafuta chanjo, na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka, kampuni kubwa tano za Pfizer-BioNTech, Moderna, AstraZeneca na Johnson & Johnson zilikuwa zimetengeneza chanjo za kukabiliana na ugonjwa huo...
Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX.
Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia...
Hadi sasa dawa ya chanjo ya Astra Zeneca imezuiwa kutumia katika nchi mbalimbali duniani.
Dawa hii ambayo yatengenezwa nchini Uingereza imedaiwa kusababisha mgando wa damu na hatimae muathirika kufariki kwa moyo kukosa hewa kutoka mwenye mishipa ya damu.
Uingereza iliiweka Tanzania kwenye ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.