Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,656
- 59,718
Jana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.