Search results

  1. B

    Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya

    Umetumia akili ndogo Sana kufikiria
  2. B

    Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya

    Hujaacha Tu kuvuta bngi
  3. B

    Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya

    Habari zenu. Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi. Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja. Atafute watu sahihi wa kumsimamia nyuma yake. Ninamuona ana kipaji kikubwa lakini kuna marekebisho...
  4. B

    Nisaidieni suala hili kuhusu uanzishwaji wa kampuni hapa nchini Tanzania

    Habari zenu wadau wa JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba nipate maoni yenu kuhusu uanzishwaji wa kampuni hapa nchini Tanzania. Ninataka kuanzisha kampuni ambayo itajikita katika ununuaji na uzalishaji wa bidhaa za kilimo ndani na nje ya nchi. Je ninaweza nikaanzisha kampuni ya...
  5. B

    Rais Samia asingembadilisha Balozi Mbelwa Kairuki

    Daah kaka mbona huna hekima
  6. B

    Rais Samia asingembadilisha Balozi Mbelwa Kairuki

    Habari zenu, Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza. Kwanini kitendo cha...
  7. B

    Hivi wanawake wakoje? Hebu msomeni huyu

    Sasa juzi kanitafutia nn
  8. B

    Hivi wanawake wakoje? Hebu msomeni huyu

    Habari zenu.Nianze kwa kuuliza hivi wanawake wakoje?.Hii imenitokea juzi jioni.Ni hivi nilikuwa katika mahusiano na mwanamke ni mahusiano ambayo sikuwahi kuyaelewa nikaamua kuachana nayo. Kwanini Niliamua kumuacha huyo mwanamke?.Hakuwa serious na mimi kwani...
  9. B

    Nielimisheni kuhusu hii App ya Boxreta

    Ok Sawa nilitaka Tu kujua kama app hiyo ipo active na unafanya kazi
  10. B

    Nielimisheni kuhusu hii App ya Boxreta

    Habari zenu wakuu Jana nilisoma ujumbe sehemu kuhusu app inayoitwa Boxreta kwamba ni app ambayo inauwezo wa kumsaidia mtumiaji aweze kusoma meseji za mtu mwingine. Swali langu kwa waliowahi kutumia app hii je unafanya kazi kweli? au ni ya matapeli maana nasikia app hiyo ni ya hapa hapa Tanzania.
  11. B

    Msanii Barnaba atanisamehe katika hili

    Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi. Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa...
  12. B

    Mfanyabishara Paulo Mashauri, anajua sana aisee

    Habari zenu.Naanza mwaka 2018 ndiyo ulikuwa ni mwaka wangu wa kwanza kumjua mfanyabiashara au mjasiriamali ambaye anaitwa Paulo Mashauri. Ilikuwa katika kituo cha redio cha Times FM kipindi kilikuwa kinaitwa "Mambo ya fedha" ambacho kilikuwa kinarushwa kila jumapili kuanzia saa...
Back
Top Bottom