BIG Africa
Member
- Oct 15, 2022
- 84
- 116
Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.
Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.
Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.
Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.
Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.
Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.
Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.