Rais Samia asingembadilisha Balozi Mbelwa Kairuki

BIG Africa

Member
Oct 15, 2022
84
116
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
Na nyie Wahaya tumewachoka kwa mbwembwe. Yaani Balozi tu imekuwa kila siku kumfungulia threads humu.

Kwani huyo Kairuki alizaliwa kuwa Balozi wa China? Acheni upumbavu.

Huyo aliyepelekwa huko pia ataweza kufanya kazi. Au alikuwa anasimamia madili ya wahuni?

Kairuki Kairuki Kairuki huku nchi inauzwa vipande vipande. Pigania kwanza rasilimali za nchi, hayo mengine yatafuatia.

Tena huenda ni wewe huyu Kairuki. Koma wee
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.

Who cares?
 
Daah kaka mbona huna hekima
Na nyie Wahaya tumewachoka kwa mbwembwe. Yaani Balozi tu imekuwa kila siku kumfungulia threads humu.

Kwani huyo Kairuki alizaliwa kuwa Balozi wa China? Acheni upumbavu.

Huyo aliyepelekwa huko pia ataweza kufanya kazi. Au alikuwa anasimamia madili ya wahuni?

Kairuki Kairuki Kairuki huku nchi inauzwa vipande vipande. Pigania kwanza rasilimali za nchi, hayo mengine yatafuatia.

Tena huenda ni wewe huyu Kairuki. Koma wee
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
China wameamua kuwekeza karibu dunia nzima na sio Tanzania tu. Bila hata balozi bado wawekezaji wa kichina wanaweza kuja. Usitake kumpa sifa za kijinga kama watu hatujui policy ya China kuhusu uwekezaji duniani.

Kama kweli anaweza kushawishi wawekezaji, akawashawishi hao waingereza waje, sio kutaka kupatia pointi za mezani kwa hao wachina.
 
Kitu pekee nachoweza amini kama sababu ya Asha Rose Migiro kuondolewa U.K. itakuwa kaomba mwenyewe umri umeenda anataka arudishwe kupumzika.

Aisee yule mama uwezi kuamini kama alishakuwa makamu wa UN na kashika nafasi kubwa Tanzania, hana tofauti na mama ya nyumba ya jirani mitaa yetu ya uswazi alieridhika na maisha na kila mtoto mtaani anamuona wake.

Ukikutana na Migiro ni very humble, ukiona mtu ana tatizo na yule mama una kila sababu ya kuamini tatizo ni huyo mtu mwingine. Unapata picha kwanini huko serikalini kadumu kwa muda mrefu aisee yule mama mstaarabu sana na accessible kwa mtu yeyote.
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.

Yaani kuuza sura kwa media ndo kuupiga mwingi?
 
Kitu pekee nachoweza amini kama sababu ya Asha Rose Migiro kuondolewa U.K. itakuwa kaomba mwenyewe umri umeenda anataka arudishwe kupumzika.

Aisee yule mama uwezi kuamini kama alishakuwa makamu wa UN na kashika nafasi kubwa Tanzania, hana tofauti na mama ya nyumba ya jirani mitaa yetu ya uswazi alieridhika na maisha na kila mtoto mtaani anamuona wake.

Ukikutana na Migiro ni very humble, ukiona mtu ana tatizo na yule mama una kila sababu ya kuamini tatizo ni huyo mtu mwingine. Unapata picha kwanini huko serikalini kadumu kwa muda mrefu aisee yule mama mstaarabu sana na accessible kwa mtu yeyote.
Kabla ya mabadikiko haya Rais alisikika aki sema kuna mmoja wa balozi huwa haendi hata kazini na kama unakumbuka huko UN pia alisha kuwana tuhuma za kuto kuwa kwnye kituo cha kazi muda wote ana safiki kuja TZ , je Mama alikua ana muongelea huyu au ni nani?
 
China wameamua kuwekeza karibu dunia nzima na sio Tanzania tu. Bila hata balozi bado wawekezaji wa kichina wanaweza kuja. Usitake kumpa sifa za kijinga kama watu hatujui policy ya China kuhusu uwekezaji duniani.

Kama kweli anaweza kushawishi wawekezaji, akawashawishi hao waingereza waje, sio kutaka kupatia pointi za mezani kwa hao wachina.
Kairuki ni balozi mzuri, Sifa zake apewe!
Huyu ni Balozi anayejibu yeye mwenyewe personally matatizo yako na kukutafutia stakeholders unaowahitaji huko china.
 
Na nyie Wahaya tumewachoka kwa mbwembwe. Yaani Balozi tu imekuwa kila siku kumfungulia threads humu.

Kwani huyo Kairuki alizaliwa kuwa Balozi wa China? Acheni upumbavu.

Huyo aliyepelekwa huko pia ataweza kufanya kazi. Au alikuwa anasimamia madili ya wahuni?

Kairuki Kairuki Kairuki huku nchi inauzwa vipande vipande. Pigania kwanza rasilimali za nchi, hayo mengine yatafuatia.

Tena huenda ni wewe huyu Kairuki. Koma wee
Mkuu una gubu na sisi Wahaya? Ni kweli Balozi Kairuki alifanya vizuri China, lakini sio ridhaa yake kung'ang'ania kubaki China kwasababu hata huko alipelekwa na Rais. Ila, wale walioona kazi yake nzuri ndio wanahuzunika. Naomba niwashauri wanahuzunika, kama alifanya vizuri China, basi atafanya vizuri pia na Uingereza.
 
Alete hao waingereza basi tujue uwezo wake wa ushawishi ulipo. Hiyo ya kuleta wachina ni sawa na kusukuma gari liko kwenye mteremko kisha useme una nguvu.
Nadhani ukiangalia nafasi ya balozi kama ilivo kisha ukasoma na tena nilichoandika then Hata wewe utampa maua yake Kairuki. Kumbuka mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini balozi yeye binafsi alinisaidia shida yangu na kuhakikisha nimefanikiwa. Huu ni utumishi wa mfano na alama ya kiongozi wa watu.
 
Kabla ya mabadikiko haya Rais alisikika aki sema kuna mmoja wa balozi huwa haendi hata kazini na kama unakumbuka huko UN pia alisha kuwana tuhuma za kuto kuwa kwnye kituo cha kazi muda wote ana safiki kuja TZ , je Mama alikua ana muongelea huyu au ni nani?
Sidhani kama ni yeye, mama Migiro amekaa U.K. zaidi ya miaka 8 kwasababu ana deliver. Hata huyo Magufuli mwenyewe akuangaika nae toka amuweke huko.

Kwa kumuona na wala sidhani kama anashida tena na teuzi za nje ya nchi kwa umri wake: ni mtu alieridhika na kutosheka kwa kumsikiliza.
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
Alisema kuwa anampeleka Balozi wa sasa China kwakuwa ana uzoefu wa fedha na mikopo kimataifa.
 
Back
Top Bottom