Search results

  1. Justdr

    Kwanini wanawake wanapenda sana harusi kuliko ndoa yenyewe!

    Hahahhaha 😀😀🤣🤣 Tengeneza uzi wa hii topic ,nimeipenda sanaa hiii
  2. Justdr

    Kwanini wanawake wanapenda sana harusi kuliko ndoa yenyewe!

    Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe? Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu, watu wasiwepo...
  3. Justdr

    Technology: Mifuko ya uzazi bandia inayotengeneza watoto, wanawake hawatabeba tena mimba. Wazazi kuchagua jinsia,rangi,akili urefu wa watoto?

    Mwanateknolojia wa kibaolojia na mtayarishaji wa Filamu Hashem Al-Ghaili anatupeleka kwenye ziara isiyotulia lakini ya kuvutia ndani ya EctoLife - kituo cha kwanza cha uzazi wa mpango EctoLife ni teknolojia itakayowapa wazazi wa siku za usoni njia mbadala inayodhaniwa kuwa salama zaidi ya...
  4. Justdr

    FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    That's what we call future impossible tense
  5. Justdr

    Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

    Kwamba mimea aina chemicals ? You sure?
  6. Justdr

    Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

    Kama unajua right dosage ya hizo mitishamba na side effects then it's okay. Ila dawa nyingi za kienyeji zinaua figo, ini etc kwa sababu right dosage haifaamiki.
  7. Justdr

    Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

    Majibu ya vipimo vya hepatitis kuna utalaam wake jinsi ya kuyainterpret. Yeah ni kweli 100% mitishamba inaua figo though siyo yote.
  8. Justdr

    Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

    Kama una majibu ya vipimo alivyofanya recently tuma tukusaidie kutafisiri. Maana kinachoonekana hapa ni ameishapona. Usingaike sana na hizo dawa za kienyeji utaua figo.
  9. Justdr

    Ulitumia dawa gani kutibu vidonda vya tumbo?

    Hiyo inaitwa GERD(Gastroesophageal reflux Disease)
  10. Justdr

    Je wajua unaweza kuambukizwa VVU/UKIMWI hata kama uliyefanya naye ngono zembe umempima na majibu yamekuja Negative?

    Yes ,ELISA inauwezo wa kumtambua hata kama yuko window period. But this is not routinely done na hospital zinazofanya hicho kipimo Tanzania zinaweza zisifike Kumi.
  11. Justdr

    Je wajua unaweza kuambukizwa VVU/UKIMWI hata kama uliyefanya naye ngono zembe umempima na majibu yamekuja Negative?

    Hawa hawaitwi carrier bali ni wagonjwa wa HIV kama walivyo wengine sema wao wanakuwa wametumia ARVs na kufata mashariti vizuri kiasi kwamba wakifanya kipimo kinaonesha hawana HIV zinakuwa undetectable) Sema hawa uwezo wao wa kuambukiza wengine Unakuwa mdogo sana.
  12. Justdr

    Je wajua unaweza kuambukizwa VVU/UKIMWI hata kama uliyefanya naye ngono zembe umempima na majibu yamekuja Negative?

    Habari za muda huu? Najua mko wazima kabisa! Wale mnaoumwa Mungu awajalie mrudi kwenye hali zenu za kawaida. Kumekuwa na hii imani kuhusu Virusi Vya UKIMWI watu wanatumia isivyo vipimo vya VVU(HIV SD BIOLINE au OraQuick HIV test) kama namna moja ya kijikinga ya haya maradhi. Watu wamekuwa...
  13. Justdr

    Ulitumia dawa gani kutibu vidonda vya tumbo?

    Vidonda vya tumbo ni moja ya magonjwa yanotusumbua sana miongoni mwetu na hii siyo Tanzania tu ni dunia nzima. Naleta huu uzi kwa maana wanasema sharing problem is half way of solving it. Hivyo bas wenye mlishawahi kuwa na changamoto kama hii na mkapata matibabu, naomba mshare namna...
  14. Justdr

    Being too perfectionist is a weakness

    Perfectionism is something that everyone struggles with at some point or another. Perfectionism is a weakness because it makes us overly critical of ourselves. It keeps us from enjoying life because we spend so much time worrying about making mistakes. We become self-conscious when we make...
Back
Top Bottom