Kwanini wanawake wanapenda sana harusi kuliko ndoa yenyewe!

Justdr

Member
Jun 1, 2021
51
89
Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe?

Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu, watu wasiwepo wengi ili kuepuka gharama hapa na pale, muda and distubance and stuff like that..."

Na nikaahidi hizo gharama ambazo tungefanyia harusi tufanyie biashara, tujenge au tununue usafiri na nikawahakikishia kwa kuwaonesha balance kidogo iliyoko benki ...

But very surprising hakuna hata mmoja aliyekubaliana na mpango wangu huo..🤔🤭 wadada walitaka harusi bhanaaaa...

Kufanya shughuli/harusi ni mission ambayo iko kwa kila akili ya mwanamke
That's it.

But why /kwanini harusi?
 
Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe?

Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu,watu wasiwepo wengi ili kuepuka gharama hapa na pale ,muda and distubance and stuff like that........"

Na nikaahidi hizo gharama ambazo tungefanyia harusi tufanyie biashara,tujenge au tununue usafiri na nikawahakikishia kwa kuwaonesha balance kidogo iliyoko benki ...
But very surprising hakuna hata mmoja aliyekubaliana na mpango wangu huo.. wadada walitaka harusi bhanaaaa...
Kufanya shughuli/harusi ni mission ambayo iko kwa kila akili ya mwanamke
That's it...

But why /kwanini harusi?
Suali hilo hilo utaulizwa kwanini wanaumme hupenda sana ndoa/ uchumba na kutopenda kufanya harusi au shuguri ........
 
Kupanga ni kuchagua kuna wengine wako radhi upike chakula na kuwaalika watoto yatima badala ya kujaza marafiki wanaouliza ooh kulikuwa hakuna soda za kutosha

Wapo wengi mkuu duniani kwani lazima uoe huko nenda hata India utabebwa kama mfalme
 
Wapumbavu uoa wanawake wasio bikra kwa harusi kubwa.
Nasisitiza ni wapumbavu tu ndo uoa waliobikiriwa.
 
Ni wewe tu uliempata...Mungu akikupa mke.... ataendana na maono yao. Personally nimeplan ndoa mwaka huu na haikuzidi milion mbili..kuanzia nguo, usafiri,..ilikua ya watu 24 tuuu...chakula walikaa restaurant wakala..sahani 15000 kila mmoja. No mashangaz ama wajomba. Ni wazaz na ndugu tu...mkisimamia mnalotaka mambo yanajipa...ila sijui nan kasema hiki, nani kajibu hiki..mjomba hataki... Akati ni jambo lenu wawili tu....na mbelen...i mean baada ya ndoa kuna hela ya kuanzia inayohitajika...mtakwama.

Get the right woman first....if she doesnt align with your vision go ask the giver (GOD)first!!.
Am a small event planner..una maswali hasa kama ni mkaka unayetaka harusi ndogo welcome PM...ushauri bure kabisa...
 
Harusi ni kumbukumbu na ni muhimu but inatakiwa kufanyika kwa budget ukiona mwanamke hataki iwe ndani ya Budget yenu basi ujue hapo kinachotafutwa ni ufujaji wa pesa sio harusi!!.
 
Back
Top Bottom