wanapenda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini wanawake vibonge na wenye mavitambi wanapenda style ya kuikalia kwa juu?

    Kuna kautafiti nimekafanya,nimegundua wanawake vibonge na wenye mavitambi wanapenda sana style ya kuikalia kwa juu. Hivi ni kwa nini wanaipenda sana hiyo style?
  2. Funny boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli wanawake wanapenda pesa au ni uongo unaoenezwa na watu wasio na pesa?

    Wakuu naomba nielewe kidogo bila kubishana 😅 Je ni kweli wanawake wengi wanapenda pesa, au ni kauli tu ya watu waliopitia experience tofauti na wale wanaotafuta excuses na faraja ya umasikini wao Nauliza kwa ajili ya kuelewa mtazamo wa watu 🙏 NACHANGANYIKIWA MIMI Funny boe
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanapenda Samia, Nchimbi na Mwigulu wagombane na wasiaminiane, waepukwe kama ukoma

    Kuna watu wanavizia kila kitu anachoongea Samia kama Rais, Nchimbi kama makamu wa Rais na Mwigulu kama Waziri Mkuu wa Tanzania na kukigeuza ili ionekane kana kwamba Samia, Nchimbi na Mwigulu hawapo pamoja, lao sio moja na hawaendi njia moja. Hizi ni siasa za bei rahisi sana za watu waliochoka...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanapenda kujisifia umri mkubwa?

    kuna watu wanafanya umri wa kuzaliwa kama ni mashindano, na pale wanapogundua wao ni wakubwa wanafarijika na wanajisifia sana vitu vitokanavyo na ukubwa wao watu wa namna hii huwa wananifikirisha na ninaiona hii kama changamoto ya afya ya akili kwasababu kimsingi umri wa kuzaliwa unaonyesha tu...
  5. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watanzania wengi wanapenda kuombea ama kusali kwa kitu wanachoweza kukifanyia kazi?

    Hapa namaanisha kwamba. Unakuta mtu anamikono na miguu na ana afya njema kabisa, lakini mtu huyo anatoka kwenda kusugua makoti kwenye nyumba ya ibada ili tu amuombe Mungu amshushie rizki, sasa.... unawezaje kupata rizki kama haufanyi kazi? Huu ni mfano wa kwanza, lakini kuna midano miiingi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanaweza kukaa peke yao siku nzima bila kuchoka, wanapenda wageni ila mgeni ukikaa zaidi ya saa unawaboa

    Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake, Anapenda company lakini iwe ya muda mfupi tu, ukienda kumtembelea kaa nusu saa tembea, ukizidisha unamuona jinsi...
  7. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi uume mkubwa unaanzia size gani?

    Kuna bibie nilikua namtafuna hapa,sasa usiku kucha alikua analalamika eti uume wangu ni mkubwa sana. Sasa naomba kuuliza ,uume mkubwa huwa unaanzia size gani
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania RC Anthony Mtaka wanawake wanapenda uwasifie uongo. Usivuke Mstari watakuchukia sio muda

    Hamjambo wote! 1. Nimemsikia RC Mtaka akiongea Siku ya wanawake. Akijaribu kuikosoa kauli nyuma ya Kila mafanikio ya Mwanaume kuna mwanamke. 2. Anthony Mtaka kauli hiyo aliikosoa vikali kauli hiyo kwamba ni upotoshaji, uongo, na sifa za kilaghai wanazopewa wanawake. 3. Huku akisema...
  9. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa Sasa wanapenda utawala 50/50 wakati huo wanataka kuhudumiwa?

    Kwanini wanawake na mademu wa Sasa wanapenda utawala na 50/50 muda huo wanataka kuhudumiwa Nini maana ya 50/50 utamtawalaje mtu ambaye unataka akuhudumie Yaani mwanamke anataka mpaka pesa ya pedi lakini muda huo huo anataka urudi mapema nyumbani Shame!!
  10. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wanapenda mashangazi kwa sababu hawaingii period muda wowote inapatikana amna usumbufu

    Leo nawapa siri ya vijana kupenda mashangazi ,mashangazi yameshaingia menopause hakuna mambo ya kukwepa mdinyano kisa upo period mashangazi mda wote unadinya ule ubabaifu wa kuwekewa tomato kwenye pedi haupo.
  11. O

    JamiiForums Tanzania Siri inayofichwa kwenye "Yoni Detox" na miungu ya Kike

    CC: Mshana Jr TUFUNDISHE ZAIDI Wimbi la mafunzo yanayoitwa ya "asili" yakilenga wanawake, Kwa kutumia maneno kama Yoni Healing, Womb Health, au Kundalini. Ingawa yanaonekana kama ni mazoezi ya kawaida au afya, ndani yake kuna mambo mazito unayopaswa kuyajua kabla hujaingia. 1. Mtego wa Kiroho...
  12. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania wachina wanapenda black people, eh?!

    wachina wanapenda black people, wala siyo wabaguzi ... https://www.youtube.com/watch?v=TmukzNMpca0
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini watanzania wengi bado wanapenda magari ya zamani yenye gearbox za 4AT badala ya gearbox za kisasa yenye CVT ?

    Magari mengi yenye gearbox za 4at ni yamiaka zaidi ya 15 iliyopita Magari ya CVT ni ya kisasa zaidi na yanatumia mafuta kidogo Lakini unawakuta watu wapo radhi kununua gari yenye 4at yenye gharama kubwa zaidi kuzidi yenye cvt. Kwanini watanzania wanaogopa CVT ?
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Sio polisi wote wanapenda ila wengi wenu watawaponza na familia zenu

    Kuna mapolisi wengine ni wana hofu na mungu ila ni ngumu kuwaona na wanapigwa vita. Nakumbuka kuna mkuu wa kituo pale magomeni alikuwa mtu wa swala tano ,yani hataki kuona mtu kaonewa ila walimuondoa. Kwa mambo ya ajabu yaliopo hapa tanzania mlitakiwa nyie muoneshe mfano sio kuwafurahisha...
  15. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Awe JW au asiwe JW lakini kazungumza Mambo ambayo raia wanapenda. Tumefikaje hapo?

    Tumefikaje hapo raia kupenda mapinduzi au kufurahia habari ambazo sio nzuri kwa serikali na CCM kwa Ujumla wananchi wamekua ni watu wa kuiombea mabaya serikali. Hii ni mbaya sana sehemu ambayo walikua wanasemea wakipaamini ulikua ni upinzani chadema wakaja kungudua Chadema ilikua mamuluki sasa...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu pwani hasa hasa wa Tanga wanapenda kulaani wenzao for no reason? Unafiki wa dini usipime

    Watu wa Tanga wananiacha hoi sana sijui wanashida gani hasa hawa watu aisee mimo nimewa define neshindwa kuwaelewa ni watu ambao kutaka kuwatolea laana wenzio ni dakika mbilo tu yaani mkipishana kauli tu anakuambia nitakulaani yaani umlaani mwenzio kwani wewe ni Mwenyezimungu? Yaani neno laana...
  17. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tafiti isiyo rasmi inaonesha kwamba wanawake wenye nyusi nyingi juu ya jicho wanapenda kufanya mapenzi sana (high sex drive a.k.a libido)

    Copy code; Photo by: AI
  18. U

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu wengi sana majukwaani wanapenda ,wanatafuta ,wanahoji, wanauliza, wanajenga na kuijadili h CCM ni ushahidi wanavutiwa na sera zake

    Wadau huo ni ukweli usiopingika labda kama takwimu husika ni za kughushi
  19. haszu

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanapenda sana kujadili mambo kwa mlengo wa dini

    Kuna mtu alituma andiko kua mafanikio ya taifa stars ni kua waislamu wamepewa nafasi. Hilo ni andiko la ajabu sana na huyu mtu ningekua na mlaka ningempa onyo kali sana kwa kuleta fitna. Kwenye sakata la wake wa Ndugai wapo wanaosema ndoa ya kwanza ya kanisa ndio inayotambulika kwakua hawa...
  20. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa Tanzania wanapenda sana bia za nje ya nchi?

    Bia za Tanzania sio tamu au shida ni nini mpaka kupendelea sana bia za nje ya nchi? Au ni ulimbukeni tu?? Hii zaidi iko kwa wanawake ambao wanajiona wa hadhi ya juu na wanaponunuliwa/ kupewa offer. Kituko zaidi unakuta mwanamke ni masikini kapuku wa kutupwa lakini anakazana kunywa bia ya elfu...
Back
Top Bottom