Kuna kitu kinaitwa CERN programme iko uswizi ni mtambo wa ajabu sana nimesoma Maelezo yake asee mpk nimechanganyikiwa anayeweza kutafsiri kwa kiswahili atueleze pliz gugo CERN project ni balaa mnooo
Wana jf naomba kuuliza baraza la mitihani tz necta litakapotangaza matokeo ya mwaka huu 2017 je bashite atakuwa mkuu wa mkoa wa darisalama?
Je baraza la mitihani tz wakitangaza division ziro za mwaka huu zitaitwaje na wananchi?
Je baraza la mitihani likitangaza matokeo ya mwaka huu na...
Kusema ukweli swala LA makonda sikutaka kulizungumzia tena ila limefika mahali huwezi kaa kimya kwa mpenda haki
1. Baadhi ya wizara na taasisi za serikali zinakosa uhalali moja kwa moja kuzungumzia vyeti feki kwa watumishi wa umma.
2. Linaweza chochea fujo hususan kwa watu watakaoona wanaonewa...
Kwasasa c fahari tena kuwa mwanadarisalama
Hamna sifa nzuri mnatia doa mambo mengi
Binafsi naiona arusha mbeya na mwanza kama majiji bora kuliko darisalama
MNA maskendo kibaoooo
Hamtutishi tena wa mikoani nyie wala chipsi baraza liko kwenu nyie mnafekua mnafojua [emoji22] [emoji22]...
Ndg wana jf naandika haya kwa masikitiko kuna jamaa yangu ni mwalimu aliomba mkopo hatua zote zimekamilika ila Leo hii mkopo Wake umezuia ameambiwa alete uthibitisho kama vyeti vyake vimehakikiwa au la.
Barua ya kuthibitisha kama amehakikiwa imemchanganya kwakuwa hili ni geni na hajui anaipata...
Mh waziri wa elimu kilio hiki ni kiu ya haki haonewi MTU tutapiga kelele mpk mbele ya mungu tutamlilia mungu ili tujue nchi hii kuna watu wasiogusika kama mlivyosumbua watumishi wa uma wewe na mh kairuki sasa tokeni mlisemee LA gwajima na makonda msiposema mungu atasema
Mh Rais kwa nafasi yako hakuna mtu yeyote asiyefikiwa na mkono wako ktk nchi hii hata mimi hapa ukitaka kwa kauli yako moja tu utanipata.
Sasa ombi langu Mimi kama mwanao hebu angalia ishu ya elimu ya Makonda maana ni mteuliwa wako akiguswa yeye unaguswa wewe pia na sisi hatutaki nafasi yako...
Tunaiomba serikali itegue kitendawili cha elimu ya makonda ili kuiokoa serikali na double standards
Serikali kupitia waziri wa ELIMU walisimamia sana kidete swala la vyeti feki kwa watumishi wa umma sasa tunaiomba nguvu iliyotumia kwenye uhakiki wa vyeti ihamishiwe kwa makonda pia ili...
Naomba kujua ni yupi tajiri zaidi na mwenye waumini wengi kati ya gwajima na lusekelo
Pia naomba kujua nani anaheshimika zaidi na jamii
Mwisho naomba kujua nani mkongwe zaidi aliyeanza kitambo uhubiri
Asanteni
Ndugu wana JF,
Hadhi ya mnywa mbege ni kubwa kulinganisha na pombe zote za kienyeji.
Hivyo nashauri iuzwe kwenye mabaa na mahoteli makubwa pia kunywa mbege ni fahari sana.
Mwanaume alimzalisha akiwa form two akaishi nae kiunyumba miezi 6 bila Mimi kujua (alinificha) Mimi nikabeba mzigo nikauzalisha nikaishi nao miaka mitano nimeambiwa na wengine kwamba aliishi na mwanaume miezi sita kabla ya Mimi kuishi nae miaka mitano nikamfukuza sasa ameomba msamaha anataka...
Je wana jf naomba kujua je ninaweza kwenda polisi kuomba kuuona unga live ili siku nikiuona live nikaripoti polisi
Yani kiufupi Mimi cjawahi kuuona sasa je naweza kwenda polisi nikaomba kuonyeshwa kihalali?
Hii hospitali inayoitwa Dr. Mzena iko wapi na inamilikiwa na nani, na huyo Dr Mzena ni nani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?
=========
Kwanini hospitali ya Usalama wa Taifa inaitwa Mzena?
Emilio Mzena, alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa, na aliongoza idara hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.