Search results

  1. Samba

    Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

    Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800? Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?
  2. Samba

    Tume ya Ajira, mbona interview za UDOM hamjatoa tangazo kwa website ya PSRS kama zilivyo nyingine?

    kama ilivo kawaida nilitegemea shortlisted candidates wa nafasi za kazi UDOM iwekwe kwa website ya PSRS . au kuna exceptions UDOM? watu wamepigiwa simu kwenda interview nini agenda ya siri hapo?
  3. Samba

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

    Sekretarieti ya Ajira, hivi hamna mtu wa quality assuarance? ili akague adverts zenu kabla ya kuwekwa kwa portal na kwenye webiste? hivi hamnuoni kwamba kuna kazi nyingi zina makosa? Unakuta kazi ipo kwenye category yako na programme yako iko listed lakini huwezi kuomba kazi unaambiwa programe...
  4. Samba

    Tume ya Ajira, tunaomba mtuwekee matokeo ya 'written interview' kwenye account zetu au tovuti yenu

    Tume ya ajira, tunaomba muwe mnaweka na matokeo ya written interview kwenye account zetu au website, kusudi mtu ajue amepataje na amekuwa wa ngapi na wamechaguliwa wangapi kwenye stage inayofuata. Uzuri wote wnaofanya mtihani kuna ID bila majina. sasa kwenye portal mnaweka "not selected" tu...
  5. Samba

    Media za Tanzania bwana , Hivi kuomba msamaha nayo ni habari?

    Kweli media za Tanzania huwa mnachekesha sana , siyo kwa bembelezea hiyo! kuomba msamaha inapewa coverage kuliko hata Xenophobia ! safari bado ndefu mno!
  6. Samba

    Airtel, UNI offer mmepandisha sana gharama; tuoneeni huruma wanafunzi au tuelekee Voda, Halotel na Tigo?

    Airtel mbona kabla mwaka haujaisha mnatunyoosha kwa kupandisha gharama za vifurushi hivyo???. Yani zamani ilikuwa sh. 6000 unapata GB 4 NA DK 500 kwa siku 30. Lakini kwa sasa sh. 5000 unapata GB 2 Kwa siku 7, kweli kweli , mbona difference kubwa sana![emoji21]
  7. Samba

    Poleni Wanafunzi Mliokosa nafasi za kujiunga na vyuo vikuu 2017/2018

    Hivi kweli TCU NA Serikali hamjaona watoto wanavyoteseka na kukosa nafasi vyuoni? Kweli Elimu siyo priority I can see!!!! [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
  8. Samba

    Mwaka huu kupata nafasi ya kujiunga na Chuo kikuu ni Changamoto

    .Kutokana na Changamoto zinazoendelea kwenye admission za vyuo vikuu mwaka 2017/2018, kuna hatari kubwa ya waombaji kukosa vyuo! Mpaka sasa Changamoto ni kubwa hasa Multiple admissions! Swala hili liko kimya lakini kiukweli ni shida sana! Mpaka sasa mtu ana Division one but hajapata chuo...
  9. Samba

    Mwaka huu ukipata nafasi ya kujiunga na Chuo kuku, mshukuru Mungu

    Kutokana na Changamoto zinazoendelea kwenye admission za vyuo vikuu mwaka 2017/2018, kuna hatari kubwa ya waombaji kukosa vyuo! Mpaka sasa Changamoto ni kubwa hasa Multiple admissions! Swala hili liko kimya lakini kiukweli ni shida sana! Mpaka sasa mtu ana Division one but hajapata chuo...
  10. Samba

    Mbunge wa Kyerwa Mh. Innocent Bilakwate , Kagoma -Kitwe wanataka umeme

    Mh. Innocent wa jimbo la Kyerwa, unaona ni sawa vijiji vyote kuanzia Nkwenda mpaka Kamuli vimepata umeme lakini Mtaa wa Kagoma ulirukwa? Ule Mtaa una Ofisi ya Kijiji, Hospitali inayohudumia zaidi ya Kata 5, Ofisi ya Chama cha Msingi, lakini bado ina Maana hawakuona umuhimu wa ile sehemu...
  11. Samba

    Hivi Clouds Media saa nyingine mnahongwa?

    Clouds Media nawashangaa sana! huwa mnaonesha udhahifu mara nyingi. Leo nimeona tangazo juu ya siku ya wanawake, likionesha jinsi Tanzania ilivopiga hatua kwa kuwa na wanawake walioshika nyadhifa za juu especially bungeni, ni kweli lakini picha wakamwonesha nahibu spika na Mama Salma!!! ...
  12. Samba

    Advocate "Kabunga" unachokifanya mjini Bukoba Mungu anakuona

    Mzee Kabunga , wewe umezeeka sasa, na wewe mi muumini mzuri tu! Lakini kwa hiki kitendo cha kuendelea kuratibu mipango yako mibovu ili watu wasio na hatia waendelee kuumia hata Mungu unayemwabudu apendi!!! Kwa nini mnawakandamiza kiasi hicho? Kumbuka nao walizaliwa kama wewe, wamezaa kaka...
  13. Samba

    Online business, experience not reqired

    MonthlyYouth.com Earn 10$ per 10 seconds tasks, Earn 2000$ monthly - Online Job
  14. Samba

    Tangazo la kazi august 1, 2014 (kiswahili

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (NYARAKA) – NAFASI 50 hapo juu ni title ya kazi lakini sijaelewa hiki ni cheo gani ( msaidizi wa kumbukumbu), alafu mbna kazi zenyewe hazioneshi ni office gani au idara gani au wizara gani?
  15. Samba

    hello

    hello everyone!
Back
Top Bottom