The University of Dodoma (UDOM) is a public university in central Tanzania located in Dodoma, the country's capital. Building is taking place on a 6,000-hectare site in the Chimwaga area about 8 kilometres (5.0 mi) east of downtown Dodoma.The University of Dodoma was formally established in March 2007 following the signing of the Charter by the President of the United Republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in September 2007. Currently UDOM is the fastest growing university within the country, its biggest more than any other university within the country, and it's praised with producing competent and qualified candidate capable of competing in job market.
In line with Tanzania's Development Vision 2025, the University of Dodoma, when fully operational, will be able to enroll 50,000 students. This is more than triple the size of the University of Dar es Salaam when UDOM becomes fully operational. Up to now it is 80% complete and is already two times bigger the size and capacity of The university of Dar es salaam.The university of Dodoma currently has seven colleges: College of Earth Science, College of Natural and Mathematical Sciences, College of Informatics and Virtual Education, College of Education, College of Humanities and Social Sciences, College of Health and Allied Science and College of Business studies and Law, in recently there was also establishment of newly academic institute within college of humanities and social science UDOM named institute of Development studies(IDS) charged with responsibility of strengthening professionals within the field of Development studies.
Also is found in the Capital city of Tanzania
Clinical Nutritions and Dietetics (Utabibu lishe na Chakula) hii ni Faculty mpya iko pale UDOM.
Miaka kadhaa sasa imekua na changamoto ya mtaala(Curriculum), hadi sasa tuliopo internship tunaona madhara ya curriculum bado haijitoshelezi.
Tumekuwa tukiomba ipitiwe na kuundwa upya bila ya...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo tarehe 17 Juni 2026, kimepokea ujumbe kutoka Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA) uliolenga kujadili ushirikiano katika utekelezaji wa Mpango wa Ufadhili wa Masomo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Scholarship Programme).
Ujumbe huo uliongozwa na...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC), Dkt. Ladislaus Chang’a, tarehe 16 Juni 2026 ametembelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya TMA na Chuo hicho...
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, amesema wameanza maandalizi ya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kirusi, hatua inayolenga kuunga mkono juhudi za Serikali za kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Urusi na kuwawezesha Watanzania kunufaika na fursa...
Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l,
===
1. $1 Trilioni Club inawezekana
Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema kuwa kukosoa ni haki ya msingi katika jamii ya kidemokrasia, lakini ukosoaji huo unapaswa kufanywa kwa kuzingatia maadili, heshima na ukweli.
Akijibu moja ya maswali yaliyoulizwa na...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Biashara na Uchumi (CoBE), leo tarehe 3 Juni katika Ukumbi wa CT1, kimeendesha mjadala maalumu kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) katika kuimarisha miundombinu na huduma za umma ili kufanikisha Mpango wa Maendeleo wa Miaka...
Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana na Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameendesha programu maalum ya uhamasishaji kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Tehama, ikiwa ni sehemu ya kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa usajili wa kitaaluma kwa wataalamu wa Teknolojia ya Habari na...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kupitia Hospitali yake imeshiriki katika Kongamano la Mwaka lililoandaliwa na Chama cha Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA), lililofanyika leo tarehe 29 Mei 2026 katika ukumbi wa Dodoma City Hotel jijini Dodoma.
Lengo la kongamano hilo ni...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na TISEZA @invest_in_tanzania na @sydf_tz , kimeendelea kuwajengea wanafunzi uwezo wa ujasiriamali na uwekezaji kupitia programu ya Public Lecture – Student Investor iliyofanyika kwa siku mbili, tarehe 30 na 31 Mei 2026 katika Ukumbi wa CIVE...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Mei 25, 2026, kimetoa mafunzo ya ukusanyaji wa taarifa za msingi kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa SAFARI, unaotumia teknolojia ya Akili Unde (AI) kuboresha huduma za ultrasound kwa akina mama wajawazito.
Mradi huo unatekelezwa na UDOM kwa kushirikiana na...
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2026 katika ukumbi wa CIVE Auditorium, amezindua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) katika hafla iliyowakutanisha viongozi wa chuo, Tume ya Uchaguzi, wagombea...
Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kushirikiana (UDOM) na TISEZA pamoja na Shirika lisilo la Kiserikali la Save Youth Dream Foundation (SYDF), leo tarehe 23/05/2026 katika Ukumbi wa Auditorium – CIVE, wameendelea na programu ya mafunzo ya Student Investor yenye lengo la kuwajengea vijana uwezo wa...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Shirika Lisilo la Kiserikali la Save Youth Dream Foundation (SYDF) pamoja na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), leo tarehe 15 Mei 2026, wameendesha mafunzo ya uwekezaji kwa wanafunzi yaliyofanyika katika Ukumbi...
Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) kupitia Ndaki ya Sayansi za Ardhi na Uhandisi (CoESE) imeendelea kudhihirisha ubora wake kitaifa baada ya andiko lake kuingia katika miongoni mwa maandiko matatu bora kati ya 561 yaliyowasilishwa kwenye shindano la ubunifu wa kupunguza msongamano wa magari mijini...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Kurugenzi ya Tafiti, Machapisho na Ushauri Elekezi, kimeanzisha mafunzo maalum ya uandishi wa mapendekezo ya miradi ya tafiti na huduma za ushauri, yakilenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma na kuongeza fursa za kupata ufadhili wa miradi.
Mafunzo hayo...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na Kampuni ya Barrick Gold Corporation zimeanza majadiliano ya kuimarisha ushirikiano wa kimkakati utakaolenga kukuza maendeleo ya sekta ya madini kupitia mafunzo kwa vitendo, tafiti za pamoja na ubadilishanaji wa utaalamu.
Majadiliano hayo yamefanyika leo Mei 5...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kukuza ubora wa elimu kwa kuandaa mashindano ya umahiri wa lugha ya Kichina, “Chinese Proficiency for Foreign College Students 2026” yaliyofanyika Jumanne tarehe 5 Mei 2026, katika ukumbi Mikutano wa Ndaki ya Sayansi za...
Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM.
Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning, adult education and community development.
Zote hizi na nyingine zinatolewa kwenye vyuo vikuu lakini...
Hii Department ya Foreign Language na Literature ya University of Dodoma kuna tatizo kubwa sana.
Wanawafelisha wanafunzi bila msaada wowote. Mfano hai ni LG 102 (Communication Skills)—hili somo limekuwa kama “filter” ya kuangusha watu. Wengi wanakwama hapo, hakuna msaada, hakuna majibu.
Mimi...
Anonymous
Thread
future
idara
language
literature
lugha
udom
wanafunzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.