Sio lazima kila mtu asome chuo kikuu. Wengine wakasome vyuo vya 'size yao'. Msitake tuanze kusema kuwa waliokosa vyuo ni vilaza ili mtuelewe. Serikali haiwezi kupoteza pesa kusomesha vilaza. Bora hizo pesa tuziweke tuje kusomeshea vichwa watakaojiunga vyuo mwakani!Hivi kweli TCU NA Serikali hamjaona watoto wanavyoteseka na kukosa nafasi vyuoni? Kweli Elimu siyo priority I can see!!!!
Ungefafanua wamekosaje. walikuwa na sifa ila wameachwa au hawakuwa na sifa kulingana na vigezo volivyowekwaHivi kweli TCU NA Serikali hamjaona watoto wanavyoteseka na kukosa nafasi vyuoni? Kweli Elimu siyo priority I can see!!!!
We siumelewa how did you get sober so quickly like that!Hata hivyo hakuna ajira
Asikate tamaa awe mvumilivu ndoto yake itatimia mwakani siyo mbali atapata tuKuna mdogo wangu kapata One pointi 7 PCB Dogo alikuwa na ambition ya kuwa Daktari kakosa chuo Bugando na Muhimbili yaani yupo tu Nyumbani na kasema hawezi kusoma Course nyingine tofauti na hiyo
Hivi kweli TCU NA Serikali hamjaona watoto wanavyoteseka na kukosa nafasi vyuoni? Kweli Elimu siyo priority I can see!!!!
Hapo sasa, kuna haja ya vijana akupewa mwongozo wa namna ya kuchagua chuo na fani husika, kwa kuangalia ufaulu wake na ushindani uliopo katika kazi husika, lakini pia wazazi wengi wengi wanatamani watoto wao wangechaguliwa katika vyuo vya maeneo wanayoishi ili kuepuka gharama wawapo maeneo ya mbali matokeo yake ni kukosa kabisa chuoPoleni sana vijana.
Nadhani wengi wenye sifa waliokosa ni wale waliokomalia vyuo vyenye "majina" wakiamini kwakuwa wana sifa basi lazima wapate!
1.8 PCB ni kilaza?Sio lazima kila mtu asome chuo kikuu. Wengine wakasome vyuo vya 'size yao'. Msitake tuanze kusema kuwa waliokosa vyuo ni vilaza ili mtuelewe. Serikali haiwezi kupoteza pesa kusomesha vilaza. Bora hizo pesa tuziweke tuje kusomeshea vichwa watakaojiunga vyuo mwakani!
Kuna watu sijui kwanini Mungu hawachukui????Serikali imeshindwa vibaya sana kwenye hili. Pamoja na kubana matumizi na kama wanavyodai wenyewe kuongeza makusanyo ya mapato ya kodi 2017/2018 wametoa 32% ya mikopo iliyotolewa 2015/2016.
Mikopo ya 2015/2016 ilikuwa 459 billions kwa wanafunzi 122,000 2017/2018 mikopo ni 147 billions tu kwa wanafunzi 31,000!!!! Yuko busy kuinyoosha nchi!!!
Elimu na afya.... sababu yanayoendelea sekta ya afya unaweza juta kufanya kazi mazingira ya hospitali.Elimu siyo kipaumbele cha CCM.