tuliza pressure kijana,zamu ikifika waombaji waliomba nafasi za UDOM wataitwa,PSRS haifanyi kazi JFkama ilivo kawaida nilitegemea shortlisted candidates wa nafasi za kazi UDOM iwekwe kwa website ya PSRS
. au kuna exceptions UDOM? watu wamepigiwa simu kwenda interview nini agenda ya siri hapo?