Samba
Member
- Nov 24, 2013
- 74
- 65
.Kutokana na Changamoto zinazoendelea kwenye admission za vyuo vikuu mwaka 2017/2018, kuna hatari kubwa ya waombaji kukosa vyuo! Mpaka sasa Changamoto ni kubwa hasa Multiple admissions! Swala hili liko kimya lakini kiukweli ni shida sana! Mpaka sasa mtu ana Division one but hajapata chuo! Kwa kweli wewe Uliyeshauri / kusitisha CAS jua umetesa watoto wengi , na usumbufu Mkubwa vyuoni.