Zama zile Tuliitwa Ngedere na wengine wakadiriki kutumbia ya kwamba tuamie Burundi, lkn zama hizi tunaitwa Nguchiro.
Jamani wanasiasa punguzeni zarau na kujiona ya kwamba mmefika climax au...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo
Kufuatia ujio wa mitandao ya kijamii watu hawana muda kusoma makala ndefu,
Nawawekea a short version ya salient features za...
Rais wa Jamhuri ya Kenya Wiliam Ruto, anatarajiwa kuja Tanzania na kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, May 5, 2026 siku ya Jumanne Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika Daniel...
Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026, amesema chama hicho kinna madeni...
Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026,
Heshima sana wanajamvi,
Kafulila tunaweza kumweka katika kundi la wanasiasa wepesi sana.
Hana akili zaidi ya kujikomba na kusifu waliomteua.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuna nini hadi...
Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) imetoa tamko zito kuhusu hali ya amani na utulivu nchini kufuatia matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu...
Salaam Wakuu,
Kwa roho iliyooneshwa 29 Oct 2025 na Samia Suluhu Hassan, Mwenyeji wa huko Zanzibar ambaye anapenda kutembelea maeneo ya Tunguu.. Hakika damu ya Watanzania ipo mikononi mwake.
Bado...
Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026, amesema uchaguzi mkuu wa 2025 ulikuwa...
Kenyan President William Ruto is expected to address the Parliament of Tanzania on May 5, 2026, starting at 11:00am.
Deputy Speaker Daniel Sillo said the event is aimed at strengthening...
Kitu peke kilichobaki kuwatawanya na kuwaende watized ni Simba na Yanga, pale mwanzo kulitangulizwa kete ya udini ila nayo kama imeliwa tayar au inakalibia kuliwa
Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na...
Mpaka sasa Watanganyika wengi wanaamini kuwa hayati Magufuli alikufa kifo chenye utata.
Humphrey Polepole akaja kuweka wazi kuwa wanaCCM waovu ambao wana nia ya kuwaibiibia Watanganyika...
Wanabodi
Angalizo la Uchawa!
Baada ya kutokea fani mpya ya uchawa, kuna watu wenye akili fupi humu, ukisifu tuu jambo lolote zuri la Rais, unanyooshewa kidole cha uchawa!.
Tofauti ya pongezi za...
Kiwanda cha general tyre kubalishiwa matumizi, hatuwezi kushindana na wachina wanaozalisha tairi moja kwa dakika moja kwa kutumia mashine za kizamani, tutafungua mashine tutapeleka Kilimanjaro...
Haijalishi nani mhusika au nani mwenye makosa; kitendo cha viongozi wa juu wa serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kujiuzulu kufuatia vifo vya Watanzania zaidi ya 500 kinaweka...
Mtakumbuka Serikali ya Tanzania kupitia TASAF III Shilingi bilioni 43.5 zilitolewa moja kwa moja kwa kaya maskini kama ruzuku na malipo ya walengwa.
Faida Kuu za TASAF kwa Wananchi ni
Kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.