Watanzania hasa wapenda maendeleo suala la kujenga refinery ya Crude oil ya Uganda limeandikwa kwenye Mkataba siyo suala la Makubaliano na Dangote refinery ya crude oil itajengwa na waofanya...
Msemaji wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ametoa tamko kali akiibana serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti kupanda kwa bei ya mafuta ambayo sasa imefikia takriban shilingi...
Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana.
Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu.
Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya Jumapili ya leo
Naomba kuanza kwa declaration of interest,mimi na Zitto ni marafiki wa intake moja UDSM,namfahamu kwa karibu na huwa...
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Everine Munisi amesema taifa ni kubwa kuliko tofauti zozote zilizopo. Dkt. Munisi amesema masilahi ya wananchi...
Hii ilikuwa ndoto yangu ya siku nyingi sana na sasa Mama Samia kaitimiza. Binafsi nilikuwa nakerwa sana jinsi mikopo ya halmashauri na mingine ya serikali ilivyokuwa ikitolewa. Ilikuwa haina mfumo...
📍Ngara, Kagera
▪️Serikali yaanza utekelezaji wa mradi wa umeme kuunganisha Mkoa wa Kagera kwenye Gridi ya Taifa
▪️Waziri Ndejembi aweka jiwe la msingi la njia ya kusafirisha umeme Kyaka - Benaco...
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizungumza katika Kongamano la biashara baina ya Tanzania na Kenya, JNICC, Dar es salaam amesema Neno Demokrasi lisichafue nchi zetu, wala mila na desturi zetu...
JE, YALIKUWA MAANDAMANO AU MRADI WA UHAINI DHIDI YA DOLA?
Majibu kwa Paschal Mayalla — Sehemu ya Pili
Na Mwandishi Maalum
Katika mjadala wa kitaifa unaoendelea kuhusu kile kilichoitwa...
Wanabodi,
Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia...
Naona CCM kwa CCM wanajipongeza :)
Ila wanachekesha sana! Ila ipo siku yenu tu
=============
Leo, Alhamisi tarehe 07.05.2026, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (HKT) imefanya kikao chake cha...
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke...
Katiba mpya ijadiliwe na watu wenye elimu kubwa na wazalendo kwelikweli wasiotanguliza mihemko ya kisiasa, tusifanye mchezo kama ule wa kwenye bunge la katiba lililopita. Elimu ndogo za wajumbe...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Ameonyesha unyenyekevu wa kiwango cha Juu sana ambacho hakijawahi...
Baada ya kipindi kirefu cha CHADEMA kufungiwa kufanya shughuli za kisiasa, hatimaye leo umefanyika mkutano mkubwa jijini Arusha ukiongozwa na Lema na Boniface Jaco
Nyomi ya watu ilikuwa si ya...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Boniface Jacob, akizungumza katika mkutano wa hadhara Viwanja vya Soko Kuu jijini Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.