Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watanzania hasa wapenda maendeleo suala la kujenga refinery ya Crude oil ya Uganda limeandikwa kwenye Mkataba siyo suala la Makubaliano na Dangote refinery ya crude oil itajengwa na waofanya...
0 Reactions
2 Replies
105 Views
Watanzania wenzangu tuwaondoe vijana wetu kandokando ya barabara kuuza machungwa 20 mezani badala yake twende tukawagawie ardhi iliyoboreshwa wazalishe kabla ardhi yao haijaisha kabisa...
3 Reactions
20 Replies
270 Views
Msemaji wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ametoa tamko kali akiibana serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti kupanda kwa bei ya mafuta ambayo sasa imefikia takriban shilingi...
1 Reactions
5 Replies
173 Views
Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana. Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu. Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
6 Reactions
41 Replies
316 Views
Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi...
25 Reactions
70 Replies
2K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya Jumapili ya leo Naomba kuanza kwa declaration of interest,mimi na Zitto ni marafiki wa intake moja UDSM,namfahamu kwa karibu na huwa...
7 Reactions
58 Replies
1K Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Everine Munisi amesema taifa ni kubwa kuliko tofauti zozote zilizopo. Dkt. Munisi amesema masilahi ya wananchi...
1 Reactions
3 Replies
101 Views
Hii ilikuwa ndoto yangu ya siku nyingi sana na sasa Mama Samia kaitimiza. Binafsi nilikuwa nakerwa sana jinsi mikopo ya halmashauri na mingine ya serikali ilivyokuwa ikitolewa. Ilikuwa haina mfumo...
1 Reactions
14 Replies
221 Views
📍Ngara, Kagera ▪️Serikali yaanza utekelezaji wa mradi wa umeme kuunganisha Mkoa wa Kagera kwenye Gridi ya Taifa ▪️Waziri Ndejembi aweka jiwe la msingi la njia ya kusafirisha umeme Kyaka - Benaco...
2 Reactions
4 Replies
113 Views
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizungumza katika Kongamano la biashara baina ya Tanzania na Kenya, JNICC, Dar es salaam amesema Neno Demokrasi lisichafue nchi zetu, wala mila na desturi zetu...
2 Reactions
24 Replies
494 Views
JE, YALIKUWA MAANDAMANO AU MRADI WA UHAINI DHIDI YA DOLA? Majibu kwa Paschal Mayalla — Sehemu ya Pili Na Mwandishi Maalum Katika mjadala wa kitaifa unaoendelea kuhusu kile kilichoitwa...
2 Reactions
8 Replies
175 Views
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia...
14 Reactions
245 Replies
28K Views
Naona CCM kwa CCM wanajipongeza :) Ila wanachekesha sana! Ila ipo siku yenu tu ============= Leo, Alhamisi tarehe 07.05.2026, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (HKT) imefanya kikao chake cha...
1 Reactions
13 Replies
405 Views
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke...
85 Reactions
1K Replies
191K Views
Katiba mpya ijadiliwe na watu wenye elimu kubwa na wazalendo kwelikweli wasiotanguliza mihemko ya kisiasa, tusifanye mchezo kama ule wa kwenye bunge la katiba lililopita. Elimu ndogo za wajumbe...
2 Reactions
27 Replies
296 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Ameonyesha unyenyekevu wa kiwango cha Juu sana ambacho hakijawahi...
2 Reactions
88 Replies
931 Views
Baada ya kipindi kirefu cha CHADEMA kufungiwa kufanya shughuli za kisiasa, hatimaye leo umefanyika mkutano mkubwa jijini Arusha ukiongozwa na Lema na Boniface Jaco Nyomi ya watu ilikuwa si ya...
2 Reactions
2 Replies
165 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Boniface Jacob, akizungumza katika mkutano wa hadhara Viwanja vya Soko Kuu jijini Arusha...
3 Reactions
6 Replies
184 Views
Back
Top Bottom