Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tulitoa angalizo mapema kuwa hili litakuja kutuletea matatizo, SA kajibiwa live kwa sababu ni big fish sisi tutajibiwa kimya kimya. US house of Foreign Affairs: No friend of the Ayatollah is a...
2 Reactions
5 Replies
218 Views
Mimi ni Mkazi wa Maili Moja, Kibaha Mkoani Pwani, huku kwetu Mtaa wa Muheza na mitaa mingine ya jirani kwa takribani zaidi ya miezi mitatu sasa tunapata bili ya maji Unit 0 ikiwa na maana hakuna...
1 Reactions
7 Replies
241 Views
Amefariki mchana wa leo, Hospitali ya Taifa - Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kila nafsi itaonja mauti - naam, sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi Pia soma Rais Magufuli amrudishia...
16 Reactions
77 Replies
2K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini , Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo ameanza ziara ya kisiasa kwenye Wilaya ya Rungwe ...
9 Reactions
67 Replies
4K Views
Huu ndio Ukweli , Alianza Kitilla Mkumbo aliyetunukiwa Wizara ya Uwekezaji , Mimi ukiniuliza kitu chochote alichowahi kukifanya Kitilla Mkumbo cha kupigiwa mfano kwenye Nchi hii , hata...
29 Reactions
45 Replies
5K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa, mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , Bilionea Joseph Mbilinyi, jioni ya leo alikuwa Wilayani Chunya, akiwaelimisha wananchi...
9 Reactions
37 Replies
3K Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, wananchi wengi wanakiri juhudi zako katika kuongoza taifa letu na kuimarisha sekta mbalimbali. Hata hivyo, kuna masuala mazito yanayohitaji ufafanuzi na hatua...
0 Reactions
7 Replies
210 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa...
1 Reactions
1 Replies
105 Views
PROF. KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BOTSWANA JIJINI LONDON Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa...
0 Reactions
2 Replies
93 Views
  • Redirect
NAOMBA KUELEWESHWA KWA UPOLE SOTE TUFAHAMU NAKUELEWA, Mimi nilidhani ujio wa DP WORLD ndio ambao ungehusika kwenye matengenezo wa hiyo bandari! Iweje leo tusikie GHARAMA ZA BANDARI zinaongezeka...
0 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano. Butiku...
5 Reactions
86 Replies
3K Views
Naandika hapa nikiwa nimejawa maswali yasiyo majibu hasa baada ya kuona ndugu yangu akiishi kwenye mazingira magumu sana mara baada ya kupata Ajira tangu mwaka jana, alitakiwa kupewa pesa ya...
4 Reactions
6 Replies
280 Views
Kwa kila namna taifa limepasuka. Matajiri na wenye mali ndio wanaofaidi taifa hili. Watoto wa masikini wanauza mahindi ya kuchoma na karanga ili waende shule. Watoto wa matajiri na wanasiasa...
8 Reactions
8 Replies
208 Views
"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje...
11 Reactions
85 Replies
7K Views
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika . Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani Mhe. Ghati Z. Chomete Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara.
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Watu 38 wakiwemo viongozi, makada na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wameshikiliwa na Polisi mkoani Mara kwa tuhuma za kusababisha vurugu na taharuki katika mji wa...
2 Reactions
4 Replies
228 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Padri Ameonyesha waziwazi kuwa na chuki binafsi na Rais wetu Mpendwa,ameonyesha tangia awali kuwa na kinyongo na utawala huu, ameonyesha kuwa na dharau na maneno ya...
4 Reactions
258 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kuwa kesi ya mgawanyo wa mali...
0 Reactions
9 Replies
216 Views
Kabla ya uchafuzi WA 2025, migogoro au hisia ya kudhulumiwa Kwa upande moja ulisababisha Chama Fulani kusimamishwa kufanya shughuli za kisiasa nk. Sasa katika nchi hiyo hiyo ikitokea jimbo moja...
6 Reactions
11 Replies
318 Views
Back
Top Bottom