Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni baada ya ule uchaguzi tukala yamini kuwa serikali hii imeingia madarakani bila ridhaa ya wananchi na tukasema kuwa hii serikali si halali na hatuitambui hiki kitendo cha kumuona mng'atukaji wa...
5 Reactions
27 Replies
265 Views
Unaweza ukahisi ni habari za kutunga, au wale wenzangu na mimi wanasema ni 'drama' za CCM... Au na Polepole alikuwa anafanya drama? Anyway! Huu mtanange una sura nyingi na inabidi utulize kichwa...
30 Reactions
104 Replies
2K Views
Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo. Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari...
46 Reactions
456 Replies
102K Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
Wafanyakazi wa taasisi binafsi ni km watoto yatima tu. Anzia utaratibu wa mifuko ya hifadhi za jamii(NSSF) wao wanakatwa 10% mwajiri anachangia 10%, PSSSF wafanyakazi wanakatwa 5%...
3 Reactions
4 Replies
108 Views
Kikao cha dharura cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kinatarajiwa kufanyika baada ya makatibu wa chama kuanza kukutana Kikaangoni, Zanzibar, ikiwa ni siku 28 tangu kikao cha awali cha NEC...
2 Reactions
5 Replies
251 Views
Kanisa KKKT lina vyuo vikuu kadhaa hapa nchini, hili kanisa limejengwa ktk msingi wa ubinafsi uliopitiliza. Walianza na Tumaini University iliyokuwa Iringa, sasa hivi wameiita Iringa University...
8 Reactions
35 Replies
759 Views
Baada ya DW na BBC kumtangaza kwamba Nchimbi amejiuzulu,naanza kuamini kwamba hizi habari ni kweli. Lakini watu wanasema ati Makonda awe VP. This is absurd. The man is arrogant. Halafu ni mhalifu...
11 Reactions
28 Replies
573 Views
Na anajitahidi kuweka imani aaminike, System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani, Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza...
46 Reactions
65 Replies
2K Views
Mfano kipindi cha Kikwete alilazimika kuwachagua Ali Mohamed Shein na Mohamed Gharib Bila
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Kwema wana Chadema , amani ya Mungu ikawe juu yenu, mnakumbuka Mh lowasa na Mbowe walivyo waangusha Leo chama chenu kimejaa wabobevu wa kila aina kwenye siasa n.k Ccm ni wahuni sana , huu mtego...
3 Reactions
17 Replies
188 Views
Hebu waambie kitu!
1 Reactions
2 Replies
55 Views
Wakuu, Katika mahojiano yaliyofanyika kwenye kipindi cha Kume Pambazuka cha Radio One, Afisa kutoka BOT Henry Joseph amesema kuna tabia iliyokithiri kwa wananchi na wafanyabiashara kutumia mfumo...
8 Reactions
35 Replies
729 Views
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia...
31 Reactions
66 Replies
7K Views
Naombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi. Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10. Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya...
13 Reactions
39 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, jitafakari kwa kina kama bado unafaa kuendelea kuwa ofisini, hasa baada ya kauli iliyotolewa na Waziri wa Afya pamoja na kashfa...
2 Reactions
9 Replies
121 Views
Baada ya Dr Emmanuel Nchimbi kubwaga manyanga (kutema mbungo), Ramli chonganishi zinapigwa sana kutabiri nani atachukua nafasi yake Pamoja na uharamu wa serikali hii, lakini by all means...
9 Reactions
38 Replies
1K Views
Haiba ya Ucheshi na Uzungumzaji ya ndugu yetu Mh.Tundu Lissu inafanya watu wanaoitaka apotee, wazidi kufula kama Vifutu. Namsihi apunguze Mizaha kwa neema za Mungu. Vinginevyo anafanya mioyo...
3 Reactions
10 Replies
276 Views
Kwa hili linalotokea la nchimbi kujiuzulu mimi sina upande wa kutetea au kuponda sababu ukweli ni kwamba ccm wote wanafanana tabia na wanatumia playbook moja kwa hiyo huo ni uogomvi wa ndugu haina...
3 Reactions
6 Replies
63 Views
Back
Top Bottom