Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Hii ni Makala yangu, kwenye gazeti la Nipashe la Leo, nikimpongeza Jaji Mkuu George Masaju ni mtu mwenye hofu ya Mungu, hivyo ataisaidia Mahakama kutoa hukumu za haki, ambalo...
2 Reactions
16 Replies
251 Views
Kumbe kinachoitwa Mwanasiasa usije ukaja kumuamini hata siku Moja. Mwanasiasa alikwambia Sasa hivi ni Saa 7 Mchana inabidi utoke nje iangalie kama kweli ni Mchana unaweza Kuta alimaanisha saa 7...
1 Reactions
20 Replies
279 Views
Mwenye CV kamili ya H.E. Balozi Saidi Othman Yakubu atushushie hapa tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Unajua tangu aingie madarakani JK amekuwa akiepushwa na kila aina ya uovu kuonesha kwamba yeye sio sehemu yaya tatizo. Yote hii tunarudi kulekule kwenye kautamaduni ketu ka-ovyo: unafiki na...
2 Reactions
3 Replies
182 Views
Inasemekana , Kuna Orodha imeshaandaliwa ya Wafalme mbalimbali wa Bara la Giza walokwisha kupokea Michuzi ya TZ shillings ambao watafanya Ziara hapo Malawi , yote kwa Yote, Kumpa Uhalali wa...
11 Reactions
21 Replies
480 Views
Nchimbi amekataa kubaki bench badala yake kaingia uwanjani na mchezaji ambaye sio mzuri Mama rojo sasa kamaki anatembea tu uwanjani lakini hawezi tena kucheza. Anategemea marefa tu ambao ni jeshi...
0 Reactions
5 Replies
104 Views
Wanabodi Naomba kuanza kwa angalizo kwa mode kuhusu kuchanganya lugha. Japo sasa jf ni mainstream media ukichanganya lugha kwenye heading mode ana edit, neno "Mama Don't Preach, practice what you...
18 Reactions
38 Replies
2K Views
C&p Juzi, Tarehe 24/07/2026, Makamu wa rais, Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano mkuu wa 15 wa mtandao wa watetezi za haki za binadamu, ametoa hotuba iliyopokelewa kwa hisia tofauti...
2 Reactions
9 Replies
248 Views
Kwasababu sote ni mashahidi na tunasikia na kuona jinsi ambavyo wanayumba na kudandia kila kitu ambacho ni kipaumbele cha waTanzania, na all over the sudden wanakibwaga na kudandia kingine on the...
2 Reactions
26 Replies
203 Views
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa...
24 Reactions
141 Replies
8K Views
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030. Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani. Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Pale...
26 Reactions
139 Replies
3K Views
Ndugu Nchimbi kaja kuomba nguvu ya umma isaidie kupatikana kwa Katiba Mpya, hili inamaana viongozi na serikali waeshakwama, Je ni nani anakataza isipatikane katiba Mpya? Mtu huyu ana nguvu kiasi...
4 Reactions
22 Replies
270 Views
ANGALIZO: I am not advocating for this, NO, NO, NO. ILA NATOA TAHADHALI. Sasa hivi kwa vile mna bunduki , mabomu na madege, na upande mwingine hauna bunduki wala chochote, hamuwezi kuona hatari...
4 Reactions
9 Replies
124 Views
Watanzania, tukubali tusikubali, Serikali ya CCM haina viongozi wenye uwezo wa kuona mbali. Obviously, the mazafakas cannot see beyond their noses! Katika hali ya kawaida, hakuna kiongozi yeyote...
27 Reactions
47 Replies
794 Views
"Ndugu" Emanuel Nchimbi kwa sasa hivi namchukulia kuwa ni mfungwa kama tulivyo wengine wote, waTanzania tusiofurahishwa na mwenendo na mwelekeo wa taifa letu ulivyo kwa sasa. Sina shaka yoyote...
6 Reactions
26 Replies
278 Views
Tafuteni namna ya kukutana na world's big powers na kuwaeleza hali ilivyo tete Tanganyika 1. Mauaji 2. Arbitrary detentions 3. Etc etc etc etc Erythrocyte Seek for their intervention
4 Reactions
2 Replies
101 Views
MTOTO AMBAYE HUJAMLEA NA HUJAWAHI KUONGEA NAYE(HAMNA MAHUSIANO) HATAKIWI KUKURITHI LABDA UMPE ZAWADI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Sisi Watibeli ambao tunaijua haki vilivyo. Na tunajua...
2 Reactions
6 Replies
122 Views
Hakuna ubishi, wito wa Mh. Makamu wa Rais, Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi, wa kuwahimiza watanzania kupigania katiba mpya, umepata mwitikio na hamasa kubwa kutoka kwa watanzania wote. Kwa...
3 Reactions
13 Replies
214 Views
Abdul nondo anasema..... Ngome ya vijana ACT wazalendo tumesikia kauli ya Makamu wa Rais Dkt.Emmanuel John Nchimbi aliyoitoa tarehe 24/Julai/2026 kuhusu hoja ya KATIBA MPYA. Makamu wa Rais Dkt...
0 Reactions
5 Replies
163 Views
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan ambaye pia ni Mtaalamu wa masuala ya Ngono ameondolewa madarakani kwa kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi na mtumishi...
7 Reactions
25 Replies
449 Views
Back
Top Bottom