Siku mbili baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Taifa, Mary Chatanda kusema akipewa dakika moja awe Rais atawafuta wapinzani, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia...
Wakili Peter Madeleka amesema anaona kuwa nchi inakopa kupita kiasi chini ya uongozi uliopo, huku akidai kuwa deni la taifa limefikia takribani trilioni 100 lakini hakuna ulinganifu wa miradi ya...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka vikwazo vya usafiri kwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Faustine Jackson Mafwele.
Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco...
Inatia moyo kwa wabunge wetu kwa kuikemea serikali kwa kuvunja sheria.
Kisheria fedha za ROAD FUND zinalindwa kutotumika kwingine kokote, ila ujenzi na ukarabati wa barabara nchini.
Sasa leo kuna...
CCM haya yote yanayoendelea kama utekaji,mauaji nk ni kwa sababu wahuni wameteka chama chenu na serikali.Watanzania. wameshawawakataa ndo maana mnatumia nguvu nyingi mpaka kuua ili muwe...
Huyu mtoto wangu amepitia hii changamoto mwaka Jana mpaka mtoto akatoa pesa bila sisi kujua,
Bahati mbaya tena mwaka huu mwalimu alikuwa anawafundisha pia amempa supp na ameahidi hachomoi mpaka...
Dr alishasema chadema Wana kikundi cha kuteka watu wa chadema kwa manufaa ya kisiasa nimewaka USHAHIDI HAPO chini. Je hicho kikundi ni lini kilivunjwa?
Mnaona donation zimedoda mkaamua mje na huu...
Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu.
Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu...
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.
Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya...
Nashangaa taifa lililosheheni taasisi nyingi za kuilinda katiba lakini wanaibuka watu ,kikundi cha watu wanaivunja hiyo katiba na taasisi zipo za kuitetea katiba .
Kama katiba imeshindwa kumlinda...
Leo hii raia wa kawaida wanaogopa kutoa maoni yao. Wanahofia maana watawala wa CCM wanategemea vyombo vya usalama kama Jeshi na polisi ili wakae madarani.
Hayati Nyerere ambae watanganyika...
Kwa sasa utaenjoy kuskia sauti za unaowaua wakiwa wanalia kuomba usiwauwe na unawaua! Amini nakuambia watu dhalimu kama wewe huwa hawafi mapema! Mungu huwa anawaacha ili watumikie dhambi zao hapa...
Wanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa...
Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee...
Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kupindisha haki na kukosekana kwa uwazi ni miongoni mwa mambo yanayosababisha vurugu katika taasisi mbalimbali.
Akizungumza Mei 21, 2026, kwenye...
CCM sasa hivi ina watu dead wood kama Mary Chatanda na walking dead kama Wassira.
Mary Chatanda anautamani urais ili awafix watu, na ndicho kiko moyoni mwake.
CCM inatunza watu wajinga wajinga...
Hii si kwa Mafwele pekee ni ujumbe kwa wote wanaofikiri mkono wa sheria huwa unakimbiwa kwa kuwa na cheo serikalini.
Mafwele alimteka Sativa akadhani amemkomoa, sasa ataishi maisha ya nguchiro ya...
Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kwa umma leo tarehe 21 Mei 2026, kufuatia sintofahamu na taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni tangu jana usiku kuhusu...
Mei 20, 2026 kulitokea tukio linalodhaniwa kuwa la utekaji wa David Djumbe ambaye ni msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.
Hata hivyo, imeelezwa kuwa, Djumbe alifanikiwa kuwatoroka...
Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU.
Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.