Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Ijumaa amemfuta kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali, kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kupitia shirika la utangazaji la kitaifa, RTS...
Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au...
Nakushauri kwa madini uliyonayo utubu dhambi zako na ufanye uchaguzi sahihi.
Mtu alie makini hawezi kukaa kwenye chama kama Act Wazalendo.
Unajenga hoja za msingi lakini watu wanakudharau...
Kwasababu lazima tueleze ukweli kwamba ni wazi kuna vita vya chini kwa chini ndani ya chadema na kumeibuka makundi kinzani ambayo yana mitazamo tofauti hususani dhidi ya maridhiano na mchakato wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa anakubalika Duniani kote kuanzia Marekani mpaka Ulaya, Anaaminika kuanzia Ulaya mpaka Asia ,Anaungwa Mkono kuanzia Asia mpaka Afrika. Anafanya kazi na...
Asili ya TISS ( Usalama wa Taifa) pamoja na mambo mengine ni CCM. Wanaosema TISS asili yake ni Special Branch ya zama kabla ya CCM kuundwa wanaupotosha ukweli.
Baada ya kuundwa kwa CCM, vyombo...
Ukimsikiliza huyu jamaa wakuitwa Prosper Mbuba utadhani kama anamwaga sifa za kichawa kwa Makonda au Serikali lakini kiuhalisia ni anafanya mzaha wa kebehi kabisaa
Yani amezungumza ujio wa Rio...
Katika siasa za kidemokrasia, uwepo wa upinzani si hisani kwa chama tawala bali ni sehemu ya mfumo wenyewe. Ndiyo maana swali la “ikiwa Chadema itadhoofika au kufa, CCM itabaki salama?” lina uzito...
Kama utani vile lakini uthibitisho wa watu kutekwa, kuumizwa, kutupwa na bado Bunge la CCM Dodoma mawaziri na wabunge wake kusisitiza wahanga zaidi wasakwe na kushughulikuwa ni ushahidi tosha siku...
Kama kuna mtu binafsi aliewahi kuathirika na vikwazo vya Marekani au kama kuna taifa lililowahi kutikisika kwasababu tu ya vikwazo vya Marekani, litaje.
Ile hua ni danganya toto tu ya kuwaplease...
Former England and Manchester United footballer Rio Ferdinand was widely criticised for a May 2026 trip to Tanzania, with campaigners accusing him of "sportswashing" for the government. [1]
The...
Mbunge Ado Shaibu amesema akichangia Bungeni leo, Mei 19, 2026 amesema kuwa kati ya vitu ambavyo Jeshi linapaswa kuvilinda sana ni kutojihusidha na Siasa.
Hayo ameyasema akiwa Bungeni wakati...
Maofisa habari wa taasisi za Serikali na binafsi nchini wametakiwa kutojitenga na mfumo wa usajili wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kigezo cha kuwa watumishi wa taasisi hizo...
Wakuu,
Inawezekana kabisa Serikali, Polisi, Usalama wa Taifa na CCM hawahusiki kabisa kabisa kwenye matukio ya utekaji, they have no idea nani anatenda matukio haya na kuwachafua, lakini...
Mwaka jana 2025 alisimama bungeni kuitangazia Dunia kuwa Samia amemmwagia mabilioni kedekede kwaajili ya ujenzi wa barabara nk, kwahio (hamdai Samia) mbunge huyo huyo jana 21 Mei, 2026 kasimama...
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema Tume ya Jaji Chande ilipaswa kuweka wazi iwapo mauaji yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai, pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.