Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni! Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
9 Reactions
51 Replies
752 Views
  • Redirect
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Ijumaa amemfuta kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali, kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kupitia shirika la utangazaji la kitaifa, RTS...
0 Reactions
Replies
Views
Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Nakushauri kwa madini uliyonayo utubu dhambi zako na ufanye uchaguzi sahihi. Mtu alie makini hawezi kukaa kwenye chama kama Act Wazalendo. Unajenga hoja za msingi lakini watu wanakudharau...
3 Reactions
3 Replies
129 Views
Kwasababu lazima tueleze ukweli kwamba ni wazi kuna vita vya chini kwa chini ndani ya chadema na kumeibuka makundi kinzani ambayo yana mitazamo tofauti hususani dhidi ya maridhiano na mchakato wa...
1 Reactions
32 Replies
272 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa anakubalika Duniani kote kuanzia Marekani mpaka Ulaya, Anaaminika kuanzia Ulaya mpaka Asia ,Anaungwa Mkono kuanzia Asia mpaka Afrika. Anafanya kazi na...
0 Reactions
22 Replies
245 Views
Asili ya TISS ( Usalama wa Taifa) pamoja na mambo mengine ni CCM. Wanaosema TISS asili yake ni Special Branch ya zama kabla ya CCM kuundwa wanaupotosha ukweli. Baada ya kuundwa kwa CCM, vyombo...
8 Reactions
36 Replies
892 Views
Ukimsikiliza huyu jamaa wakuitwa Prosper Mbuba utadhani kama anamwaga sifa za kichawa kwa Makonda au Serikali lakini kiuhalisia ni anafanya mzaha wa kebehi kabisaa Yani amezungumza ujio wa Rio...
3 Reactions
5 Replies
149 Views
Katika siasa za kidemokrasia, uwepo wa upinzani si hisani kwa chama tawala bali ni sehemu ya mfumo wenyewe. Ndiyo maana swali la “ikiwa Chadema itadhoofika au kufa, CCM itabaki salama?” lina uzito...
1 Reactions
7 Replies
159 Views
Kama utani vile lakini uthibitisho wa watu kutekwa, kuumizwa, kutupwa na bado Bunge la CCM Dodoma mawaziri na wabunge wake kusisitiza wahanga zaidi wasakwe na kushughulikuwa ni ushahidi tosha siku...
11 Reactions
55 Replies
3K Views
Daaah sasa huyu atanishauri nini mimi na masters yangu mjini tukiitisha mdahalo utoki .
17 Reactions
139 Replies
3K Views
Kama kuna mtu binafsi aliewahi kuathirika na vikwazo vya Marekani au kama kuna taifa lililowahi kutikisika kwasababu tu ya vikwazo vya Marekani, litaje. Ile hua ni danganya toto tu ya kuwaplease...
1 Reactions
19 Replies
193 Views
Former England and Manchester United footballer Rio Ferdinand was widely criticised for a May 2026 trip to Tanzania, with campaigners accusing him of "sportswashing" for the government. [1] The...
7 Reactions
21 Replies
539 Views
Mbunge Ado Shaibu amesema akichangia Bungeni leo, Mei 19, 2026 amesema kuwa kati ya vitu ambavyo Jeshi linapaswa kuvilinda sana ni kutojihusidha na Siasa. Hayo ameyasema akiwa Bungeni wakati...
1 Reactions
7 Replies
189 Views
Maofisa habari wa taasisi za Serikali na binafsi nchini wametakiwa kutojitenga na mfumo wa usajili wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kigezo cha kuwa watumishi wa taasisi hizo...
3 Reactions
5 Replies
126 Views
Wakuu, Inawezekana kabisa Serikali, Polisi, Usalama wa Taifa na CCM hawahusiki kabisa kabisa kwenye matukio ya utekaji, they have no idea nani anatenda matukio haya na kuwachafua, lakini...
8 Reactions
21 Replies
332 Views
Mwaka jana 2025 alisimama bungeni kuitangazia Dunia kuwa Samia amemmwagia mabilioni kedekede kwaajili ya ujenzi wa barabara nk, kwahio (hamdai Samia) mbunge huyo huyo jana 21 Mei, 2026 kasimama...
2 Reactions
10 Replies
198 Views
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema Tume ya Jaji Chande ilipaswa kuweka wazi iwapo mauaji yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai, pamoja na...
3 Reactions
5 Replies
230 Views
Back
Top Bottom