Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, wasomi hawa wawili walitunukiwa vyeti na aliekuwa Rais wa Nchi hii Marehemu Magufuli.
Kama niko sahihi kwanini wasomi hawa wasinyang'anywe vyeti walivyopewa na...
Sio siri tena kwa sasa, sekta ya madini hapa Tanzania imehujumiwa kwa kiwango kikubwa mno na Profesa Mruma.
Ripoti ya spika ya bunge kuhusu uwekezaji wa uchimbaji wa Almasi imethibitisha rasmi...
Asalaam,
Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia...
Wakuu waungwana wa JF,
Kama kuna yeyote anayejua anisaidie na wengine wanaotaka kujua kama mimi.
Karibuni wajuzi wa mambo
Muktasari wa Ripoti ya Kamati ya Prof. Osoro unapatikana hapa...
Maprofesa wawili wazalendo, Mruma na Osoro, mnastahili kuombwa samahani maalum ya maandishi kutoka kwa yoyote yule ambae alishiriki katika kuwakejeli na kudharau taaluma zenu.
Labda matusi...
Ripoti ya Prof Mruma kuhusu Makinikia na kampuni ya Accacia, ilikuja na jibu kuwa "Accacia ni kampuni feki".
NANUKUU ( It is confirmed that Accacia Mining is Non-Existing entity in Tanzania)
SOMA...
Naamini kila mmoja alishitushwa na taarifa iliyotolewa na kamati ya bunge ambapo pamoja na mambo mengine ilimtaja Pro.Mruma kwamba alishiriki kuisababishia nchi Hasara kwenye sekta ya madini...
Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia...
Taarifa zinaonyesha prof Mruma aliwahi au ni mjumbe wa mgodi huu wa mwadui ulioitia hasara serikali
Mjumbe wa Bodi anawajibika kuhakikisha mgodi unafata taratibu zote na bila shaka prof Mruma...
Baada ya CAG kuwasilisha ripoti ya mahesabu ya mwaka 2019/ 2020 tumeambiwa kuwa kuna hasara ya Tsh 60 Bilion kwa ATCL. Na kwamba hata miaka ya nyuma ATCL ilikuwa inapata hasara kila mwaka kinyume...
Natafakari hapa nimekosa jibu.
Hivi!!!! Aliyemtuma Prof. Mruma Wizarani kuchunguza wizi wa madini yetu ni nani? Na ni lini alitumwa?
Nachoelewa kwenye secta/ Wizara ya madini Tanzania, Mruma...
Wana Jf.
3 Professor , 3 phd na 2 wengine tarehe 29/3/2017 walichaguliwa na mtukufu rais Magufuli kufanya uchunguzi wa makontena ya makinikia ya acacia yaliyokuwa yanasafilishwa kama utaratibu...
PROF. MUHONGO - PUUZENI UJUMBE HUU WA "IAMtikilla on Twitter
Mimi Sospeter Muhongo sijawahi kuyasema hayo yaliyo kwenye "IAMtikilla on Twitter".
Niliyasema wapi na lini?
Jina langu lisitumiwe...
Kuna kaukimya fulani kanatawala hapa nchini kwa watawala wa chama cha mapinduzi kujitenga kabisa na kile kinachotokea mahakama za kimataifa.
Magufuli nakubaliana naye kwamba alichokifanya yeye...
Waziiri wa mambo ya Ndani mh Masauni amesema Hivi karibuni pamezuka tabia ya Viongozi wa Dini kujiingiza Kwenye shughuli za Kisiasa Hii ni kinyume cha sheria
Masauni amewataka Viongozi wa Dini...
Si kumuita tu Daktari kuthibitisha tusije tukazika kumbe kazimia?
Ila kuzimia gani huku hadi hiki kishindo cha sintofahamu ya kupanda Mishahara ya Watumishi wa Umma mwezi huu ashindwe kuamka...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Serikali imepanga kujenga viwanja viwili vya michezo nchini katika mkoa wa Arusha na Dodoma ili vitumike katika michuano...
"Tulimpinga Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano hawakusema kwa sababu ni mkristo,Leo tunampinga Rais Samia wanasema kwa sababu ni Muislam,wajinga nyinyi" Godbless...
Binafsi tangu nimejiunga CHADEMA zaidi ya miaka 10 iliyopita nlikuwa nina imani sana na chama changu na nliamini ipo siku tutakuja chukua dola.
Muda na chaguzi zilipita lakini hakuna kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.