Kuuliza si ujinga: Waliotajwa kwenye Ripoti za profesa Osoro na Mruma (kuhusu madini) wamechukuliwa hatua gani kulingana na mapendekezo ya Kamati?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,515
Kina nani walitajwa?

Ni hatua gani za kuwachukulia zilipendekezwa na kamati/repoti?

Tuelimishe pia wengine ambao hatuwajui hao waliotajwa!
 
Unawauliza hawa
tapatalk_1536136317211.jpeg
 
Back
Top Bottom