Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini! Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga...
38 Reactions
78 Replies
6K Views
Nchi inakoelekea ni dhahiri imekula kwetu. Kwa hali hii, ni hatuna sababu yakuidikiliza CCM kwenye mkataba wa DP World.
2 Reactions
7 Replies
676 Views
VIJANA WA CHADEMA AMUENI TUMALIZANE NA JAMBO MOJA KWANZA NDIO TUHAMIE LA PILI Na Thadei Ole Mushi Kwa miezi sita vijana wa Chadema wamebeba agenda tatu ambazo hawazifikishi mwisho. Walianza na...
2 Reactions
15 Replies
834 Views
Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo anasema ni wajinga wanaokosoa mkataba wa IGA kauli hii ni kinyume cha Katiba na Sheria za nchi na Miiko ya Viongozi wa CCM kuhusu kuheshimu utu na uhuru wa...
0 Reactions
1 Replies
501 Views
Moshi. Chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro kimesema kitawapunguza watendaji wa Serikali ambao watabainika kukitengenezea chama hicho ajali ili kishindwe katika uchaguzi wa Serikali za...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Prof. Kitila mkumbo ameshindwa kujibu hoja kuhusu mkabata anaanza kuviingiza vyombo vya ulinzi kwenye mambo ambavyo havihusiki navyo, kwani wakati mnaingia huo mkataba mlilijulisha Jeshi? kwanini...
8 Reactions
6 Replies
807 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na kinalaani vikali tukio la kushambuliwana, kujeruhiwa na kuporwa mali Wanahabari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), lililotokea...
1 Reactions
8 Replies
962 Views
Na:- Diplomatic Agent Ni heshima kubwa kwa Taifa la Tanzania, Taifa la Kidemokrasia na lililojipambunua vyema katika masuala Diplomasia Kimataiafa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za...
1 Reactions
1 Replies
804 Views
MKATABA NDIO HUO KWA LUGHA YA KISWAHILI USOME NA UELEWE. TAFSIRI NA UCHAMBUZI MKATABA WA BANDARI TANZANIA NA DUBAI. UTANGULIZI; Februari 28, 2022, Rais Samia alipokwenda UAE kuhudhuria Maonesho...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Shujaa Magufuli alikuwa anayaogopa sana Malumbano ya Kidini na alijitahidi sana kuwafanya Watu wa Dini zote wawe marafiki Pale Kinya udini unawasumbua sana ukienda Nairobi Wagalatia ukija...
8 Reactions
60 Replies
4K Views
Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua. Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali...
7 Reactions
31 Replies
4K Views
Nimepitia hotuba zake za kampeni mwaka 2005 wakati anagombea urais na kushuhudia madini na mipango mbadala ya maendeleo aliyoinadi. Nabaki najiuliza ilikuwaje akarudi tena kugombea ubunge wakati...
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Kusema kweli maamuzi wa Rais Magufuli kuvunja mikataba tuliyoingia b yanatugharimu sana kama Taifa. Na yatatugharimu sana kama Taifa. Hizi kesi tunazoshtakiwa na sasa tunalipa mabilioni...
2 Reactions
11 Replies
959 Views
Hilo ni swali nimekuwa najiuliza toka wananchi walipoamua ghafla tusherehekea siku yao tarehe 22/7/2023. Nitangulize kujitangaza kuwa mimi ni mwananchi lakini kwa hili sijawaelewa YANGA. Hii...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni historia nzuri kuijua Ameandika Advocate: Othman Masoud KAMARA KUSUPA NA MTAMBO WA KASUMBA JUU YA ZANZIBAR Nimesoma katika Gazeti la An-nuur la tarehe 11- 17 Novemba, 2016, Makala ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi lilipomuuliza Kamanda Muliro wa Kanda maalumu kuhusu kama ameshatoa kibali kwa Chadema Kufanya Mkutano wa Bandari Day huko Temeke Kesho Kamanda alisema vibali hutolewa wilayani...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Serikali na chama tawala wamefafanua vizuri sana kuhusu mradi huu wa bandari ya Dar es Salaam aliopewa mwekezaji kutoka Falme ya Dubai anayeitwa DP World. 2. Waziri wa Mipango na uwekezaji, Prof...
40 Reactions
90 Replies
7K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA Simu: +255 026 23222761-5 Ofisi ya Bunge, Fax No. +255 026 2322624...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Uongozi ni Karama, Uongozi ni Taranta, Uongozi ni Zawadi Kutoka kwa Mungu wa mbinguni Ipo tofauti kubwa Kati ya Leader, Manager na Administrator Freeman Mbowe is a leader Kiongozi wa Upinzani...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam muda huu kuhusu uwekezaji wa Bandari. Mbarawa: Pamoja na Serikali kuendeleza juhudi za...
6 Reactions
263 Replies
24K Views
Back
Top Bottom