Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,429
PROF. MUHONGO - PUUZENI UJUMBE HUU WA "IAMtikilla on Twitter
Mimi Sospeter Muhongo sijawahi kuyasema hayo yaliyo kwenye "IAMtikilla on Twitter".
Niliyasema wapi na lini?
Jina langu lisitumiwe kwenye magonvi yenu. Ni udhaifu mkubwa kutojiamini na kuanza kutumia majina ya wasiohusika!