Funzo Kutoka CAG Report ya ATCL: Profesa Mruma Awasilshe Upya Ripoti Ya Makinikia

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,211
17,428
Baada ya CAG kuwasilisha ripoti ya mahesabu ya mwaka 2019/ 2020 tumeambiwa kuwa kuna hasara ya Tsh 60 Bilion kwa ATCL. Na kwamba hata miaka ya nyuma ATCL ilikuwa inapata hasara kila mwaka kinyume na Magufuli alivyotuaminisha. Naamini Charles Kicheere alikuwa na uhuru wa kutosha mwaka huu kuliko miaka iliyotangulia katika uwasilishaji wa Ripoti yake kwa Rais.

Kutokana na mukhtadha huo, nashiwishika kusema kuwa hata Profesa Mruma yawezekana ripoti aliyowasilisha kwa Rais mnamo Septemba 2017 "ILICHAKACHULIWA' kukidhi nadharia za Rais Magufuli.

Madhara ya ripoti ile ni ile fedha tiliyoambiwa ACACIA wanapaswa wailipe Tanzania Tsh 190 Bilion sawa na Tsh 450 Trilion. Hata hivyo Barrick/ACACIA walikataa madai hayo na Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi na kuitwa msaliti

Ombi:
Ikimpendeza Rais naomba Prof Mruma awasilishe anachokijua ili aache legacy nzuri kama mtaalamu wa geology
 
Kila alichofanya Magufuli kinatokana na hisia zake mbovu. Kwenye ile clip maarufu ya kabla ya 2015 ambayo na Charles Kitwanga yupo, Jiwe alisikika akisema kuwa madini yanaibiwa kupitia mchanga unaosafirishwa nje ya nchi nakwamba akiwa Raisi watu watalimia meno.

Baada ya kuwa Rais akataka ku-prove kuwa hypothesis yake iko kweli ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.

Kwa vile Magufuli alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.
 
Ukweli kabisa, suala la makinikia, na report ya Mruma, nina ufahamu wa 100%. Na prof. Mruma akiwa mru wangu wa karibu sana.

Yote aliyoyasema Rais Magufuli kuhusiana na kuibiwa dhahabu kupitia makinikia, ulikuwa ni uwongo mtupu ambao ulilenga kuwadanganya wajinga ili kupata simple political popularity.

Rafiki yangu Mruma alikuwa na wakati mgumu sana. Akawa hana namna, ikamlazimu kufanya kama mkubwa alivyotaka huku yeye akipoteza kabisa heshima yake mbele ya wasomi. Maana ile report, ilikuwa ya kijinga kabisa, hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa geology, angejua kuwa ni rubbish.
 
Baada ya CAG kuwasilisha ripoti ya mahesabu ya mwaka 2019/ 2020 tumeambiwa kuwa kuna hasara ya Tsh 60 Bilion kwa ATCL. Na kwamba hata miaka ya nyuma ATCL ilikuwa inapata hasara kila mwaka kinyume na Magufuli alivyotuaminisha. Naamini Charles Kicheere alikuwa na uhuru wa kutosha mwaka huu kuliko miaka iliyotangulia katika uwasilishaji wa Ripoti yake kwa Rais.

Kutokana na mukhtadha huo, nashiwishika kusema kuwa hata Profesa Mruma yawezekana ripoti aliyowasilisha kwa Rais mnamo Septemba 2017 "ILICHAKACHULIWA' kukidhi nadharia za Rais Magufuli.

Madhara ya ripoti ile ni ile fedha tiliyoambiwa ACACIA wanapaswa wailipe Tanzania Tsh 190 Bilion sawa na Tsh 450 Trilion. Hata hivyo Barrick/ACACIA walikataa madai hayo na Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi na kuitwa msaliti

Ombi:
Ikimpendeza Rais naomba Prof Mruma awasilishe anachokijua ili aache legacy nzuri kama mtaalamu wa geology
Mkuu wazo lako ni zuri sana lkn subiri mataga watakavyo kushambulia.
 
Na mimi naongezea ile Mikataba yote ya madini ambayo Magufuli alidai amejadiliana upywa iwekwe wananchi waione.

Yeye alisema anawapigania wanyonge lakini hakutaka wanyonge wajue yeye na Mabeberu wamekubaliana kitu gani kuhusu madini yetu
Naona sasa makaburi ya babu zetu yanafukuliwa
 
Ukweli kabisa, suala la makinikia, na report ya Mruma, nina ufahamu wa 100%. Na prof. Mruma akiwa mru wangu wa karibu sana.

Yote aliyoyasema Rais Magufuli kuhusiana na kuibiwa dhahabu kupitia makinikia, ulikuwa ni uwongo mtupu ambao ulilenga kuwadanganya wajinga ili kupata simple political popularity.

Rafiki yangu Mruma alikuwa na wakati mgumu sana. Akawa hana namna, ikamlazimu kufanya kama mkubwa alivyotaka huku yeye akipoteza kabisa heshima yake mbele ya wasomi. Maana ile report, ilikuwa ya kijinga kabisa, hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa geology, angejua kuwa ni rubbish.
Aiseee!
 
Kila alichofanya Magufuli kinatokana na hisia zake mbovu. Kwenye ile clip maarufu ya kabla ya 2015 ambayo na Charles Kitwanga yupo, Jiwe alisikika akisema kuwa madini yanaibiwa kupitia mchanga unaosafirishwa nje ya nchi nakwamba akiwa Raisi watu watalimia meno.

Baada ya kuwa Rais akataka ku-prove kuwa hypothesis yake iko kweli ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.

Kwa vile Magufuli alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.
Aisee Mimi nililazimika kwenda driving school haraka ili nikipata Noah nivunje bega
 
Basi na katibu wa wizara tmya madini aliye fukuzwa kwa kusema ukweli juu ya makontena arudishwe. Mkuu wa TPA aliye fukuzwa ndiye alijifanya kujua na kusema makontena yana dhahabu nyingi tuu.
Ukweli kabisa, suala la makinikia, na report ya Mruma, nina ufahamu wa 100%. Na prof. Mruma akiwa mru wangu wa karibu sana.

Yote aliyoyasema Rais Magufuli kuhusiana na kuibiwa dhahabu kupitia makinikia, ulikuwa ni uwongo mtupu ambao ulilenga kuwadanganya wajinga ili kupata simple political popularity.

Rafiki yangu Mruma alikuwa na wakati mgumu sana. Akawa hana namna, ikamlazimu kufanya kama mkubwa alivyotaka huku yeye akipoteza kabisa heshima yake mbele ya wasomi. Maana ile report, ilikuwa ya kijinga kabisa, hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa geology, angejua kuwa ni rubbish.
 
Baada ya CAG kuwasilisha ripoti ya mahesabu ya mwaka 2019/ 2020 tumeambiwa kuwa kuna hasara ya Tsh 60 Bilion kwa ATCL. Na kwamba hata miaka ya nyuma ATCL ilikuwa inapata hasara kila mwaka kinyume na Magufuli alivyotuaminisha. Naamini Charles Kicheere alikuwa na uhuru wa kutosha mwaka huu kuliko miaka iliyotangulia katika uwasilishaji wa Ripoti yake kwa Rais.

Kutokana na mukhtadha huo, nashiwishika kusema kuwa hata Profesa Mruma yawezekana ripoti aliyowasilisha kwa Rais mnamo Septemba 2017 "ILICHAKACHULIWA' kukidhi nadharia za Rais Magufuli.

Madhara ya ripoti ile ni ile fedha tiliyoambiwa ACACIA wanapaswa wailipe Tanzania Tsh 190 Bilion sawa na Tsh 450 Trilion. Hata hivyo Barrick/ACACIA walikataa madai hayo na Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi na kuitwa msaliti

Ombi:
Ikimpendeza Rais naomba Prof Mruma awasilishe anachokijua ili aache legacy nzuri kama mtaalamu wa geology
Tume zote za JPM zilikwa hogwash, hata ile ripoti ya Salehe Pamba kuhusu Environmental impact assessment (EIA) ya Steiglers Gorge ilikuwa uongo mtupu.
 
Baada ya CAG kuwasilisha ripoti ya mahesabu ya mwaka 2019/ 2020 tumeambiwa kuwa kuna hasara ya Tsh 60 Bilion kwa ATCL. Na kwamba hata miaka ya nyuma ATCL ilikuwa inapata hasara kila mwaka kinyume na Magufuli alivyotuaminisha. Naamini Charles Kicheere alikuwa na uhuru wa kutosha mwaka huu kuliko miaka iliyotangulia katika uwasilishaji wa Ripoti yake kwa Rais.

Kutokana na mukhtadha huo, nashiwishika kusema kuwa hata Profesa Mruma yawezekana ripoti aliyowasilisha kwa Rais mnamo Septemba 2017 "ILICHAKACHULIWA' kukidhi nadharia za Rais Magufuli.

Madhara ya ripoti ile ni ile fedha tiliyoambiwa ACACIA wanapaswa wailipe Tanzania Tsh 190 Bilion sawa na Tsh 450 Trilion. Hata hivyo Barrick/ACACIA walikataa madai hayo na Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi na kuitwa msaliti

Ombi:
Ikimpendeza Rais naomba Prof Mruma awasilishe anachokijua ili aache legacy nzuri kama mtaalamu wa geology
fisadi mkubwamkubwa wewe
 
Ukweli kabisa, suala la makinikia, na report ya Mruma, nina ufahamu wa 100%. Na prof. Mruma akiwa mru wangu wa karibu sana.

Yote aliyoyasema Rais Magufuli kuhusiana na kuibiwa dhahabu kupitia makinikia, ulikuwa ni uwongo mtupu ambao ulilenga kuwadanganya wajinga ili kupata simple political popularity.

Rafiki yangu Mruma alikuwa na wakati mgumu sana. Akawa hana namna, ikamlazimu kufanya kama mkubwa alivyotaka huku yeye akipoteza kabisa heshima yake mbele ya wasomi. Maana ile report, ilikuwa ya kijinga kabisa, hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa geology, angejua kuwa ni rubbish.
fisadi mkubwa wewe
 
Na mimi naongezea ile Mikataba yote ya madini ambayo Magufuli alidai amejadiliana upya iwekwe hadharani wananchi waione.

Yeye alisema anawapigania wanyonge lakini hakutaka wanyonge wajue yeye na Mabeberu wamekubaliana kitu gani kuhusu madini yetu
fisadi mkubwa wewe
 
Kwa hiyo Chadema mnataka kusema, kwenye madini hatuibiwi au mwizi wa madini ni Magufuli?

Hiki chama kimepoteza kabisa mwelekeo.
 
Back
Top Bottom