Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,693
Natafakari hapa nimekosa jibu.
Hivi!!!! Aliyemtuma Prof. Mruma Wizarani kuchunguza wizi wa madini yetu ni nani? Na ni lini alitumwa?
Nachoelewa kwenye secta/ Wizara ya madini Tanzania, Mruma hajaingia leo wala jana. Amekuwepo kitambo sana. Sasa inakuaje leo Magufuli ajitamba na kumkingia kifua kuwa alimtuma yeye?
Basi tusema alimtuma kipindi ni waziri. Sasa waziri wa Ujenzi au wa masamaki unahusikanaje na madini?
Dah. Sidhani kama tutafika kwa usanii wa level hii.
[emoji124]♂️naenda zimbobo.