Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maneno hayo SIO yangu ni ya Mpendwa Wetu HAYATI BABA wa TAIFA Mwl.NYERERE. BABA wa TAIFA aliamini Uwepo wa hivyo VITU 4 Nchi lazima Ipate MAENDELEO. Kwa TANZANIA tuna ARDHI ya kutosha yenye Mito...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linazindua taarifa ya mwaka 2023/2024 na Mpango Mkakati wa miaka 10 utakaoanza kutekelezwa katika mwaka wa fedha wa 2024/2025. Omary Issa aeleza sababu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Najiuliza hii mikutano kwanini hawakufanya kabla ya kusaini mkataba wananchi tukaelezwa wanayoyasema sasa hivi? Yaani wanatuona wa Tanganyika hatuna akili kabisa.
7 Reactions
17 Replies
838 Views
Ndugu wana jukwaa ni matumaini yangu hamjambo. Alikuwa mzalendo kwa nchi kweli kweli, alichukia mikataba ya hovyo, na hata Ile aliyosaini ilikuwa kwa Nia njema ingawa hakuwa na uelewa mpana na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Leo usiku nilikuwa najisomea namna ya kufanya biashara ya photography studio. Nilijisomea maelekezo mengi mtandaoni. Mabeberu wametoa maelezo ya kutosha jinsi gani unaweza ukafanya hiyo biashara...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Kama NCHI ya ZANZIBAR ipo NCHI ya TANGANYIKA ipo wapi? 2. NYERERE alichanganya UDONGO wa NCHI ya TANGANYIKA na NCHI ya ZANZIBAR kwa maana ya kuwa hizo NCHI zimeungana na kuwa NCHI ya TANZANIA...
3 Reactions
2 Replies
767 Views
Mimi nilikuwa namchukia sana Magufuli siwezi kumsingizia neno, "Magufuli alisema Mkapa na Kikwete wameuza nchi kwa mikataba mibovu akaanza kuivunja mikataba yote,tukashtakiwa" Tundu...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Naam wanajamvi, Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa...
33 Reactions
60 Replies
4K Views
Huyu ni Makamu wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar ambaye maelezo yake yamenukuliwa na account ya Jussa. "Wanaozungumza Mkataba mbovu, basi katika mikataba mibovu ya Tanzania, hakuna mkataba mbovu...
19 Reactions
222 Replies
14K Views
Najiuliza sana huyu kijana alikuwa machachari sana kipindi cha JPM. Alikuwa hapitwi na jambo nliwahi kuamini kuwa siku za usoni atakuwa na mchango mkubwa sana. Toka miaka ile anakuzwa na Chadema...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
CHADEMA wanavyoendesha siasa nchini utadhani walikimbia maridhiano kumbe wameamua kung'ata na kuyaelekeza maridhiano kwenye haki ya watu siyo haki kisiasa. Mzee Kinana aliamini wakitoka kwenye...
11 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika moja ya hotuba zake Nyerere alimfananisha mtanzania na bwege mmoja na tumemnukuu alichosema lakini siyo kweli mtanzania ni bwege bali CCM ni pango la wezi wa mali ya umma. Nyerere kwenye...
1 Reactions
5 Replies
738 Views
Katiba ya Zanzibar imeukana Muungano lakini wadanganyika tunaendelea kujidanganya tupo kwenye Muungano wakati hatuko huko. Katiba ya Zanzibara imetamka wao ni nchi sasa kama wao ni nchi ina maana...
0 Reactions
3 Replies
732 Views
Profesa Anna Tibaijuka kwenye Twitter yake kawaumbua CCM wenzake ambao wameanzisha Twitter feki akaunti na kudai ametengua msimamo wake wa kuukosoa mkataba wa kifisadi wa DP WORLD. Bila kumumunya...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Kuna vyama havina misingi aidha havijatengeneza intellijensia Yao wenyewe na kupelekea kiwahiwa. Mzee Nyerere marehemu alipata kusema...." Rais asipotoka sisiem atatokea upinzani, maana take..."...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Maji tumeshayavulia, hatuna namna isipokuwa kuyaoga! Tanganyika ni nchi yetu, tuanaitaka! Tunaweza kwenda pande zote za dunia, lakini Tanganyika itasalia kuwa nyumbani, turejeshewe. Kwingineko...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Hili swali linamuhusu Mtanganyika Mzalendo tu. Na Mtanganyika Mzalendo, kwa mujibu wa huu uzi, ni Mtanganyika yeyote anayeipenda nchi yake ya Tanganyika bila kujali anakoishi. Ikiwa wewe ni...
0 Reactions
2 Replies
794 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…