Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,124
CHADEMA wanavyoendesha siasa nchini utadhani walikimbia maridhiano kumbe wameamua kung'ata na kuyaelekeza maridhiano kwenye haki ya watu siyo haki kisiasa.
Mzee Kinana aliamini wakitoka kwenye maridhiano basi CHADEMA watanyamaza kusema kumbe ndio kwanza wamefungulia kusema. Kinana aliamini watawaabudu kumbe wao wala maridhiano haikuwa big deal waliheshimu tu Watanzania wasiopenda mafarakano.
Walipochemsha CCM nikuendelea kuwategemea akina Wasira kwenye siasa za majukwaani, kuwategemea akina Kinana kwenye siasa za majukwaani, kuwategemea akina Mkumbo kwenye siasa za majukwaani huku wakijua kabisa Mkumbo hata wapiga kura wake awezi kuwaita washiriki mikutano.
CHADEMA wao wamewekeza kwenye miamba ambayo haina kashfa, siyo wezi na wamesoma. Wamewekeza kwenye vijana kuliko wazee. Wamewekeza kwenye ukweli kuliko propaganda.
Niwataadharishe CCM tu kwamba hakuna maridhiano wanaweza kufanya na CHADEMA yakakiua chama kama walivyofanya kwa CUF na ACT, CHADEMA wanazoom fursa ya kisiasa kimakakati siyo kiuchumi pekee.
Walitaka ruzuku na wamepata, walitaka kuendesha mikutano na wamepata fursa, walitaka waachiwe kutoka magereza wameachiwa na wanasonga mbele.
Hata mwalimu alitumia mbinu za kuzunguka wakoloni kisiasa na kufanikiwa kumpoka madaraka. Viva CHADEMA songeni mbele nchi irudi kwenye sense zake. elimu mnayotoa si kitu kidogo.
Mzee Kinana aliamini wakitoka kwenye maridhiano basi CHADEMA watanyamaza kusema kumbe ndio kwanza wamefungulia kusema. Kinana aliamini watawaabudu kumbe wao wala maridhiano haikuwa big deal waliheshimu tu Watanzania wasiopenda mafarakano.
Walipochemsha CCM nikuendelea kuwategemea akina Wasira kwenye siasa za majukwaani, kuwategemea akina Kinana kwenye siasa za majukwaani, kuwategemea akina Mkumbo kwenye siasa za majukwaani huku wakijua kabisa Mkumbo hata wapiga kura wake awezi kuwaita washiriki mikutano.
CHADEMA wao wamewekeza kwenye miamba ambayo haina kashfa, siyo wezi na wamesoma. Wamewekeza kwenye vijana kuliko wazee. Wamewekeza kwenye ukweli kuliko propaganda.
Niwataadharishe CCM tu kwamba hakuna maridhiano wanaweza kufanya na CHADEMA yakakiua chama kama walivyofanya kwa CUF na ACT, CHADEMA wanazoom fursa ya kisiasa kimakakati siyo kiuchumi pekee.
Walitaka ruzuku na wamepata, walitaka kuendesha mikutano na wamepata fursa, walitaka waachiwe kutoka magereza wameachiwa na wanasonga mbele.
Hata mwalimu alitumia mbinu za kuzunguka wakoloni kisiasa na kufanikiwa kumpoka madaraka. Viva CHADEMA songeni mbele nchi irudi kwenye sense zake. elimu mnayotoa si kitu kidogo.