Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
Mimi nilikuwa namchukia sana Magufuli siwezi kumsingizia neno,
"Magufuli alisema Mkapa na Kikwete wameuza nchi kwa mikataba mibovu akaanza kuivunja mikataba yote,tukashtakiwa" Tundu Lissu#MkutanoOkoaBandariZetuNyakanazi.
"Magufuli alisema awa Wazee wameharibu sana nchi,tukamwambia washughulikie akasema waacheni Wazee wapumzike" Tundu Lissu#MkutanoOkoaBandariZetuNyakanazi
"Magufuli alisema ni kichaa peke yake anaweza kukubali mkataba wa miaka 99 bandari ya Bagamoyo,kaja Nani kama Mama kauza zote milele" Tundu Lissu
"Mwizi ni mwizi tu" Tundu Lissu
"Magufuli alisema Mkapa na Kikwete wameuza nchi kwa mikataba mibovu akaanza kuivunja mikataba yote,tukashtakiwa" Tundu Lissu#MkutanoOkoaBandariZetuNyakanazi.
"Magufuli alisema awa Wazee wameharibu sana nchi,tukamwambia washughulikie akasema waacheni Wazee wapumzike" Tundu Lissu#MkutanoOkoaBandariZetuNyakanazi
"Magufuli alisema ni kichaa peke yake anaweza kukubali mkataba wa miaka 99 bandari ya Bagamoyo,kaja Nani kama Mama kauza zote milele" Tundu Lissu
"Mwizi ni mwizi tu" Tundu Lissu