Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Profesa Anna Tibaijuka kwenye Twitter yake kawaumbua CCM wenzake ambao wameanzisha Twitter feki akaunti na kudai ametengua msimamo wake wa kuukosoa mkataba wa kifisadi wa DP WORLD.
Bila kumumunya maneno kawakemea vilivyo ya kuwa hiyo akaunti ya Twitter ni feki na misimamo yake dhidi ya mkataba wa DP WORLD ni ngangali.
Bila kumumunya maneno kawakemea vilivyo ya kuwa hiyo akaunti ya Twitter ni feki na misimamo yake dhidi ya mkataba wa DP WORLD ni ngangali.