Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 612
Kuna vyama havina misingi aidha havijatengeneza intellijensia Yao wenyewe na kupelekea kiwahiwa.
Mzee Nyerere marehemu alipata kusema...." Rais asipotoka sisiem atatokea upinzani, maana take..." Hays ndani ya sisiem kina upinzani. Nahisi hili ndilo linaweza kutokea, ama tuaeme liliishatokea hayati magu alikuwa na upinzani mkali ndani ya chama.
Lkn pia Nyerere alimaanisha upinzani si lazima mdani ya chama chake, tlp, dp, cuf,nccr nk nk, Kuna chama sijakitaja hapo, hikin naona kinatuchanganga tuu.
Kuna vyma vyama vina malengo binafsi.
Kwa upande wa sisiem wananchi wameshapoteza matumaini.
Tatizo Hawa Marais wanashindwa kuona, haiwezekani kina watu wanaporomosha magorofa wengine hata mfuko was cement anashindwa, ni wkt wa magufuli binafs kama mimi niliweza kiendeleza ujenzi wangu kwa sabab nilifanya kazi halali. Ya uwezo na kipawa changu na kusomea.
Baada ya kuingia utawala mwingine mambo yamebadikika 100%
Ikawa imerudi Ile kanuni ya jungle the survivor for fittest. Magu alifanya makosa asilimia 50% mazuri 50%
Mzee Nyerere marehemu alipata kusema...." Rais asipotoka sisiem atatokea upinzani, maana take..." Hays ndani ya sisiem kina upinzani. Nahisi hili ndilo linaweza kutokea, ama tuaeme liliishatokea hayati magu alikuwa na upinzani mkali ndani ya chama.
Lkn pia Nyerere alimaanisha upinzani si lazima mdani ya chama chake, tlp, dp, cuf,nccr nk nk, Kuna chama sijakitaja hapo, hikin naona kinatuchanganga tuu.
Kuna vyma vyama vina malengo binafsi.
Kwa upande wa sisiem wananchi wameshapoteza matumaini.
Tatizo Hawa Marais wanashindwa kuona, haiwezekani kina watu wanaporomosha magorofa wengine hata mfuko was cement anashindwa, ni wkt wa magufuli binafs kama mimi niliweza kiendeleza ujenzi wangu kwa sabab nilifanya kazi halali. Ya uwezo na kipawa changu na kusomea.
Baada ya kuingia utawala mwingine mambo yamebadikika 100%
Ikawa imerudi Ile kanuni ya jungle the survivor for fittest. Magu alifanya makosa asilimia 50% mazuri 50%