Katiba ya Zanzibar inathibitisha hatuna Muundo bali tuko kwenye serikali ya shirikisho

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Katiba ya Zanzibar imeukana Muungano lakini wadanganyika tunaendelea kujidanganya tupo kwenye Muungano wakati hatuko huko.

Katiba ya Zanzibara imetamka wao ni nchi sasa kama wao ni nchi ina maana hatuna Muungano bali tumo kwenye serikali ya shirikisho la nchi mbili.


Muungano maana yake nchi zilimezwa na muungano wakati ndivyo katiba ya JMT inavyoongea lakini kiutelekelezaji Zanzibar hawautaki Muungano ila tu unapowapa ulaji tu.

Sasa kwa vile, wao hawatutaki ni vyema tukaona umuhimu wa kupiga kura ya maoni kama kwanza pande mbili za Muungano wanauhitaji na kama hatuuhitaji uvunjwe na kama sote tunauhitaji basi tukubaliane liwe shirikisho la nchi mbili badala ya kujiita Muungano wakati haupo.


IMG-20230730-WA0018.jpg



Wazanzibara wako kwenye Muungano kuula tu kwa hiyo siyo wazalendo na ndiyo maana wanatuuza kama njugu.
 
Katiba ya Zanzibar imeukana Muungano lakini wadanganyika tunaendelea kujidanganya tupo kwenye Muungano wakati hatuko huko.

Katiba ya Zanzibara imetamka wao ni nchi sasa kama wao ni nchi ina maana hatuna Muungano bali tumo kwenye serikali ya shirikisho la nchi mbili.


Muungano maana yake nchi zilimezwa na muungano wakati ndivyo katiba ya JMT inavyoongea lakini kiutelekelezaji Zanzibar hawautaki Muungano ila tu unapowapa ulaji tu.

Sasa kwa vile, wao hawatutaki ni vyema tukaona umuhimu wa kupiga kura ya maoni kama kwanza pande mbili za Muungano wanauhitaji na kama hatuuhitaji uvunjwe na kama sote tunauhitaji basi tukubaliane liwe shirikisho la nchi mbili badala ya kujiita Muungano wakati haupo.


View attachment 2703401


Wazanzibara wako kwenye Muungano kuula tu kwa hiyo siyo wazalendo na ndiyo maana wanatuuza kama njugu.
Hacha wawakomeshe kwani waliwalazimisha kuungana nao si kihelehele cha mchonga tu na kanisa katoliki,heti tusipo jiunga nao visiwa hivio uisilamu utashamili mwisho hata bara,ukitaka kuamini tafuta sauti ya rukuvu kuhusu muungano narudia wazanzibari shika hapa hapo msiachie njooni nyote huku bara mjipatie mashamba mlime mfuge
 
Hacha wawakomeshe kwani waliwalazimisha kuungana nao si kihelehele cha mchonga tu na kanisa katoliki,heti tusipo jiunga nao visiwa hivio uisilamu utashamili mwisho hata bara,ukitaka kuamini tafuta sauti ya rukuvu kuhusu muungano narudia wazanzibari shika hapa hapo msiachie njooni nyote huku bara mjipatie mashamba mlime mfuge



Mwishowe kila mshirika ataishia kusikojulikana tatizo Pemba nao watadai nao wao ni nchi hapo watatwangana kama hawana akili nzuri
 
Katiba ya Zanzibar imeukana Muungano lakini wadanganyika tunaendelea kujidanganya tupo kwenye Muungano wakati hatuko huko.

Katiba ya Zanzibara imetamka wao ni nchi sasa kama wao ni nchi ina maana hatuna Muungano bali tumo kwenye serikali ya shirikisho la nchi mbili.


Muungano maana yake nchi zilimezwa na muungano wakati ndivyo katiba ya JMT inavyoongea lakini kiutelekelezaji Zanzibar hawautaki Muungano ila tu unapowapa ulaji tu.

Sasa kwa vile, wao hawatutaki ni vyema tukaona umuhimu wa kupiga kura ya maoni kama kwanza pande mbili za Muungano wanauhitaji na kama hatuuhitaji uvunjwe na kama sote tunauhitaji basi tukubaliane liwe shirikisho la nchi mbili badala ya kujiita Muungano wakati haupo.


View attachment 2703401


Wazanzibara wako kwenye Muungano kuula tu kwa hiyo siyo wazalendo na ndiyo maana wanatuuza kama njugu.
Hakuna Muungano. Muungano huu ni wa nani na nani? Unawezaje kuuita huu ni Muungano wakati nchi moja ilikufa mara tu baada ya kuungana?
 
Back
Top Bottom