GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Maji tumeshayavulia, hatuna namna isipokuwa kuyaoga! Tanganyika ni nchi yetu, tuanaitaka! Tunaweza kwenda pande zote za dunia, lakini Tanganyika itasalia kuwa nyumbani, turejeshewe.
Kwingineko kote tunaweza kuitwa wageni, lakini tuwapo Tanganyika tunajisikia kuwa nyumbani hata pasipokuambiwa hivyo. Tanganyika ni kwa ajili ya Watanganyika.
Taarifa iwafikie maadui wote wa Tanganyika; kama siku za nyuma walifanikiwa kuifunika, wasifikiri watafanikwa safari hii.
Watanganyika tumeamka, na hatutalala tena.
~ Tunaitaka bendera ya Tanganyika
~ Tunautaka wimbo wa Taifa la Tanganyika
~ Tunaitaka katiba ya Tanganyika
~ Tunamtaka Rais wa Tanganyika
~ Tunamtaka Msemaji wa Tanganyika
~ Tunataka mipaka ya nchi ya Tanganyika ibainishwe
~ Kama imewezekana kwa ndugu zetu, isiwe nongwa kwetu. Tunaitaka Tanganyika yetu.
Tanganyika ina wenyewe, na wenyewe ndiyo sisi. Tunaitaka Tanganyika yetu, Tanganyika ni urithi wetu, wa watoto wetu na wa vizazi vyetu.
Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanganyika, tunaitaka nchi yetu, Tanganyika.
Kwingineko kote tunaweza kuitwa wageni, lakini tuwapo Tanganyika tunajisikia kuwa nyumbani hata pasipokuambiwa hivyo. Tanganyika ni kwa ajili ya Watanganyika.
Taarifa iwafikie maadui wote wa Tanganyika; kama siku za nyuma walifanikiwa kuifunika, wasifikiri watafanikwa safari hii.
Watanganyika tumeamka, na hatutalala tena.
~ Tunaitaka bendera ya Tanganyika
~ Tunautaka wimbo wa Taifa la Tanganyika
~ Tunaitaka katiba ya Tanganyika
~ Tunamtaka Rais wa Tanganyika
~ Tunamtaka Msemaji wa Tanganyika
~ Tunataka mipaka ya nchi ya Tanganyika ibainishwe
~ Kama imewezekana kwa ndugu zetu, isiwe nongwa kwetu. Tunaitaka Tanganyika yetu.
Tanganyika ina wenyewe, na wenyewe ndiyo sisi. Tunaitaka Tanganyika yetu, Tanganyika ni urithi wetu, wa watoto wetu na wa vizazi vyetu.
Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanganyika, tunaitaka nchi yetu, Tanganyika.