MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
1. Kama NCHI ya ZANZIBAR ipo NCHI ya TANGANYIKA ipo wapi?
2. NYERERE alichanganya UDONGO wa NCHI ya TANGANYIKA na NCHI ya ZANZIBAR kwa maana ya kuwa hizo NCHI zimeungana na kuwa NCHI ya TANZANIA je NCHI ya TANZANIA ipo ktk UDONGO wa NCHI gani kati ya hizo mbili?
3. Mtu akisema MUUNGANO ulikuwa ni kubadilisha jina la TANGANYIKA na kuwa TANZANIA Je atakuwa KAKOSEA kwa sababu ZANZIBAR ipo VILE VILE ila TANGANYIKA ndio HAIPO
2. NYERERE alichanganya UDONGO wa NCHI ya TANGANYIKA na NCHI ya ZANZIBAR kwa maana ya kuwa hizo NCHI zimeungana na kuwa NCHI ya TANZANIA je NCHI ya TANZANIA ipo ktk UDONGO wa NCHI gani kati ya hizo mbili?
3. Mtu akisema MUUNGANO ulikuwa ni kubadilisha jina la TANGANYIKA na kuwa TANZANIA Je atakuwa KAKOSEA kwa sababu ZANZIBAR ipo VILE VILE ila TANGANYIKA ndio HAIPO