USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Ukiachana na TISS au CID ambao ni polis bado kitengo cha usalama jeshini (MI) wanaweza kupenyeza nani akafanye kazi za kiraia hasa zile za ushauri wa mgambo kwenye halmshauri zote hapa nchini ni hivyo kukusanya data na nani ni nani kwa mini na wapi na kuzichakata kisha kuzitumia kama report ya CDF ilivyozua ngumzo
Ni kweli kwa sasa aliyekuwa kuwa DC, RC kwenye mikoa tofauti Leo ndio anakusanya taarifa hizo kuzichakata na kuzilipot moja kwa moja kwa Mkuu wa majeshi.
Gen Gaguti amekuwa talented hasa akifanya kazi mikoa yenye changamoto za kiusalama na miingilino ya watu kama Kagera, Kigoma na mtwara kabla ya kurudishwa jeshini na rais samia.
USSR
Ni kweli kwa sasa aliyekuwa kuwa DC, RC kwenye mikoa tofauti Leo ndio anakusanya taarifa hizo kuzichakata na kuzilipot moja kwa moja kwa Mkuu wa majeshi.
Gen Gaguti amekuwa talented hasa akifanya kazi mikoa yenye changamoto za kiusalama na miingilino ya watu kama Kagera, Kigoma na mtwara kabla ya kurudishwa jeshini na rais samia.
USSR